master of cities
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 429
- 625
- Thread starter
-
- #61
Imani ya zumaridi na yako ni tofauti , tukianza ku_question uhalali wa dini ya Zumaridi ze same to you tuulize uhalali na ukweli wa dini yako ,ndo mana hapa duniani kuna dini maelfu kila mmoja kivyake na Mungu wake , hatujui nani anamuabudu Mungu sahihi na nani anamuabudu Mungu miyeyusho cha msingi kila mmoja asivunje sheria , kusontesheana vidole kwenye masuala ya imani ambayo mostly ni myth story haitakuwa freshMfalme kwa andiko gani?
Inashangaza unaamini kuwa Hananja yule mlevi atadumu mileleHata Gwajima alienda viral kwa video ya sex. Nachojua, ni kwamba Zumaridi anazidi kujianika mbele za watu na ipo siku hata wafuasi wake watamkimbia.
Hata ukimuona mtu anaenda kwa mwakasege , mwamposa , masanja , gwajima and be like , jua hyo ni manipulation na dishi limeyumba
Imani ya zumaridi na yako ni tofauti , tukianza ku_question uhalali wa dini ya Zumaridi ze same to you tuulize uhalali na ukweli wa dini yako ,ndo mana hapa duniani kuna dini maelfu kila mmoja kivyake na Mungu wake , hatujui nani anamuabudu Mungu sahihi na nani anamuabudu Mungu miyeyusho cha msingi kila mmoja asivunje sheria , kusontesheana vidole kwenye masuala ya imani ambayo mostly ni myth story haitakuwa fresh
Inashangaza unaamini kuwa Hananja yule mlevi atadumu milele
Imani yake inamruhusu hvyo, na hawezi kuamini unachoamini mana hakijulikani kama ni cha kweli au ni propaganda , yeye anaamini hvyo na ana wafuasi na lyfe linaenda , wewe endelea kuamini unavyoamini katoe zaka kwa wachungaji wale maisha yaendelee kuchafuana kisa imani ya mwingine sio unyamaKuna imani na kufuru au blasphemy. Yani kuchafua imani ya wengine. Anachofanya Zumaridi ni blasphemy. Unajiita Mungu , lakini kesho unadai Yesu Hana nguvu, kesho kutwa unadai ulitokewa na jua, baadae Tena unadai ulienda mbinguni na kuchumbiwa na Paulo. Maana nyingine anapingana na Biblia inayosema kuwa mbinguni hakuna kuoa Wala kuolewa.
Fafanua hapo kwenye lao ni mojaZumaridi katake airtime , na ameenda viral inashangaza wachungaji wanojua siri ya urembo wamekaa kimya , kihere here cha hananja kudandia mwenzake , ikobhzi kama anjijua ana hoja ya msingi atafte hekima kama akili kubwa za mwakasege although lao ni moja
Wote hao hakuna Mungu pale ni wajasiliadiniFafanua hapo kwenye lao ni moja
😅Jamaa anakaza fuvu kumtetea yule mento zuma 😅😅Mjinga sana wewe mfuasi wa Zumaridi
Mafundisho yale baadhi ni nadharia not practical, ndo maana wafuasi wao hayawasaidii japo wanajaza notisi. Mfano mtu anaendelea na zinaa japo ana notisi za kutosha kuhusu zinaaKuhusu Masanja sijui kwa sababu sijawahi sikia mahubiri yake. Ila Mwakasege ana shida gani, mbona anafundisha vizuri sana
Mungu tunampata wapi sasa kwa hali hiyo?Wote hao hakuna Mungu pale ni wajasiliadini
Sio Ana mental health 😂😂 Sema Ana mental disorderHananja ni mtu anayeongea sana ukweli na si mnafiki,ni mwalimu , ni kiongozi , ni mfariji anaongoza kimwili na kiroho , ni mshauri mzuri sana, juu ya kuwasilisha points zake kwa njia ya comedy, but myself namuelewa sana yaani.
Zumaridi ni mtu ambaye waliomzunguka hawajajua kama ana mental health,sijajua kama hawajui ,huenda Kuna manufaa wanapata pale,maana binadamu tunapenda sana mteremko,maana mtu mwenye akili timamu hawezi zungumza utumbo kama ule.
Weka picha ya hananjaIeleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia kwa uaminifu mkubwa , huku wakijifunika kwa vifungu vya biblia ambavyo concept yake inarelate na mafundisho ya kijamii na ulimwengu
Hii iko wazi kabisa, lakini kwa vile hapa duniani bhana kila mtu anapambana ili mkono uingie kinywani basi tunakausha maisha yaendelee Hananja hana lolote la kumkosoa Zumaridi mana na yeye ni wale wale wanajua wanayemtumikia sema kazidiwa tu ujanja wa ku_trend, thus why amekuja juu kumshambulia mwenzake ili atembee na upepo
Ni sawa na Zitto uone anamponda Mbowe au Mbowe amponde Zitto, kwa vyovyote hapo sababu ni kuzidiana kwenye ulambaji wa Asali gia ya kutetea wananchi hiyo ni mindset cover
Imani yake inamruhusu hvyo, na hawezi kuamini unachoamini mana hakijulikani kama ni cha kweli au ni propaganda , yeye anaamini hvyo na ana wafuasi na lyfe linaenda , wewe endelea kuamini unavyoamini katoe zaka kwa wachungaji wale maisha yaendelee kuchafuana kisa imani ya mwingine sio unyama
Mafundisho yale baadhi ni nadharia not practical, ndo maana wafuasi wao hayawasaidii japo wanajaza notisi. Mfano mtu anaendelea na zinaa japo ana notisi za kutosha kuhusu zinaa
Ni mafundisho yanayokosa uhalisia mfano toa ubarikiwe watu wanatoa lakini hawapati kitu maana mtu anafanya maombi siku tatu kazi siku mbili hajitumi wala hana ubunifu mwusho hapati matokeo japo alitoa kweli mbegu na zaka. Tubahitaji walimu watakaotufundisha vitu practical vyenye uhalisiaMwalimu kashafanya kazi yake hadaiwi, maana kakufundisha kuacha zinaa wewe hutaki.
Ni mafundisho yanayokosa uhalisia mfano toa ubarikiwe watu wanatoa lakini hawapati kitu maana mtu anafanya maombi siku tatu kazi siku mbili hajitumi wala hana ubunifu mwusho hapati matokeo japo alitoa kweli mbegu na zaka. Tubahitaji walimu watakaotufundisha vitu practical vyenye uhalisia