Kinana , Nchimbi na Makonda Tayari wameingia kwenye mfumo wa CHADEMA , sasa anayesubiriwa ni Samia tu mchezo uishe

Kinana , Nchimbi na Makonda Tayari wameingia kwenye mfumo wa CHADEMA , sasa anayesubiriwa ni Samia tu mchezo uishe

Nimefuatilia hotuba ya Kinana aliyoitoa kwa Wanaccm Wenzake , katika kile kinachoitwa Kumbukumbu ya kuzaliwa kwa chama hicho , kwa zaidi ya 95% hotuba ya Kinana iliihusu CHADEMA .

Hivi ndivyo alivyofanya Nchimbi kabla ya kuishiwa maneno , na ndivyo anavyofanya Makonda kote anakopita .

Aliyebaki na ambaye anasubiriwa kuiimba Chadema ni Samia Suluhu ambaye ni mwenyekiti wa ccm , Taarifa zinadokeza kwamba tayari kishaandaliwa hotuba itakayomuingiza kwenye Mfumo huo .

Sasa ndio muwe mnaelewa tunaposema Chadema ni kama Maisha au maji , haikwepeki .
Hujui kitu kabisa. CCM sisi ni bonge la chama naona kichama chenu mfu mnatafuta pa kutokea hahaha
 
Nimefuatilia hotuba ya Kinana aliyoitoa kwa Wanaccm Wenzake , katika kile kinachoitwa Kumbukumbu ya kuzaliwa kwa chama hicho , kwa zaidi ya 95% hotuba ya Kinana iliihusu CHADEMA .

Hivi ndivyo alivyofanya Nchimbi kabla ya kuishiwa maneno , na ndivyo anavyofanya Makonda kote anakopita .

Aliyebaki na ambaye anasubiriwa kuiimba Chadema ni Samia Suluhu ambaye ni mwenyekiti wa ccm , Taarifa zinadokeza kwamba tayari kishaandaliwa hotuba itakayomuingiza kwenye Mfumo huo .

Sasa ndio muwe mnaelewa tunaposema Chadema ni kama Maisha au maji , haikwepeki .
Mkuu mlipokea Ruzuku ya billion 2.7 ambayo inajumuisha na wabunge mlio waita covid 19?
 
Mkuu mlipokea Ruzuku ya billion 2.7 ambayo inajumuisha na wabunge mlio waita covid 19?
Labda turudie tena kufundisha , Ni hivi , Ruzuku za vyama vya siasa hazitokani na Wabunge wa viti maalum
 
Naunga mkono hoja, Chadema ni kama maji usipoyanywa, utayaoga na siku ya mwisho yatakuosha!.

Kwa vile maji yako ya aina nyingi, yako maji yaliyotulia kama maji ya mtungi, yapo maji tiririka, yanapita yanakwenda, yapo maji ya uzima, yapo maji ya kuoga na kuosha, yapo maji ya ku flashia, yapo maji ya mvua inanyesha, yanazama etc etc,

CCM ni maji ya mezani, maji ya kunywa, maji ya uzima, ndio maana CCM wako mezani, karamuni wanajilia na kushushia na maji, huku nchi inasonga.

Jee Chadema ni maji ya kwenye kundi gani?, maji ya mezani wenyewe wapo!
P
Tunazungumzia maji hatuzungumzii makundi ya maji Bro
 
Samia pia alikwisha ingia alihudhuria mkutano mkuu wa bawacha,amemkaribisha Mbowe ikulu,amechangia 150mil kanisa la chadema ameruhusu mikutano ya kumshambulia usiseme katiba kipindi cha magufuli ilikuwa kimya mkatii bila shuruti,amewachia muandamane mfumo gani tena ambao hajaingia na tume pia amewaachia muiteue nyinyi chadema!
CHADEMA wana kanisa!!??
 
Tunazungumzia maji hatuzungumzii makundi ya maji Bro
Yes tunazungumzia maji, ila maji ya nini?, ya kunywa, ya kupikia, ya kuogea, ya kuoshea etc, kwa sasa walioko mezani ni CCM na maji wanakunywa, hayo maji ya Chadema ni yapi?, ya kuogea au ya kuoshea?.
P
 
Nimefuatilia hotuba ya Kinana aliyoitoa kwa Wanaccm Wenzake , katika kile kinachoitwa Kumbukumbu ya kuzaliwa kwa chama hicho , kwa zaidi ya 95% hotuba ya Kinana iliihusu CHADEMA .

Hivi ndivyo alivyofanya Nchimbi kabla ya kuishiwa maneno , na ndivyo anavyofanya Makonda kote anakopita .

Aliyebaki na ambaye anasubiriwa kuiimba Chadema ni Samia Suluhu ambaye ni mwenyekiti wa ccm , Taarifa zinadokeza kwamba tayari kishaandaliwa hotuba itakayomuingiza kwenye Mfumo huo .

Sasa ndio muwe mnaelewa tunaposema Chadema ni kama Maisha au maji , haikwepeki .
Hata mimi nilishangaa ....Chama kimkosa Agenda
 
Nimefuatilia hotuba ya Kinana aliyoitoa kwa Wanaccm Wenzake , katika kile kinachoitwa Kumbukumbu ya kuzaliwa kwa chama hicho , kwa zaidi ya 95% hotuba ya Kinana iliihusu CHADEMA .

Hivi ndivyo alivyofanya Nchimbi kabla ya kuishiwa maneno , na ndivyo anavyofanya Makonda kote anakopita .

Aliyebaki na ambaye anasubiriwa kuiimba Chadema ni Samia Suluhu ambaye ni mwenyekiti wa ccm , Taarifa zinadokeza kwamba tayari kishaandaliwa hotuba itakayomuingiza kwenye Mfumo huo .

Sasa ndio muwe mnaelewa tunaposema Chadema ni kama Maisha au maji , haikwepeki .
kwahiyo ccm wameingia kwenye mfumo wa chadema 😀

sheria mpya ya tume huru na uchaguzi itawasaidia sana mpate wabunge wengi zaid uchaguzi ujao.

kwakweli mmefosi hadi maoni yenu yamezingatiwa bara-bara na yanakwenda kua sheria..
 
Yes tunazungumzia maji, ila maji ya nini?, ya kunywa, ya kupikia, ya kuogea, ya kuoshea etc, kwa sasa walioko mezani ni CCM na maji wanakunywa, hayo maji ya Chadema ni yapi?, ya kuogea au ya kuoshea?.
P
Whatever, hio ni choice yako, utaamua uyaoge, uyanywe, ufulie au ubatizie kwenye ubatizo WA maji machache au mengi. The choice is yours
 
Nimefuatilia hotuba ya Kinana aliyoitoa kwa Wanaccm Wenzake , katika kile kinachoitwa Kumbukumbu ya kuzaliwa kwa chama hicho , kwa zaidi ya 95% hotuba ya Kinana iliihusu CHADEMA .

Hivi ndivyo alivyofanya Nchimbi kabla ya kuishiwa maneno , na ndivyo anavyofanya Makonda kote anakopita .

Aliyebaki na ambaye anasubiriwa kuiimba Chadema ni Samia Suluhu ambaye ni mwenyekiti wa ccm , Taarifa zinadokeza kwamba tayari kishaandaliwa hotuba itakayomuingiza kwenye Mfumo huo .

Sasa ndio muwe mnaelewa tunaposema Chadema ni kama Maisha au maji , haikwepeki .
Unatakla tukuamini? Basi tuheshimu kwa sababu nasi tuanaona, tunasikia na kusikiliza
 
Chadema nawahasa 2025 sio mbali mmekazana kujipamba hapa wananchi hatuwaoni

Mfano mdogo tu ziara za Mwenezi Makonda zinawatoa kwenye reli TUTAFIKA KWELI isije fika mwakani mkaanza kuungua mkono juhudi oooooohooo
 
Chadema nawahasa 2025 sio mbali mmekazana kujipamba hapa wananchi hatuwaoni

Mfano mdogo tu ziara za Mwenezi Makonda zinawatoa kwenye reli TUTAFIKA KWELI isije fika mwakani mkaanza kuungua mkono juhudi oooooohooo
Ulipotaja Makonda tu nikakudharau .
 
Nimefuatilia hotuba ya Kinana aliyoitoa kwa Wanaccm Wenzake , katika kile kinachoitwa Kumbukumbu ya kuzaliwa kwa chama hicho , kwa zaidi ya 95% hotuba ya Kinana iliihusu CHADEMA .

Hivi ndivyo alivyofanya Nchimbi kabla ya kuishiwa maneno , na ndivyo anavyofanya Makonda kote anakopita .
Mwenezi wa chadema inabidi atulie tu. Maana chadema inaenezwa na ccm.
 
Back
Top Bottom