Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Alitaka kufa huku kifo chake kiwe na umaarufu.

πŸ˜€πŸ˜€
Mpaka nitakapopata habari kamili lakini huyu jamaa amenishangaza. Mhalifu gani anajiweka kuwa target namna hiyo? Haonyeshi wasiwasi wowote. Huyu nadhani ameuwa kilaini sana bila purukushani. Nadhani nia yake ilikuwa kupigwa risasi afe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…