Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Tatizo ni Katiba yetu Mkuu,tukipata Katiba Mpya yenye Meno na imani mambo yatakaa vizuri,pamoja na Raisi kuondolewa kinga kuna hili eti Tume ya Uchaguzi ikishamtangaza Raisi hakuna mamlaka inayoweza kuhoji hii imekaa vibaya sana ikumbukwe hakuna aliye juu ya sheria tunahitaji katiba mpya mkuu.
 
Katiba ya sasa ipo wazi kwenye hilo. Inaweza kupelekwa hoja ya kuondoa kinga ya Rais mstaafu ili ashitakiwe. Zambia walishawahi kufanya hivyo kwa short chassis Chiluba.
Hii kinga haina manufaa yoyote kwa nchi ila wabunge wetu wamekosa uzalendo na kuwaona hawa maraisi kama miungu watu wakati hii kazi waliomba wenyewe na baadae wakala kiapo cha uaminifu kwa Jamuhuri.
 
Tatizo ni Katiba yetu Mkuu,tukipata Katiba Mpya yenye Meno na imani mambo yatakaa vizuri,pamoja na Raisi kuondolewa kinga kuna hili eti Tume ya Uchaguzi ikishamtangaza Raisi hakuna mamlaka inayoweza kuhoji hii imekaa vibaya sana ikumbukwe hakuna aliye juu ya sheria tunahitaji katiba mpya mkuu.
Bahati mbaya sana hata Katiba ya mzee Warioba na katiba inayopendekezwa zote zimebeba huu ujinga wa Kinga ya Raisi.
 
Ili kuleta uwajibikaji kuanzia Ikulu mpaka ofisi ya serikali mtaa, nawashauri wabunge wa CCM na wale wa UKAWA kuungana pamoja na kuifutilia mbali kinga ya Raisi.

Marekebisho hayo pia yaruhusu hata maraisi waliostaafu huku wakiwa na hii kinga nao waweze kushitakiwa iwapo kutakuwa na tuhuma zinazowahusu na zinazostahili wao kufikishwa mahakamani.

Ni matumaini yangu kuwa Magufli atakuwa wa kwanza kuunga mkono hoja/hatua hii kama kweli anaamini katika usawa na anataka kuridisha nidhamu serikalini.

Tujifunze kutoka Afrika kusini kwani inawezekana watu aina ya Zuma waliwahi ishi pale magogoni au wakaja kuishi siku zijazo.

NB:Nimeleta habari kuunga mkono wazo la mwandishi,Prudence Karugendo katika makala yae katika gazeti la Mwanahalisi la leo iliyoko katika ukurasa wa 14 wa gazeti hilo.Makala hiyo mwandishi ameipa kichwa cha habari kinachosomeka: "JPM atumbue kinga ya maraisi wastaafu."

Tofauti na alivyopendekeza mwandishi Karugendo,mimi nimeona ni vizuri hoja hii ianzie Bungeni moja kwa moja badala ya kusubri serikali ndio ipeleke hoja hiyo Bungeni ili kumtomjenga raisi uadui unaoweza kujitokeza baina yake na watangulizi wake.


Naunga mkono hoja
 
Kuwatetea wajinga ni kazi kubwa mno. Nyerere alijua yote hayo ila akaona atuache tu
 
Ili kuleta uwajibikaji kuanzia Ikulu mpaka ofisi ya serikali mtaa, nawashauri wabunge wa CCM na wale wa UKAWA kuungana pamoja na kuifutilia mbali kinga ya Raisi.

Marekebisho hayo pia yaruhusu hata maraisi waliostaafu huku wakiwa na hii kinga nao waweze kushitakiwa iwapo kutakuwa na tuhuma zinazowahusu na zinazostahili wao kufikishwa mahakamani.

Ni matumaini yangu kuwa Magufli atakuwa wa kwanza kuunga mkono hoja/hatua hii kama kweli anaamini katika usawa na anataka kuridisha nidhamu serikalini.

Tujifunze kutoka Afrika kusini kwani inawezekana watu aina ya Zuma waliwahi ishi pale magogoni au wakaja kuishi siku zijazo.

NB:Nimeleta habari kuunga mkono wazo la mwandishi,Prudence Karugendo katika makala yae katika gazeti la Mwanahalisi la leo iliyoko katika ukurasa wa 14 wa gazeti hilo.Makala hiyo mwandishi ameipa kichwa cha habari kinachosomeka: "JPM atumbue kinga ya maraisi wastaafu."

Tofauti na alivyopendekeza mwandishi Karugendo,mimi nimeona ni vizuri hoja hii ianzie Bungeni moja kwa moja badala ya kusubri serikali ndio ipeleke hoja hiyo Bungeni ili kumtomjenga raisi uadui unaoweza kujitokeza baina yake na watangulizi wake.
katiba ya warioba ilitaka hiyo kinga iondolewe ila mafisiem yakapinga
 
Kama ulikuwepo kwenye kijiwe chetu cha jana mkuu! Hili suala tulilijadili sana kuwa wakati sasa umefika wa bunge kumwondolea kinga rais na kumpunguzia madaraka! Ifike wakati wabunge waweke vyama kando na kuungana katika mambo muhimu kama haya.
Kama wanavyoweka vyama kando na kuungana kwenye suala la posho?
 
Kinga isiondolewe......
Kuna umuhimu mkubwa wa Kinga kuwepo
 
Ili kuleta uwajibikaji kuanzia Ikulu mpaka ofisi ya serikali mtaa, nawashauri wabunge wa CCM na wale wa UKAWA kuungana pamoja na kuifutilia mbali kinga ya Raisi.

Marekebisho hayo pia yaruhusu hata maraisi waliostaafu huku wakiwa na hii kinga nao waweze kushitakiwa iwapo kutakuwa na tuhuma zinazowahusu na zinazostahili wao kufikishwa mahakamani.

Ni matumaini yangu kuwa Magufli atakuwa wa kwanza kuunga mkono hoja/hatua hii kama kweli anaamini katika usawa na anataka kuridisha nidhamu serikalini.

Tujifunze kutoka Afrika kusini kwani inawezekana watu aina ya Zuma waliwahi ishi pale magogoni au wakaja kuishi siku zijazo.

NB:Nimeleta habari kuunga mkono wazo la mwandishi,Prudence Karugendo katika makala yae katika gazeti la Mwanahalisi la leo iliyoko katika ukurasa wa 14 wa gazeti hilo.Makala hiyo mwandishi ameipa kichwa cha habari kinachosomeka: "JPM atumbue kinga ya maraisi wastaafu."

Tofauti na alivyopendekeza mwandishi Karugendo,mimi nimeona ni vizuri hoja hii ianzie Bungeni moja kwa moja badala ya kusubri serikali ndio ipeleke hoja hiyo Bungeni ili kumtomjenga raisi uadui unaoweza kujitokeza baina yake na watangulizi wake.
Mimi ningekuwa Rais nisingetoa kinga
 
Katiba ya sasa ipo wazi kwenye hilo. Inaweza kupelekwa hoja ya kuondoa kinga ya Rais mstaafu ili ashitakiwe. Zambia walishawahi kufanya hivyo kwa short chassis Chiluba.
Kwa Tz hayawekani maana vyama vya siasa havipendi kuona mtu anayetoka chama chao anashitakiwa mf.rasimu ya katiba ya Warioba iliweka kila kitu lakini wabunge wa chama fulani wakatumia uwingi wao kuikataa nchi ya wajinga itabaki hivihivi hadi akili ziwarudie
 
Back
Top Bottom