Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
Acheni kumpa sifa MTU mpumbafu,mnamjadili sana Nate ndiyo atakacho
 
Hivi Kachero si mjeda!!?
 
Sahihi kabisa 👏👏👏
 
Wewe ulitakaje? Lakini si ni kweli walimkashifu Rais?
Kwani kuna watu ambao huwa faragha na wakaacha kuwateta wenzao? Nani aliwaambia waanike mambo ya faraghani? Ukinikuta ninakunya chooni utaenda kuitisha press na kutangaza wakati nilikuwa nimejisitiri? Kurusha zile audio lilikuwa kosa kubwa mnooooo!
 
Wewe chama hakina mtu mhimu, hayo yspo ndani ya chadema tu! Mbowee tuvushe! Huku ni chama tuvushee!

Kinanaa niz mkubwa kaua faru wetu wakutosha tu!
Kuna watu muhim nchi hii kuliko kinana.

Kuna makamanda, wakuu wa vikosi vya majeshi na wapigania nchi maarufu kuliko kinana na makamna.

Kinan ni jiziiii mkubwaa.

Walikuwepo wakawepo lakini walizima gafra sembuse kinan na makambaaa!!!
 
Rais wa nchi hateuliwi kwa kuandika vikaratasi na kuwaita vipofu wateue Rais wa nchi, JK alifanya kosa kubwa Sana ambalo analijutia Sana, Sasa jamaa anasema alisukumizwa tena hadharani
 
Vijana wa sasa wana la kujifunza.
CCM ikishakutumia ukachoka haina habari na wewe tena, utabezwa, utadharilishwa na kufanyiwa kila uovu.
Vijana mnaotumika na CCM mjitafakari na kuchukua hatua asubuhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu ambaye si mwanachama wako hawezi kuja labda kama Ana wito wa polisi kuelewa mahakamani
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…