Kinachotokea Afrika Kusini na Kenya inaweza kuwa sawa na Arab Spring kwa nyingine za Afrika

Watanzania tuunganishe hapo hapo tudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi na kuondolewa mlolongo wa tozo na maisha magumu. Wiki hii hii sio wiki ijayo.
Kenya afirika kusini ndio nchi zenye katiba bora dunia lakini Madudu kila kona mtu mweusi hana uwezo wa kusimamia katiba bhana
 
Faida ya maandamano ni kuuana na kuwafanya watu kuwa masikini na vilema fatilia afirika kusini kenya tangu wameanza kuandamana wamepata nini cha maana
 
Tafuta pesa ndugu...!hakuna maisha rahisi dunia nzima...!utanishukuru.
 
Ingekuwa nimewaona Raila, Karua, na Wajakoya barabarani ningeamoni lakini ni waoga kinyama wamejifungia vyumbani wamewaacha wakala hoi akina Nuru OKANGA wakila gesi ya machozi na virungu vya polisi waliovalia kama wanajeshi
Unamawazo mgando sana
 
mfumko ya Bei ni tatizo la Ulimwengu mzima, sasa munapoandamana sijui munakitafuta nini, Unless muwe na ajenda zenu nyengine behind scene.
 
Sisi hapa Mbowe na Zitto Kabwe yameshakula bahasha ya kaki yamekazana MAMA MAMA MAMA MAMA kama mabwege vile. Badala ya kutumia hii opportunity kuanzisha upya lile vuguvugu la mabadiliko ambalo lilizimwa na Magufuri yanalaza damu saa hii tundulissu hata sijui yupo eneo gani la Dunia hii amebakia kuwa mzururaji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…