dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
mse
nge ana mashine kadhaa na hana habari kmmmk
nge ana mashine kadhaa na hana habari kmmmk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu Kristo alimpofushamse
nge ana mashine kadhaa na hana habari kmmmk
Si ujitokeze na wewe wakupe ya kichwa!
Yesu alimpiga upofuForensic wa JF yaani burudani, ingawa si mazuri!!!
Duuuh.....[8/25, 7:31 PM] First Born: Alikua anaenda kumuhuzia mtu dhahabu maeneo ya masaki police wakamkamata so wakat wanaenda kituo salander
[8/25, 7:31 PM] First Born: Polisi ndio chanzo aise walitaka kumzulumu
[8/25, 7:31 PM] First Born: Wakaingia chobingo hili wamalizane police wakaleta tamaa yenye akawawahi na sirahara yake ndogo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo anamigodi ya dhahabu kule chunya aliachiwa na baba yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyu dogo nakaa nae mtaa mmoja police ndio wamemzungua madini yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Jana usiku tulikua nae mtaa I aise police ndio wameleta tamaa zao tu
[8/25, 7:31 PM] First Born: No dogo mmoja cool sana
[8/25, 7:31 PM] First Born: Baada ya hapo akachukua hizo 47 ndio kuuza kupiga hivyo huku akisema anataka police
[8/25, 7:31 PM] First Born: Ata cc tunashangaa sana kutokea hivyo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo sio jambazi kabisa yani
[8/25, 7:31 PM] First Born: Inasikitisha sana... Kumbe polisi ndio walisababisha hii shida yote... Uchunguzi wa kina na wauwazi utaitajika...
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Yaani anataka kujiingiza matatani kizembe sana au labda anatania tu.
Ha ha ha vunja line yako mara mojaNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Yesu Kristo alimpofusha
Ahsante kwa muongozo mkuu, huu ndio Uhuru wa kufikiriYesu alimpiga upofu
Bora kuwa na yesu ukifikiria na kichwa kilichosheheni makamasi.afu tunategemea vijana kama huyu mleta mada ndo watuletee Maendeleo!!
Mleta mada kichwan una kamasi au unafkkiria kwa kutumia matako?
Vyovyote vile JESUS FIRST JESUS FOREVERUna uhakika hiyo ni sura halisi ya Yesu?