cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Igp amechoka apumzike tu maana ma police wanazulumu sans raia sasa na Hamza kashaweka predencent ya watu kuiga na kunyoosha mapolisi matapeli wanazulumu watuJeshi la polisi wasibebane ktk hili inaonekana huyu Bwana kafanyiwa dhuluma na polisi ndio maana hakuwa na shida la Raia Bali polisi ili kulipiza kisasi. Ni polisi akina Nani hao wamemfanyia dhuruma?....