Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Mock gani hiyo kwa mfano mtu wa kwenye gari mmojawapo angekuwa na chuma huyo jamaa si angeuliwa.. maana anatembea na silaha kizembe

Ujiamini ukimkosa au kama anamafunzo ya ugumu hata ukimpata inaweza kula kwako. Hapo si bar kutishana.
 
Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?

Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic

Inadaiwa Polisi Wamenyang'anywa Bunduki mbili SMG na Kumiminiwa risasi😭
View attachment 1907510
View attachment 1907511


View attachment 1907519


Hii ni developing news…

Kuna mtu mmoja, kapigwa risasi na kuanguka katikati ya barabara
View attachment 1907602
View attachment 1907621
View attachment 1907645View attachment 1907646
Huyu anadaiwa kauawa.
 
Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?

Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic

Inadaiwa Polisi Wamenyang'anywa Bunduki mbili SMG na Kumiminiwa risasi[emoji24]
View attachment 1907510
View attachment 1907511


View attachment 1907519


Hii ni developing news…

Kuna mtu mmoja, kapigwa risasi na kuanguka katikati ya barabara
View attachment 1907602
View attachment 1907621
View attachment 1907645View attachment 1907646
Huyu anadaiwa kauawa.
.
 
Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?

Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic

Inadaiwa Polisi Wamenyang'anywa Bunduki mbili SMG na Kumiminiwa risasi😭
View attachment 1907510
View attachment 1907511


View attachment 1907519


Hii ni developing news…

Kuna mtu mmoja, kapigwa risasi na kuanguka katikati ya barabara
View attachment 1907602
View attachment 1907621
View attachment 1907645View attachment 1907646
Huyu anadaiwa kauawa.

Mkuu figganigga Salam kwako. Stanbic Bank unayoongelea ni hiyo pembezoni mwa barabara inayotokea Mwananyamala karibu na mataa Mashuhuri kama mataa ya Ubalozini?
Ahsante
 
duuu sipati picha huyo wa bajaji speed yake hapo najaribu kujiuliza wenye pikipiki ilikuwaje je miguu ina speed kuliko pikipiki? chezea kitu cha chuma weweeee? taarifa hao wa pikipiki wameonekanika kimasichana
 
Back
Top Bottom