Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

ndo ujiulize mbona mm siombi huo mkate na riziki lkn napata tena zaid
Unakufuru were

Subiri utapata jibu lako

Mungu atakushukia kama mwewe na kusambaratisha kila ulichonacho kuanzia afya yako
 
Maisha ya dunia si lolote... SASA unafanya kazi ili iweje kama maisha ya dunia si lolote. Kunywa sumu jiue ndo tujue upo serious una maanisha.


Yani Mungu ame design maisha ya mwanadamu for a period of one thousand years. Ameitengeneza dunia nzuri yenye kuvutia amekuleta kiumbe wake uje ufurahie maisha then malipo YAKO kwake ni kusema maisha si lolote. Are you serious?

Mimi nayapenda maisha na kika SIKU namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa maisha na kunileta duniani.


" Dunia tupo kujaribiwa" ni sentensi inayo mkufuru Mungu kwa kiwango cha stifler gorge. Ukisema duniani umekuja kujaribiwa tafsiri yake ni kwamba anae kujaribu hajui hutafanya nini endapo atakujaribu. Kwamba hajui mambo yajayo. Ndio unacho maanisha hiki.

Mungu hana interest yoyote na kukujaribu wewe kiumbe wake. And he cannot do such a stupid mission.

Hiyo kumjaribu mtu ni human character na sio divine character.
Yes maisha ya duniani si lolote ukilinganisha na maisha ya akhera baada ya kufa.

Why si lolote?

Duniani mwanadamu una muda mchache sana wa kuishi average miaka 64 tu ,japo unaweza ukaongezewa mpk 98. Ila ni wachache wanaofikia umri huo na hata ukifika unakuwa umezeeka sana ,kumbukumbu hupotea, kutembea huwezi tena unakuwa upo upo tu.

Maisha ya Akhera hakuna kufa, hakuna kuzeeka,raha au tabu za milele (inategemea ulifaulu mtihani wa maisha ya duniani ama laa) ,hakuna kuumwa n.k

Kwahiyo maisha ya dunia si lolote ukilinganisha na maisha yajayo.
 
Unakufuru were

Subiri utapata jibu lako

Mungu atakushukia kama mwewe na kusambaratisha kila ulichonacho kuanzia afya yako
Back to sender. Huna tofauti na mchawi.. kanisani unaenda kutafuta mademu waimba kwaya
 
1(a)Wewe umesema hauna dini(hizi mbili kuu) sasa kwa nini utumie andiko kutoka dini hizi kutetea hoja yako ?

b) Hiyo andiko uliloweka kunathibitisha vipi kuwa limetoka kwa Mungu na hayo maneno ni kweli Mungu kasema ?

2.Wapi Mungu kasema yeye pekee ndiye mwenye kumjua muislamu safi unaweza kuweka ushahidi ?

1. Nazungumza na wewe KWA kutumia lugha na mifano unayo weza kuielewa.

Ningetoa mawazo yangu mwenyewe ungesema Nina uhakika GANI au nimetolea wapi kama ulivyo uliza swali kabla sijajibu swali hili.

2. Hujafundishwa na Ustaz wako kwamba Mungu anajua KILA kitu HADI yale yaliyomo ndani ya nafsi YAKO?.or ur just wasting my time?

Jiandae kuelewa usi jiandae kubisha
 
Huu utapeli tu unaendelea kuuandika hapa.

Siku zote biblia haisomwi kama makala ya kwenye gazeti, eti nitulie kitabu hicho hicho tu, nisisogee mbele zaidi.

Ndio maana nikakupa andiko la "bisheni mtafunguliwa..." ili uelimike, biblia inaeleweka vizuri ukisoma vitabu vyote, sio kimoja
,🤣🤣🤣🤣 Una kimbia ukweli sio?.u will never be wise in ur life.

Eti bisheni hodi mtafunguliwa? Unajua maana ya bisheni hodi mtafunguliwa? Au una fikiria ni kufunguliwa vifungo vya kichawi na KILA jumapili unaenda kanisani kufunguliwa na hakuna kinacho funguka?

Unajua kufunguliwa kunako zungumziwa hapo? Unajua nini maana ya kubisha hodi?

Unataka nikufundishe sasa hivi? Upo tayari kuujua ukweli?

Sema.su!!!
 
Kama duniani tu wanashindwa kukaa kanisani kutwa nzima kusifu na kuabudu ndio utakwenda kuabudu milele huko mbinguni??


Yesu kwenye biblia anasema kama ulikuwa na mke mmoja hapa duniani huko mbinguni utapewa mara mia unashangaa sisi waislam kuambiwa kuwa tutapewa wanawake 70?

Matthew 19:29

And every one that hath forsaken houses, or brethren, or sisters, or father, or mother, or wife, or children, or lands, for my name's sake, shall receive an hundredfold, and shall inherit everlasting life.
Vipi kuhusu pombe?
 
Hao wanafanya hivyo ni wapumbavu wamepokea dini vibaya , na mimi napinga mtu kumuIdolize mchungaji au Shekhe yeyote na siamini kama mtu mmoja ndiyo kapewa funguo za haraka na neema kiasi ambacho kupelekea watu kumfuata yeye kama njia ya maombi na kupokelewa na Mungu bali ninaamini hakuna mtu wa kati kufikisha maombi Kati ya Mungu na mwanadamu na wanafanya hivyo pamoja na kuomba masanamu wapo kinyume na muongozo sahihi ya dini.
Kaka nimesha sema kwenye bandiko langu hapo juu. People will never respect a person because he has faith in God. People will respect a man who has faith in himself.

Waumini wa Mwamposa wanaenda KWA Mwamposa sio kea sababu Mwamposa anamuamini sana Mungu ila KWA sababu Mwamposa anajiamini sana. Ana amini katika nguvu ya Mungu iliyomo ndani yake.

Watu walienda KWA Shekhe Yahya sio kwa sababu Shekhe Yahya alimuamini sana Mungu la.hasha ila kwa sababu Shekhe Yahya aliamini katika nguvu ya Mungu iliyomo ndani yake na alijua jinsi ya kuitumia...

Mwanadamu atakuja kwako wewe Shekhe umuombee dua sio kwa sababu eti una swali sana au unamuamini sana Mungu la hasha.

Atakuja kwako Shekhe KWA sababu wewe Shekhe unasema una uwezo wa kufanya moja mbili tatu

Mwanadamu anamini katika nguvu uliyo nayo wewe sio katika nguvu ambayo utaiomba.

KWA sababu mwanadamu naturally huwaga ana amini ndani yake kwamba Mungu huwa hajibu maombi..

Hata wewe unajua hivyo. KWA hiyo msiwashangae hao wanao enda kwa Mwamposa au Shareef Majini wakati misikiti na makanisa wanayaona
 
Tutakunywa pombe huko peponi lakini si kama hii pombe ya duniani ambayo ukinywa unavurugikwa na akili
🤣🤣🤣🤣 Kubali tu mzee umepigwa. Mimi kuanzia babu gangu wa saba HADI baba yangu mzazi walikuwa mashekhe wakubwa tu lakini nakwambia mkuu dini tumepigwa..

Start to believe in urself mkuu and see how the things will start to change in you.

KWANZA hapo ulipo hata Mungu mwenyewe humuanini wala nini ila una muogopa.
 
Sikutegemea kunitag kwenye swali la kitoto namna hii amabalo hata mtoto mdogo wa chekechea anaweza kulijibu.

Hakanu dhamana kuwa mtu akishika dini asijaribiwe na wala kupata matatizo kwani Duniani ni sehemu ya mitihani ya kila aina haijalishi ni mtu wa aina gani sasa hoja ya misikiti na makanisa kuzama na mafuriko ni hoja ya kitoto sana kwani hakuna mahali pameekewa dhamana hata Waisrael(Sio wakina Netanyahu) walihai kuharibiwa sehemu zao za ibada pale Jerusalem na Nebuchadnezzar tena mara nyingi tu hekalu lilibomolewa na maadui.
,🤣🤣🤣🤣 Usingizi wako ni mzigo kweli kweli. Eti majaribu. Mungu anakujaribu ili yeye apate nini?

Yakobo 1:13-15. Bwana Mungu hawezi kujaribiwa wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu.


N.b: to give someone a test is a human.character. Because u want to know the results. What will he or she do if I give him or her test? So Unapo sema duniani Mungu amekuja kuwajaribu wanadamu ni SAWA na kusema Mungu hajui mambo yajayo.
 
Jesus !!! U don't seems to understand. Mungu hahitaji wewe umtumainie. Mungu hajakuumba umtumainie.

Mungu amekuumba huku ndani YAKO akiwa ameweka kila kitu ambacho una kihitaji katika maisha yako.

Huhitaji kumtumainia ila kinyume chake yeye ndio anakutumainia wewe.

Anatumaini kwamba kwa nguvu na mamlaka aliyo yaweka ndani YAKO utaweza kuishi maisha YAKO na kutawala viumbe wengine walio chini YAKO...
Yeremia 1:5
 
,🤣🤣🤣🤣 Usingizi wako ni mzigo kweli kweli. Eti majaribu. Mungu anakujaribu ili yeye apate nini?

Yakobo 1:13-15. Bwana Mungu hawezi kujaribiwa wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu.


N.b: to give someone a test is a human.character. Because u want to know the results. What will he or she do if I give him or her test? So Unapo sema duniani Mungu amekuja kuwajaribu wanadamu ni SAWA na kusema Mungu hajui mambo yajayo.
We jamaa hata Bible huijui unasoma tu kama gazeti unaeleza juu juu na kuweka tafsiri zako.
James_1-3_Chalk_Web_1200x.jpg


5ea5fe34960dcefff01d552d88782e99(1).jpg
 
We jamaa hata Bible huijui unasoma tu kama gazeti unaeleza juu juu na kuweka tafsiri zako.View attachment 2394578

View attachment 2394579

Wewe ni mlevi. Mwanzoni umeandika" dish limeyumba na quote bible wakati wewe huamini bible" baada ya kutafakari ume edit umeamua uje na hili.


Yes sikatai. Kama ilivyo qur'aan, bible nayo imeandikwa na watu kama wewe.

Mungu hahitaji kukujaribu wewe.

Mungu anae wajaribu watu mimi simuhitaj kwa sababu Mungu huyo ni dhaifu wala hana sifa ya kuitwa mungu.

Mungu alie niumba anaijua kesho yangu hata kabla sija zaliwa.

Hahitaji kunijaribu ili ajue nitafanya nini KWA sababu tayari anajua nitafanya nini hata kabla sijafanya.


Wewe mungu wako unae muamini haijui kesho YAKO ndio maana anakujaribu
 
Wewe ni mlevi. Mwanzoni umeandika" dish limeyumba na quote bible wakati wewe huamini bible" baada ya kutafakari ume edit umeamua uje na hili.


Yes sikatai. Kama ilivyo qur'aan, bible nayo imeandikwa na watu kama wewe.

Mungu hahitaji kukujaribu wewe.

Mungu anae wajaribu watu mimi simuhitaj kwa sababu Mungu huyo ni dhaifu wala hana sifa ya kuitwa mungu.

Mungu alie niumba anaijua kesho yangu hata kabla sija zaliwa.

Hahitaji kunijaribu ili ajue nitafanya nini KWA sababu tayari anajua nitafanya nini hata kabla sijafanya.


Wewe mungu wako unae muamini haijui kesho YAKO ndio maana anakujaribu
Wewe ndiye hauleweki maana unajipinga mwenyewe ,umesema hauamini hizi dini wakati huo huo unatumia vifungu vyao kujibu hoja .

Na unasema Mungu anataka hivi bila kuweka ushahidi kasema wapi na lini ukibanwa hapo unaleta vifungu vya Bible unavyodhani tena vimeandikwa na watu ,hii ni dalili ya dishi kuyumba mazima..
 
Wewe ndiye hauleweki maana unajipinga mwenyewe ,umesema hauamini hizi dini wakati huo huo unatumia vifungu vyao kujibu hoja .

Na unasema Mungu anataka hivi bila kuweka ushahidi kasema wapi na lini ukibanwa hapo unaleta vifungu vya Bible unavyodhani tena vimeandikwa na watu ,hii ni dalili ya dishi kuyumba mazima..
Sasa unataka nitumie reference ipi kukuelewesha. Wewe ni mlevi. Akili YAKO imelevwya na mafundisho ya dini ambayo basically ni mafundisho ya watu. Ntakuelewesha vipi mkuu?

Kingine mkuu samahani KWA kukwambia hili, una sound kama kilaza.

Andiko langu halisemi kwamba mimi simuamini Mungu. Andiko langu lipo KWA ajili ya kumfundisha mtu ajue kile Mungu anataka mtu huyo afanye.

Andiko langu linasisitiza kwamba Mungu anataka wewe ujikite katika kuamini nguvu ya Mungu ambayo ipo ndani YAKO na sio kwenda kumuomba Mungu akupe hiki au kile, afanye hivi au vile wakati tayari uwezo upo ndani YAKo.

SASA Unapo shangaa mimi ku quote maandiko una nihuzunisha sana.

Ur a very slow learner mkuu yani sijui hata ilikuchukua miaka mingapi KUHIFADHI masahafu.


Halafu usi ifunge akili YAKO kwenye KUAMINI kwamba mtu hawezi kumjua Mungu bila kupitia dini.

Mimi sihitaji dini ili kumjua Mungu. Naweza kumjua Mungu kwa kupitia uumbaji wake.

U can know the artist by studying his art.

Sihitaji kusoma maandishi yaliyo andikwa na mtu mwingine akidai kwamba maandishi hayo yametoka KWA Mungu..
 
Wewe ndiye hauleweki maana unajipinga mwenyewe ,umesema hauamini hizi dini wakati huo huo unatumia vifungu vyao kujibu hoja .

Na unasema Mungu anataka hivi bila kuweka ushahidi kasema wapi na lini ukibanwa hapo unaleta vifungu vya Bible unavyodhani tena vimeandikwa na watu ,hii ni dalili ya dishi kuyumba mazima..
Sasa unataka nitumie reference ipi kukuelewesha. Wewe ni mlevi. Akili YAKO imelevwya na mafundisho ya dini ambayo basically ni mafundisho ya watu. Ntakuelewesha vipi mkuu?

Kingine mkuu samahani KWA kukwambia hili, una sound kama kilaza.

Andiko langu halisemi kwamba mimi simuamini Mungu. Andiko langu lipo KWA ajili ya kumfundisha mtu ajue kile Mungu anataka mtu huyo afanye.

Andiko langu linasisitiza kwamba Mungu anataka wewe ujikite katika kuamini nguvu ya Mungu ambayo ipo ndani YAKO na sio kwenda kumuomba Mungu akupe hiki au kile, afanye hivi au vile wakati tayari uwezo upo ndani YAKo.

SASA Unapo shangaa mimi ku quote maandiko una nihuzunisha sana.

Ur a very slow learner mkuu yani sijui hata ilikuchukua miaka mingapi KUHIFADHI masahafu

Halafu usi ifunge akili YAKO kwenye KUAMINI kwamba mtu hawezi kumjua Mungu bila kupitia dini.

Mimi sihitaji dini ili kumjua Mungu. Naweza kumjua Mungu kwa kupitia uumbaji wake.

U can know the artist by studying his art.

Sihitaji kusoma maandishi yaliyo andikwa na mtu mwingine akidai kwamba maandishi hayo yametoka KWA Mungu..
 
Unakufuru were

Subiri utapata jibu lako

Mungu atakushukia kama mwewe na kusambaratisha kila ulichonacho kuanzia afya yako
hahaha acha kunitisha mkuu najitambua na Mungu yupo ndan yangu namjua na yeye ananijua, karibu upate usaidizi wa kirohoo mkuu.
 
Back
Top Bottom