B Bulesi Platinum Member Joined May 14, 2008 Posts 14,275 Reaction score 13,929 May 13, 2024 #41 peno hasegawa said: Huyu ni mkuu wa mkoa wa ajabu,kuwahi kutokea. Hajawahi kufika kata yeyote ndani ya mkoa huo. Hajawahi kufanya ziara wilaya hata Moja za mkoa huo. Click to expand... Kada wa ccm ndio sifa yake. Alikuwa katibu wa ccm wilaya ya Kinondoni; akiwa na boss wake fisadi papa Londa!
peno hasegawa said: Huyu ni mkuu wa mkoa wa ajabu,kuwahi kutokea. Hajawahi kufika kata yeyote ndani ya mkoa huo. Hajawahi kufanya ziara wilaya hata Moja za mkoa huo. Click to expand... Kada wa ccm ndio sifa yake. Alikuwa katibu wa ccm wilaya ya Kinondoni; akiwa na boss wake fisadi papa Londa!
The Icebreaker JF-Expert Member Joined Feb 11, 2018 Posts 22,278 Reaction score 65,817 May 13, 2024 #42 Hector Cooper said: Wakuu wa mikoa mingine na viongozi wengi wameingia kwenye mtego wa mafisadi kuwa eti Makonda anatafuta kick wakati jamaa anapiga kazi sana. Click to expand... Na wao watafute kick kama mwenzao itakua ni faida kwa wananchi wanyonge.
Hector Cooper said: Wakuu wa mikoa mingine na viongozi wengi wameingia kwenye mtego wa mafisadi kuwa eti Makonda anatafuta kick wakati jamaa anapiga kazi sana. Click to expand... Na wao watafute kick kama mwenzao itakua ni faida kwa wananchi wanyonge.
A annatee JF-Expert Member Joined Aug 15, 2021 Posts 803 Reaction score 1,841 May 13, 2024 #43 Mtu akifanya vyema mpeni maua yake haijalishi chama.Makonda anafanya vyema kuwasikiliza maana kupata haki hii nchi kama huna hela ni ngumu sana,kesi ikiwa inaendelea mwenzako anampa hakimu chochote kitu hiyo haki utabaki kuisikia kwa watu
Mtu akifanya vyema mpeni maua yake haijalishi chama.Makonda anafanya vyema kuwasikiliza maana kupata haki hii nchi kama huna hela ni ngumu sana,kesi ikiwa inaendelea mwenzako anampa hakimu chochote kitu hiyo haki utabaki kuisikia kwa watu
Twilumba JF-Expert Member Joined Dec 5, 2010 Posts 12,576 Reaction score 14,522 May 13, 2024 #44 Bulesi said: Mahakama zetu zimejaa rushwa hivyo wananchi wanyonge hawapati haki zao toka mahakamani! Click to expand... Mahakama zetu ni kwa ajili ya kuhalalisha dhuruma full stop!
Bulesi said: Mahakama zetu zimejaa rushwa hivyo wananchi wanyonge hawapati haki zao toka mahakamani! Click to expand... Mahakama zetu ni kwa ajili ya kuhalalisha dhuruma full stop!