Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

View attachment 737179
Rais wa zamani wa A/Kusini Jacob Zuma akiwa kizimbani.
View attachment 737185
Rais wa zamani wa Brazil Lila De Silva akiwa kizimbani.
View attachment 737187
Rais wa zamani wa Korea Kusini, Park alipokuwa akipelekwa Mahakamani.

Kumekuwa na wimbi jipya sana linaloendelea duniani la kushitakiwa viongozi wa nchi na WASHIRIKA wao pinde anapoachia madaraka hasa kutokana na UFISADI.

1.Tumeona rais wa zamani wa Afrika Kusini akiwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka 16 ya UFISADI miongoni mwa mashtaka hayo ni MANUNUZI ya SILAHA miaka ya 90. ya dollar billioni 2.5 za Kimarekami !!!!
Huku mshirika wake MKUU GUPTA ambaye ndiye aliyekuwa akimsaidia Zuma yuko matatani.
anatafutwa.

2.Rais Lule de Silva wa Brazil KUFUNGWA miaka 12 gerezani baada ya kuwa rais kwa miongo miwili katika utawala wake kwa kosa la UFISADI na kutumia madaraka yake KUJITAJIRISHA na kupokea RUSHWA!.

3.Rais wa zamani na wa kwanza mwanamke wa KOREA KUSINI Ms Park kahukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 24 gerezani, na kuilipa serikali Dollar za Kimarekani millioni 24.
MSAIDIZI wake aliyekuwa AKITENGENEZA DILI zake miaka nafikiri 10

Wakati vuguvuvugu la vyama vingi lilipoanza lilianza hivi hivi tu baadaye likapokelewa na Afrika na Tanzania kwa ujumla. "You cannot resist an idea whose time has come"./Huwezi kuzuia NIA/WAZO ambalo wakati wake umefika!

TUPENDE , TUSIPENDE siku moja litatokea Tanzania. Hamna huruma kwa watu walio ila Tanzania na kuwafanya Watanzania wengine kama second class Citizens and destitute/Maskini wa kutupwana watu wa daraja la pili

Wakati wengine WANAKULA na KUSAZA na KUENDESHA MAGARI yanyaozidi mishahara yao.Majumba mabayo hawawezi kuelezea WALIYAPATA namna gani.

Nasema hivi kwa sababu. Kwa nini Rais Magufuli kwa Muda mfupi wa kipindi cha MIAKA 2 NA NUSU tu ameweza KUFANYA mambo MAKUBWA sana. Kwani VIONGOZI waliomtangulia HAWAKUYAONA?????

Let's call a Spade a Spade/Acha tuite kama ni Koleo ni Koleo na si KIJIKO.
UKWELI ni lazima USEMWE.
Within miaka miwili na nusu. Ndege ndo hizo na zingine zinakuja. Elimu bure, KUDHIBITI Madini yetu. SGR sijui nini Mambo meengi sana mzee kafanya.
Tumpongeze.



Hata haya ya jana aliyoyafanya ya kujenga na kufungua UKUTA MERARANI liliokuwa ni NDOTO kwa wengine. alifanya hivyo ili KUNUFAISHA Watanzania WASIENDELEE KUIBIWA raslmali zao. Kweli MAGUFULI ANASTAHILI PONGEZI sana sana.

Pamoja na mapungufu yake ambayo tunajaribu kumshauri kila wakati kupitia mitandao ya jamii. Maana naye ni binadamu SI Malaika.
Lakini ukweli AISEE Mzee AMEFANYA KAZI zinazoonekana

Kama tukiweka kwenya MIZANI nafikiri UZITO wa MAZURI utaushinda MAPUNGUFU yake.

Hata katika maoni yangu si kwamba kila kitu huwa ninakubaliana naye, kuna wakati nakosoa na kutoa ushauri. Ili mtu asiseme bla bla sijui nini!

Maana hata KATIKA FAMILIA yeyoteile mtu na NDUGU yake si LAZIMA wakubaliane kimawazo wakati mwingine hutofautiana sana.

Hata hivyo hubaki kuwa wao ni ndugu mwishowe HUELEWANA na maisha yanaendelea.
Na hiyo ndo tabia ya kibinadamu.


POINTI yangu kuu ni kuwa naamni SIKU MOJA WATU fulani watakuja kujibu KWA NINI WALIIFIRISISHA Tanzania kupitia UFISADI.

Niaamini. itafika mahali CHAMA cha CCM na WABUNGE wa vyama vingine kwa PAMOJA wataungana ili kukiondoa KIFUNGU cha IMMUNITY ya kutokushtakiwa kwa {sic}


Hata kama si huyu Rais Magufuli SASA basi rais atakayekuja siku zijazo huenda akawa na MAONO na UCHUNGU kama wa Magufuli wa NCHI na WANANCHI wake ATAKUWA na UJASIRI na kuwapeleka MAHAKAMANI viongozi MAFISADI bila huruma.
bado huyu wa hapa tena ipitishe sheria wanyongwe hadharani kama wanavyoua watz na kuwatupa baharini ...................



i wish niishi mpaka afe namchukia
 
Con
Muulize Lowasa alipoanzisha mtandao alikuwa anaitakia nini nchi hii,
Na kashindwa mtandao akamnunua mbowe a.k.a. Jim kill ill mbowe.... Shida ikaanzia hapo chagadema wote wakaugua akili na sasa ni mabingwa wa matusi, copy and challenge and so... So.....[emoji324] [emoji2]
Content fit only for the Dustbin.
 
bado huyu wa hapa tena ipitishe sheria wanyongwe hadharani kama wanavyoua watz na kuwatupa baharini ...................



i wish niishi mpaka afe namchukia
Mkuu usiwe na chukiisiyo na maana.Utaumizamwili na afya yako bure.
 
Kama ilivyo mbali mbingu na ardhi, vivyo hivyo huu ushauri na ccm. Katika nchi ambayo mahakama na bunge havipo huru sahau kabisa hilo bwasheee
Haya subiri kidogotu nakuletea lingine tena. Unawezekana sana.
 
bado huyu wa hapa tena ipitishe sheria wanyongwe hadharani kama wanavyoua watz na kuwatupa baharini ...................



i wish niishi mpaka afe namchukia
Una uhakika kuwa ni yeye ndo anayefanya hayo?
 
Kama ilivyo mbali mbingu na ardhi, vivyo hivyo huu ushauri na ccm. Katika nchi ambayo mahakama na bunge havipo huru sahau kabisa hilo bwasheee
Siku inakuja watajitambua na kuamka toka usingizini.
 
Kama Korosho zimepata soko tamu hivyo, Mb Nape Nnauye aingelalamika Bungeni juzi..
Kwa Serikali hii, na chama hiki cha kuminya uhuru wa habari, tutalishwa matango pori kila siku..
Uhuru wa habari ki uhalisia umokatika Katiba yetu.
Ilimradi uwe usiona uchochezi vile.
Mtu akikuonea bure. Ziko sheria nenda mahakamani shitaki.
Ndo maana ya mahakama.
 
Ufisadi hauna chama,kabila,rangi,cheo.Hata huko upinzani kuna mafisadi,wakwepa kodi,wauza mihadarati,matapeli,majizi n.k.Unapompa kimada wako nafasi ya ubunge kisa ni kimada wako au kimada wa rafiki yake tayari huo ni ufisadi,unapodai nyumba ya shirika la umma ni yako wakati unajua sio yako tayari ni ufisadi,unapokuwa na mimali isiyoelezeka wakati hujawahi kuwa mfanyabiasha hata siku moja huo ni ufisadi
Sasa serikali na vyombo vya ku-deal na ufisadi viko wapi na ndio maana tunasema hii serikali haifai ilituahidi itashughulikia hayo, sasa wapi. Iko tu busy kununua wapinzani na kuwajeruhi wengine wao. Bogus kabisa.
 
Uhuru wa habari ki uhalisia umokatika Katiba yetu.
Ilimradi uwe usiona uchochezi vile.
Mtu akikuonea bure. Ziko sheria nenda mahakamani shitaki.
Ndo maana ya mahakama.
Siku ya kupewa dhamana ikiwadia, hakimu anaingia mitini......!!!!! Amri kutoka mbinguni.!
 
Wimbi huwa likianza huleta kimbunga. Huangusha miti mikubwa.
Tumechoka KUIBIWA.Tanzania lazima watu washutakiwe.
Wengine wanaishi kama ........Na wengine wanaishi maisha ya umaskini wa kutupwa eti sababu
Tunalindana. This should come to an end.
WABUNGE wajadili hilo kwa KINA bila hivyo kila mtu akija NUKULA na KUPIGA dili.
hATUWEZI kuwa na nchi ya namana hiyo mkuu.
nakuelewa sana mkuu lkn tunaanzaje ikiwa bado mpaka leo watu wanapigia kura wagombea kwa kuhongwa elfu 7 au tshirt na kofia na miongoni mwetu wale mungu aliewapa upeo wa kujua mambo wanaokosoa wanaitwa wachochezi na sisi miongoni mwetu tunakubali yawafike ya kuwafika tukiaminishwa ni wachochez kweli sioni mwanga wwte huko mbeleni ni kiza tu kimetawala
 
hivi kwa sababu. Kwa nini Rais Magufuli kwa Muda mfupi wa kipindi cha MIAKA 2 NA NUSU tu ameweza KUFANYA mambo MAKUBWA sana. Kwani VIONGOZI waliomtangulia HAWAKUYAONA????
Mambo gani makubwa yaliyofanyika, wakati CAG ripoti deni LA taifa limepaa!
 
Mleta mada tunakufuatilia tukupeleke uhamiaji tuna mashaka na uraia wako. Sisi watanzania tunajijua ni wapole,waoga na wanyonge na huwa hatuna makuu.
 
Back
Top Bottom