Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kweli kabisa Mkuu, nakuunga mkono.Nchi inahitaji watu wengi kama hawa ili tuheshimiane. Watanzania asilia tu waoga sana. Wizi wa kura, kubambikiziwa makosa, kutoweka, utekaji, mauaji, tozo, nk... lakini tuko kimya tu. Ingekuwa nchi nyingine kingekuwa kimenuka. Damu ya kisomali inahitajika Tanzania.
Umeanza kuogopa?😀😀Vipi Kwa sisi tuliojaribu kutuma pesa?
Mwache aendeee na ubishi,Ndio utajua sasa.
Mnafadhiri ugaidi, hahahahaha. Mtaenda kuungana na Mshua kule shimoni.Vipi Kwa sisi tuliojaribu kutuma pesa?
Wee,Umeanza kuogopa?[emoji3][emoji3]
Unataka kufadhili ugaidi kwa laki 2 sio? 😁Mbona namba yake ukimtumia pesa tigoPESA inakuja jina la Filista?
Mimi ndio inapaswa nikutafute wewe na sio wewe unitafute mimi...Ndio utajua sasa.
Utachekwa na wanaonijua humu ndani....🤣🤣Kukomelea vikorombwezo vya Kiamerika hakukufanyi kuwa muamerika yakhe!
Makunduchi, chatto, Msoga, hata Nanyumbu kote huko Tanzania yakhe.
Tanzania itajengwa na wenye moyo.
Kuwa na amani yakhe!
Itakie mema nchi yako,hakuna furaha katikati ya umwagaji damu.Kweli kabisa Mkuu, nakuunga mkono.
Wamefika Polisi Watatu na Mlinzi wa SGA 1 jumla wamefariki watu wanne. Wamedhuliwa na huyo kwa maoni yaangu ni Gaidi kwasababu ya Vitendo vyake. Four people have perished.Majira ya leo mchana IGP Simon Sirro amesema kwenye majibizano ya Risasi aliyokuwa yakiendelea Dar es salaam kati ya police na Raia mmoja asiyejulikana.
Police wawili wamepoteza maisha kwenye majibizano pamoja na mtu huyo aliyekuwa akijibizana Risasi na police nae kauwawa mwenye asili ya Kisomalia.
Inavoonekana Ni kitambulisho Cha mtandaoni Kama vile vya nida.
Ila format yake haiko Kama ya nida.
Tunapaswa tujue Ni taasisi gani inatoa I'd zenye maelezo Kama hayo
Salama kiwanja nimeuza tayari. Endelea mbele vipo.vingineMimi ndio inapaswa nikutafute wewe na sio wewe unitafute mimi...
Chanika kunaendeleaje?
Tengua kauli mkuuMnafadhiri ugaidi, hahahahaha. Mtaenda kuungana na Mshua kule shimoni.
Isije kua fakeHii ID haijulikani nafikiri sio ya kuiamini kwa sasa.
Atakuwa msajili line, wale mawakala wa makampuni bila shakaRetailer name itakuwa inahusika na nini hapo?
Kusema n rahisi sana ila kiuhalisia silaha ukijua imekuelekea wewe na wakat wowote itafyatuliwa risasi kukuelekea wewe hutofkiri ka ufkirivyo mkuuuMkuu nimeangalia video ya yule askari aliyeuwa kuna makosa mengi kayafanya utafikiri hana mafunzo kabisa
Dah...miye nimempigia kapokea mbona 🤣🤣🤣🤭Nimeipigia hio namba yake inaita tuu
Sasa mbona uliyejaribu kumtumia pesa ni retailer na sio marehemu?Nilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulisho[emoji116]View attachment 1907968
Ajiandae kisaikolojia aisee,Atakuwa msajili line, wale mawakala wa makampuni bila shaka