Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Mock gani hiyo kwa mfano mtu wa kwenye gari mmojawapo angekuwa na chuma huyo jamaa si angeuliwa.. maana anatembea na silaha kizembe

Ujiamini ukimkosa au kama anamafunzo ya ugumu hata ukimpata inaweza kula kwako. Hapo si bar kutishana.
 
 
.
 

Mkuu figganigga Salam kwako. Stanbic Bank unayoongelea ni hiyo pembezoni mwa barabara inayotokea Mwananyamala karibu na mataa Mashuhuri kama mataa ya Ubalozini?
Ahsante
 
duuu sipati picha huyo wa bajaji speed yake hapo najaribu kujiuliza wenye pikipiki ilikuwaje je miguu ina speed kuliko pikipiki? chezea kitu cha chuma weweeee? taarifa hao wa pikipiki wameonekanika kimasichana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…