Mfano hao wqnaotokea kwenye hiyo mikutano nani anathibitisha uhalali wao? Nani anathibitisha hayo madai? Nani anathibitisha ukweli wake? Hii nchi ina watu wa hovyo sana!Anachofanyq makonda ni kujijenga kisiasa ana-uhakika hakuna kitakachotea ila jambo litekelezwe linahitaji mchakato wa kisheria wa kwenda mahakamani
Anachofanyq ni PR
Na huwezi sikiliza upande mmoja ukatoa maamuziMfano hao wqnaotokea kwenye hiyo mikutano nani anathibitisha uhalali wao? Nani anathibitisha hayo madai? Nani anathibitisha ukweli wake? Hii nchi ina watu wa hovyo sana!
Ushauri mzuri sana. Serikali , nje ya mkuu wa mkoa, ina vyombo vyake vya kutatua matatizo mbalimbli kama vile mabaraza ya ardhi ya kata, mahakama nk.Kwani hakuna Mahakama?
Kwa nini ushauri usingelenga kuiambia serikali iimarishe mahakama zetu ili haki zipatikane? Kwa sababu mahakama ndio chombo mahususi kwa ishu za namna hiyo.
Ushahidi unaotolewa nje ya mahakama unathibitishwaje kuwa NI kwèli au sio kweli?
Unajua hata Yesu alihukumiwa kwa namna hiyo?
Ila kisaikolojia watu wasio na akili kichwani huwa na ujanja wa ku survive zana....Na huwezi sikiliza upande mmoja ukatoa maamuzi
Ndo maana mahakaman kila mmoja anapewa nafasi ya kujitetea kabla ya hukumu
Tanzania tuna safari ndefu sana
Wakuu wa mikoa mingine na viongozi wengi wameingia kwenye mtego wa mafisadi kuwa eti Makonda anatafuta kick wakati jamaa anapiga kazi sana.Nurdin babu amelala usingizi.
Anasubiri kwenda ATM mwisho wa mwezi
Mwarubaini wa matatizo ni kuwahamisha watendaji waliokaa muda mrefu, kuna taasisi kama mambo ya ndani, ualimu, afya, ujenzi, mawasiliano, mahakama wanaenda kuombewa sehemu za Ibada wasihame, kuna mwl chuo Kikuu hajawahi kuhama yaani ni full kutengeneza connection za madili, hili la Makonda kusema wahamishwe ni Sawa kabisa, Enzi za raisi Kikwete serikali ili control nidhamu kwa kuhamisha ajabu sasa hivi wanahamishwa wakuu wa wilaya, mikoa na labda mawaziri, mpaka sasa kuna taasisi zipo dar hazijahamia Dodoma na wale waliowahi kufika Dodoma hawahamishwi kabisa, hivyo kukaa na faili la MTU kwaajili ya ukiritimba ni rahisi Sana maana huhami mpaka unastaafu na kuajili watoto wako hapo hapo maana unageuka mwenye taasisi ya serikali.Kinacho endelea Arusha ni sio jambo geni ni matokeo ya mifumo ya ccm.
Hakuna idara, wizara, mamlaka, wilaya,halmashauri, tume, shirika, taasisi nk nk zinazojiendesha kwa ufanisi.
Kuna watu wana historia ya utendaji mbovu na bado wako kwenye nafasi zao, kuhamishwa kituo cha kazi ndio adhabu yao.
HUKU WANACHI WANAKUSANYIKA KUTAFUTA USAIDIZI KWA MKUU WA MKOA.,
HUKU WATENDAJI WANASIFU NA KUPONGEZA MAMA HIVI, MAMA VILE!
Huyu kweli Babu. Jana ameenda kule KINAPA kuna kijana ameuliwa na askari wa mali asili na ushahidi upo lakini hakuna la maana alilosema au kuamua.Nurdin babu amelala usingizi.
Anasubiri kwenda ATM mwisho wa mwezi
Kwamba huyo PM ama walioko juu yake hawayajui hayo? Utakuwa mgeni hapa Tanganyika wewe.Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti. Nafikiri hata viongozi wa juu wanashangazwa na uozo uliopo huku chini
Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya chini ya uangalizi wa wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila Wilaya kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi au maelekezo kwani hali sio shwari.
Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawabishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
Mikutano kama hiyo alikuwa anafanya Jaji Warioba katika ziara zake akiwa PM, ila utawala huu hao maDAC RC wataifanyia maigizo ya kusifu na kuabudu kwasababu hawana ubunifu, huyo aliyefanikiwa ni mbunifu, waigizaji hawataifanya kwa kutafuta matokeo halisi.Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya chini ya uangalizi wa wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila Wilaya kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi au maelekezo kwani hali sio shwari.
Katiba Mpya inayojisimamia ni muhimu! Kila mtu ajue haki na wajibu kwa mujibu wa Katiba!Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti. Nafikiri hata viongozi wa juu wanashangazwa na uozo uliopo huku chini
Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya chini ya uangalizi wa wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila Wilaya kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi au maelekezo kwani hali sio shwari.
Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawabishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
Unapata wapi muda wa kusimiliza mikutano,nyie ndio mnashinda vijiweni badala ya kwenda shamvani,pili unue hsyo ni maigizo tuKinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti. Nafikiri hata viongozi wa juu wanashangazwa na uozo uliopo huku chini
Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya chini ya uangalizi wa wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila Wilaya kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi au maelekezo kwani hali sio shwari.
Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawabishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
Dogo anamuumbua aliyemteua, ili amkomeshe! Hakumuheshimu awamu iliyopita, hamuheshimu sasa, sijui nini kilipelekea kuwekwa kwenye hizi nafasi?Kwamba huyo PM ama walioko juu yake hawayajui hayo? Utakuwa mgeni hapa Tanganyika wewe.
Huyo dogo anaivua nguo serikali ya chama cha mafisadi na hapo watakacho kifanya saaana ni kuzuia aina hiyo ya mikutano isiendelee.
Lkn pia maigizo pia hayawezi kukosekana ijapo kidogo.
Hivi unajua hayo yote yanatokea Chini ya Serikali ya CCM iliyoongoza kwa miongo mingi Sana? Unajua hao unaowasema wasikilize kero za wananchi ni Makada wa CCM??Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya chini ya uangalizi wa wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila Wilaya kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi au maelekezo kwani hali sio shwari.
Makonda linaweza sasa!Sasa hapo kwa mkuu wa Mkoa si ndio kujichoresha tuu.
Mkuu wa mkoa atawezaje kusikiliza kero za mkoa mzima?
Kwa hiyo unataka kusema,aliyemteuwa dogo ndiyo analinda Matapeli yanayoumbuliwa na dogo!?Dogo anamuumbua aliyemteua, ili amkomeshe! Hakumuheshimu awamu iliyopita, hamuheshimu sasa, sijui nini kilipelekea kuwekwa kwenye hizi nafasi?
Ndo nani hapa TanzaniaHuyu hafai kabisa sijui hata hicho cheo alipata je!! Pengine kwa kuwa chawa wa kupongeza malikia!
Mfano hao wqnaotokea kwenye hiyo mikutano nani anathibitisha uhalali wao? Nani anathibitisha hayo madai? Nani anathibitisha ukweli wake? Hii nchi ina watu wa hovyo sana!
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amepwaya!Ndo nani hapa Tanzania