Kinana kuongea na mamlaka bodaboda wabebe abiria zaidi ya 1 (mshikaki)

Ule mfupa wa traffic police aliuacha wapi na alimwachia nani?
 
Mimi mwenyewe dereva bodaboda sikubaliani na huo ujinga
 
Wanasiasa wanafanya kazi za wasomi na wasomi wamekubali kufanya kazi za kisiasa Kwa maslahi ya watu wachache hapo ndio tatizo letu limeanzia
 
Awaambie na manufacturers waweke shock up za uzito mkubwa, bush za mkasi mkubwa na material ya frame.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…