Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

Kingunge: Bila tume huru, wapinzani wasahau kuingia Ikulu

napenda kumtumia salamu maalum Mh Mbowe,Mbatia,Zitto,Lema,Halima Mdee,Sugu, nk,na wote wahusika,nina imani wote ni wazima na mnaendelea vema na shughuli zenu za kisiasa,

dhumuni la waraka huu ni kuwapa taarifa ya kwamba itakuwa ni muujiza wa aina yake kwenu nyie kurudi Bungeni 2020,

mmekuwa mstari wa mbele kumkosoa Rais na ccm kwa mambo wanayofanya huku mkisahau jambo la muhimu kuliko yote ambalo litawafanya au kusaidia kuwarudisha bungeni miaka miwili ijayo,

kuna haja gani ya kuendelea kupambana na serikali NA KUIPINGA kwenye mambo yasiyo ya muhimu kama ndege na reli NA kusahau kipau mbele kwa sasa

Waheshimiwa kama nilivyosema hapo juu nyie wote hakuna anayerudi Bungeni hiyo nawaambia wazi ipo na inaeleweka,

balozi wa Marekani ataletwa ambaye keshajua nini kinaendelea Tanzania,kazi kwenu kujipanga jinsi ya kupresent issue zenu sio kienyeji,anategemea kukuta very smart politician with smart strategy kazi mnayo kwa kweli,

kwa mtazamo wangu mnayofanya tumeona matokeo yake kule Kinondoni na maeneo mengine uchaguzi ulikorudiwa,Leo hii polepole yuko jimbo la Hai kule demokrasia ilikozaliwa na anachofanya kule kila mtu anashuhudia na kujionea,hakuna haja ya kuendelea kupambana na Rais na ccm kwa sasa kuna haja ya kukaa na kuangalia plan B,
plan A imeshindikana na haiwezekani na haitakaa iwezekani ndugu zangu ebu badilisheni plan tuone nini kitatokea,

inahitajika sana tume huru ya uchuguzi kama mnataka tushinde na tuwarudishe bungeni miezi 24 ijayo

kuna haja basi ya kupambana sasa hivi japo kumekucha tayari tupate tume huru ya uchaguzi,

fanyeni juu chini tafuteni ushauri kwenye mashirika ya kimataifa pambaneni kiume tupate tume huru ya uchaguzi,elekezeni nguvu zote huko sahau mambo ya kupingana na Rais haisaidii wala haitasaidia kwa lolote bora tuangalie mbele sasa manake tunayofanya yameshindikana,

bora muungane wote mpaze sauti mataifa yote duniani yasikie kilio hicho Magufuli anaweza kuona aibu kukubali tume huru ya uchaguzi iundwe,

bora kuacha yote na kuelekeza nguvu zote kwenye hilo manake 2020 hiyo itafika hamna katiba mpya hamna tume huru ya uchaguzi imekula kwetu na nchi nzima na demokrasia kwaheri,

nimewaza sana sioni mtashindaje wala haiwezekani makamanda,plan b iwekwe mezani sasa tuanze kuifanyia kazi,kumbukeni Trump keshaombwa kuleta balozi ambaye atakubali kufanya kazi na sisi kama kuna plan mezani
 
Tatizo linalousibu upinzani kws sasa ni either kukosa think tanks or kutowatumia ipasavyo think tanks waliopo. Haiwezekanj kazi ya upinzani iwe kulalamika tu bila kuja na plan B. Hongera kwako mtoa mada kwa kuliona hili. Sasa ni kazi ys viongozi kufanyia kazi mawazo ya wanachama. Vinginevyo yaleyale yatajirudia..
 
"I connect hand to zisi topik" (naunga mkono hoja) in Magu's voice (in Uganda 2017)
 
Tatizo linalousibu upinzani kws sasa ni either kukosa think tanks or kutowatumia ipasavyo think tanks waliopo. Haiwezekanj kazi ya upinzani iwe kulalamika tu bila kuja na plan B. Hongera kwako mtoa mada kwa kuliona hili. Sasa ni kazi ys viongozi kufanyia kazi mawazo ya wanachama. Vinginevyo yaleyale yatajirudia..
Ukiwaambia hivi wanakuwa wakali sana.

Sasa wakae wakijua kuwa 2020 wabunge wa upinzani watakaorudi bungeni ni wale atakaoamua Jiwe.

Jimbo la sugu 'linachukuliwa' na Tulia.
 
Tumesema sana lakini juhudi hazionekani na tatizo sijui ni nini.

Mkuu jitihada zako kwenye hili jambo liko wazi. Wakati mwingine mpaka najiuliza hawa ni wapinzani kweli au watoto wa mjini wanasaka hela tu? Hili suala la tune huru ya uchaguzi liko wazi lakini hatuoni jitihada za makusudi. Kila mwananchi anaona huu uhuni wa wazi, na viongozi aa upinzani ni kama wamekubaliana na hali hii!!
 
napenda kumtumia salamu maalum Mh Mbowe,Mbatia,Zitto,Lema,Halima Mdee,Sugu, nk,na wote wahusika,nina imani wote ni wazima na mnaendelea vema na shughuli zenu za kisiasa,
dhumuni la waraka huu ni kuwapa taarifa ya kwamba itakuwa ni muujiza wa aina yake kwenu nyie kurudi Bungeni 2020,
mmekuwa mstari wa mbele kumkosoa Rais na ccm kwa mambo wanayofanya huku mkisahau jambo la muhimu kuliko yote ambalo litawafanya au kusaidia kuwarudisha bungeni miaka miwili ijayo,
kuna haja gani ya kuendelea kupambana na serikali NA KUIPINGA kwenye mambo yasiyo ya muhimu kama ndege na reli NA kusahau kipau mbele kwa sasa
Waheshimiwa kama nilivyosema hapo juu nyie wote hakuna anayerudi Bungeni hiyo nawaambia wazi ipo na inaeleweka,
balozi wa Marekani ataletwa ambaye keshajua nini kinaendelea Tanzania,kazi kwenu kujipanga jinsi ya kupresent issue zenu sio kienyeji,anategemea kukuta very smart politician with smart strategy kazi mnayo kwa kweli,
kwa mtazamo wangu mnayofanya tumeona matokeo yake kule Kinondoni na maeneo mengine uchaguzi ulikorudiwa,Leo hii polepole yuko jimbo la Hai kule demokrasia ilikozaliwa na anachofanya kule kila mtu anashuhudia na kujionea,hakuna haja ya kuendelea kupambana na Rais na ccm kwa sasa kuna haja ya kukaa na kuangalia plan B,
plan A imeshindikana na haiwezekani na haitakaa iwezekani ndugu zangu ebu badilisheni plan tuone nini kitatokea,
inahitajika sana tume huru ya uchuguzi kama mnataka tushinde na tuwarudishe bungeni miezi 24 ijayo
kuna haja basi ya kupambana sasa hivi japo kumekucha tayari tupate tume huru ya uchaguzi,
fanyeni juu chini tafuteni ushauri kwenye mashirika ya kimataifa pambaneni kiume tupate tume huru ya uchaguzi,elekezeni nguvu zote huko sahau mambo ya kupingana na Rais haisaidii wala haitasaidia kwa lolote bora tuangalie mbele sasa manake tunayofanya yameshindikana,
bora muungane wote mpaze sauti mataifa yote duniani yasikie kilio hicho Magufuli anaweza kuona aibu kukubali tume huru ya uchaguzi iundwe,
bora kuacha yote na kuelekeza nguvu zote kwenye hilo manake 2020 hiyo itafika hamna katiba mpya hamna tume huru ya uchaguzi imekula kwetu na nchi nzima na demokrasia kwaheri,
nimewaza sana sioni mtashindaje wala haiwezekani makamanda,plan b iwekwe mezani sasa tuanze kuifanyia kazi,kumbukeni Trump keshaombwa kuleta balozi ambaye atakubali kufanya kazi na sisi kama kuna plan mezani
Hahahaha kamanda unalia lia utadhani mtoto aliyepotea hana hata wazazi..unawashawishi wapambane wapate tume huru..wakishapata halafu..what next..unataka kutuambia hivi kwa sasa kuna chama ambacho upo tayari kukipa madaraka kiende ikulu..kipi kati ya hivi vya upinzani vilivyopo..na nani hasa unataka akakalie kiti..ni maajabu na kweli. Umekuwa mwehu sijui umerogwa...unaweza kutuambia niwapi hasa unadhani serikali ya Magufuli amekosea ili tumshauri arekebishe na hasa katika nyanja ya kujenga uchumi kuelekea uchumi w kati..naomba usituletee biashara za kisiasa hapa ooh sijui ruhusa maandamano..mara sijui haki sawa..yote takataka zungumzieni masuala ya uchumi wa kisasa...
Naninhasa mnataka aende ikulu..maana hapo mnaye Lowasaa Sumaye na labda maprofeseri wenu Safari au Bareguu..hivi kweli mnataka kusukumia mafisadi ikulu kwa mara nyinginee..hata Mungu atawalaani..
Nawashauri anzisheni labda chama kipya na watu wapyaaaa. Na mje na sera nzuri mbadala za kujenga uchumi wa kisasa..hapo tutawasikiliza..nitaendeleaa.....!! Stay tuned
 
Watanzania ni viumbe wa ajabu sana. Mnataka wapaze sauti vipi? Wakiitisha maandamano kudai hiyo tume huru, hamjitokezi kuwaunga mkono, mnabaki kulaumu tu.
 
Mkuu jitihada zako kwenye hili jambo liko wazi. Wakati mwingine mpaka najiuliza hawa ni wapinzani kweli au watoto wa mjini wanasaka hela tu? Hili suala la tune huru ya uchaguzi liko wazi lakini hatuoni jitihada za makusudi. Kila mwananchi anaona huu uhuni wa wazi, na viongozi aa upinzani ni kama wamekubaliana na hali hii!!
Unataka wafanyeje mkuu? Toa mawazo yako
 
Ukiwaambia hivi wanakuwa wakali sana.

Sasa wakae wakijua kuwa 2020 wabunge wa upinzani watakaorudi bungeni ni wale atakaoamua Jiwe.

Jimbo la sugu 'linachukuliwa' na Tulia.
Mkuu wewe unadhani wafanye nini ili hiyo Tume huru ipatikane?
 
Mkuu jitihada zako kwenye hili jambo liko wazi. Wakati mwingine mpaka najiuliza hawa ni wapinzani kweli au watoto wa mjini wanasaka hela tu? Hili suala la tune huru ya uchaguzi liko wazi lakini hatuoni jitihada za makusudi. Kila mwananchi anaona huu uhuni wa wazi, na viongozi aa upinzani ni kama wamekubaliana na hali hii!!
Sasa naelewa kwa nini China waliamua kwa kauli moja kutojihusisha na biashara ya demokrasia mpaka walipopiga hatua kubwa kimaendeleo kwenda uchumi wa kati na zaidi..hata Marekani ilianza biashara ya demokrasia baada ya kupaa kiuchumi kwenye miaka ya 1980s...na mifano ya nchi nyingi za dunia ya kwanza ulizeni ilianza biashara ya demokrasia baada ya kuhakikisha chumi zao zimekuwa stable..uliza Japan na India pia..sasa nashangaa Tanzania watu wanataka kurukia gari kwa mbele na kutegemea kufikia uchumi wa kati kwa ulaini laini hivi..upumbaffff kabisa...mnataka kutuingiza chaka kwa kushirikiana na wazungu wenu eeeh..eti demokrasia...eti tume huru...sijui ndio utapeli gani huo..hayo ni madudu gani...hayatatusaidia wajameni..zindukeni..sasa hivi wananchi tumeshtuka sanaaa..mtapata taabu sanaaa..!! Subir muone
 
Hivi hata kuiomba mahakama isitishe chaguzi zote mpaka kesi ya msingi kuhusu sheria ya uchaguzi iliyofunguliwa na LRHC iishe mahakamani nako ni tatizo?
Una mawazo mazuri sana, lakini angalia na wakati tulionao. Wapinzani wanajitahidi kwa kadri ya uwezo wao, wanachokosa ni uungwaji mkono kutoka kwa wananchi, na hili ndio tatizo kubwa sana tulilo nalo.
 
Mkuu wewe unadhani wafanye nini ili hiyo Tume huru ipatikane?
Swali zuri sana na lenye jibu chungu.

Mkuu,mimi sioni haja ya wao kuendelea kushiriki uchaguzi ambao kila baada ya matokeo ni kulalamika tu.
 
Back
Top Bottom