Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Tumeona leo wasivyokuwa na shabaha. Eti wanamalizia hasira zao kwenye maiti. Mtu (mwana CCM mwenzao/mjumbe) amesimama kweupe katikati ya barabara wao wanapiga risasi za Jamhuri hewani. Wanatakiwa washitakiwe na Watanzania kwa uharibifu wa risasi.
Si ujitokeze na wewe wakupe ya kichwa!
 
[8/25, 7:31 PM] First Born: Alikua anaenda kumuhuzia mtu dhahabu maeneo ya masaki police wakamkamata so wakat wanaenda kituo salander
[8/25, 7:31 PM] First Born: Polisi ndio chanzo aise walitaka kumzulumu
[8/25, 7:31 PM] First Born: Wakaingia chobingo hili wamalizane police wakaleta tamaa yenye akawawahi na sirahara yake ndogo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo anamigodi ya dhahabu kule chunya aliachiwa na baba yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyu dogo nakaa nae mtaa mmoja police ndio wamemzungua madini yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Jana usiku tulikua nae mtaa I aise police ndio wameleta tamaa zao tu
[8/25, 7:31 PM] First Born: No dogo mmoja cool sana
[8/25, 7:31 PM] First Born: Baada ya hapo akachukua hizo 47 ndio kuuza kupiga hivyo huku akisema anataka police
[8/25, 7:31 PM] First Born: Ata cc tunashangaa sana kutokea hivyo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo sio jambazi kabisa yani
[8/25, 7:31 PM] First Born: Inasikitisha sana... Kumbe polisi ndio walisababisha hii shida yote... Uchunguzi wa kina na wauwazi utaitajika...

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Duuuh.....
 
Habari wadau!

Najaribu kujenga dot za huyu jamaa na swala la ugaidi.

1. Kwa uzoefu wangu kutoka kwenye movies magaidi lazima anaposhambulia aseme neno "Mungu mkubwa" yaani "Allah Akbar" kama huyu jamaa alitumia maneno hayo bila shaka ni gaidi wala sio jambazi. Shuhuda wa kike mama aliyehojiwa anasema jamaa alikuwa anasema Allah Akbar pindi anapomimina risasi hata wakati anakufa alisema Allah Akbar hao ndio magaidi walivyo, ndio maana wazungu wakipanda ndege au gari wakisikia tu maneno hayo kwa mmoja wa abiria waliopanda nao gari au ndege moja lazima mzungu achumpe akimbie.

2. Kwanini alienda ubalozi wa Ufaransa??Hapa turejee kisa cha yale yanayotokea Msumbiji juzi na ile kampuni ya uchimbaji ya Kifaransa yaani Total

3. Kwa nn serikali ilimoiga risasi mpaka kufa wakati walikuwa na uwezo wa kumzibiti??Gaidi haitaji kudhibitiwa maana ni mtu skilled na kashajitolea kifo.

4. Magaidi wana mtandao kila nchi na wanafanya recruitment hivyo usishangae anaweza akawa mkazi wa Kinindoni lakini akawa amejiunga kwenye kundi la ugaidi miaka mingi tu ila alikuwa anangoja mission labda mission ilikuwa kufikisha ujumbe fulani.

5. Tukio linaonyesha limekuwa planned yaani "Dar ipo Salaama mara pah pah pah".

USHAURI

Tusitafute mchawi nani tujipange.
 
Najiuliza kwa nini hili tukio limetokea sasa,why now??je ni reaction kwa mambo yanayotokea nchini..au ni mwanzo wa makubwa yanayokuja??and...kwa nin polisi wauwawe zaidi..na muuaji alikuwa na nafasi kubwa ya kuua au kujeruhi raia wa kawaida wengi tuu..
 
Nina uhuru wa kuwaza , sivyo?

 
Back
Top Bottom