Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ukweli mchungu sana, ni vigumu kuendea ukiwa vijana wengi kama Mathanzua Showmax Bukyanagandi
Ni Kenya na South Africa ndiyo wanaweza fanya hivyo. Nchi zingine vijana wengi hawana maarifa, ushinda kwenye vijiwe vya kahawa na kusoma magazeti ya udaku na conspiracy.
Ni vipi, utamshawishi kijana anae amini maandamano ni kazi ya CIA?.
Maadamno yakifanyika ujeruman, Uingereza ama marekani ni sawa. Ila yakifanyika Ribya, Misri inakuwa wamedanganywa wamedanganywa na Marekani.
Uwa ninafurahi sana kusikia watanzania wananyimwa visa ya kwenda nje especially kutafuta maisha ama elimu.
Imejin unapiga kura ccm, Kisha hutaki kuiwajibisha serikali yako pindi inapovuruga na haileti maendeleo then baada ya uchaguzi unatufa visa kwenda ulaya ama marekani ambako wanajenga nchi zao kwa damu, maandamano, kuiwajibisha serikali zao etc.
Wapo tayari kufia barabarani then we ndiyo unataka ukale matunda ya damu yao kiulani.
Kuna majitu yanadhani chumi za Ulaya, Asia na Amerika zilishuka toka mbinguni kama Mana wakati wa Mussa.