thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Acha wasuse waoneKuna tatizo kubwa Tz la vyama mamluki, kama tlp ya mrema; na kile cha dovutwa; na vingine vingi vidogvidogo. Usishangae vikashiriki uchaguzi na kushindishwa katika baadhi ya maeneo.
Halafu ccm ikautangazia ulimwengu kwamba Tanzania kuna demokrasia; na kuna uchaguzi huru na wa haki.
Hivi huyo Mbowe atapataje ruzuku bila kuwa na uwakilishi wa madiwani na wabunge? Unajua criteria ya kupata ruzuku? Ku comment bila uelewa ni kujidhalilishaHilo hawawezi kulifanya kamwe kwani Mbowe anahitaji ruzuku yetu kuliko chochote Dunia hii, hivyo wataendelea tu kuwazuga na kuwadanganya lkn ukweli ni kwamba Mbowe na Uongozi Mkuu wa chadema haujali chochote isipokuwa ruzuku yetu tu, na ndiyo maana pmj na malalamiko yao yote hawawezi kususia uchaguzi kwani Tume yetu pia haitawapa ruzuku yetu!
Vilevile wajiandae kufanya downsizing,kwani ruzuku inaweza kupunguaHivi huyo Mbowe atapataje ruzuku bila kuwa na uwakilishi wa madiwani na wabunge? Unajua criteria ya kupata ruzuku? Ku comment bila uelewa ni kujidhalilisha
Barbarosa,
Acha porojo za ki-Abunuwasi baali unatakiwa kuongea kitu chenye mashiko.
Unachoongea ni umbeya ambao huwezi kuuthibitisha.Mbowe hana njaa ya ruzuku kama unavodai. Ruzuku iko kisheria kulingana na idadi ya Madiwani na Wabunge kilio nao chama. CHADEMA hata isipoingia kwenye Uchaguzi wa marudio ruzuku yake ipo palepale mpaka 2020 labda huo mpango wenu wa CCM kununua Madiwani na Wabunge wote watakapohamia CCM ndipo CHADEMA WATAKOSA RUZUKU...!!
Kweli kabisa mkuuLimekuwa ni jambo LA kawaida tume kuihujumu chadema wakishirikiana na police.Mwisho was siku chadema mnabaki kulialia kwenye vyombo vya habari bila kuchukua hatua.
Nikiwa mmoja wa mtanzania nayetamani uchaguzi huru na wa haki natangaza Leo sitapiga kura kwenye serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2020 kama chadema msipofanya maamuzi magumu ili tupate tume huru.
Precious
Mwanza Tanzania
Mkuu mimi siwezi kupewa hata uenyekiti S/Mtaa. SijulikaniUmefanya kazi nzuri kutukana upinzani. Weka contacts zako wakubwa wakujue wakubebe
Nyie makamanda mnachosha na vijimaneno vyenu vya mtandaoni.Heshima Kwenu,
Katika chaguzi karibu zote za marudio au chaguzi ndogo, CCM na wagombea wake (has a wanaomuunga mkono rais)hutamba kwa kujiamini kuwa lazima ashinde na kweli anashinda kwa 'kishindo'.
Malalamiko yote ya opposition hasa CHADEMA huishia hewani. Si Tume ya Uchaguzi wala polisi wanaojishughulisha na yanayotokea, iwe kukatwa mapanga wasimamizi au gari kutobolewa tairi kwa risasi. Nani atajali magaidi wakipewa wanachostahili?Hawana haki nchi hii.
Siku haya mambo yakigeuka asilaumiwe yeyote .Heshima Kwenu,
Katika chaguzi karibu zote za marudio au chaguzi ndogo, CCM na wagombea wake (has a wanaomuunga mkono rais)hutamba kwa kujiamini kuwa lazima ashinde na kweli anashinda kwa 'kishindo'.
Malalamiko yote ya opposition hasa CHADEMA huishia hewani. Si Tume ya Uchaguzi wala polisi wanaojishughulisha na yanayotokea, iwe kukatwa mapanga wasimamizi au gari kutobolewa tairi kwa risasi. Nani atajali magaidi wakipewa wanachostahili?Hawana haki nchi hii.
Unaandika uongo ambao utakugharimu muda mfupi sana ujao , asilaumiwe mtuChadema waliachana na siasa na kujikita kwenye ujasiliamali wa siasa pamoja na utetezi wa mafisadi sasa matokeo ya msimamo wao ndio yanayowaumiza leo hii.
Jina lake ni jibu tosha mkuu.Unaandika uongo ambao utakugharimu muda mfupi sana ujao , asilaumiwe mtu