Kada wa ccm ndio sifa yake. Alikuwa katibu wa ccm wilaya ya Kinondoni; akiwa na boss wake fisadi papa Londa!Huyu ni mkuu wa mkoa wa ajabu,kuwahi kutokea. Hajawahi kufika kata yeyote ndani ya mkoa huo.
Hajawahi kufanya ziara wilaya hata Moja za mkoa huo.