vulturine fowl
Senior Member
- Jan 13, 2022
- 168
- 173
Misomi ndio nini mkuu???Kula pombe kula misomi kunywa maji meng kula matunda nazan kosa sio la pombe kosa ni la hao vijana wanaoitaka pombe wakati uwezo wao ni wa kunywa soda sasa inakua shida
Mnywa pombe ambane anaitumia na anaiweza kununua na kugalamia hawezi choka afya
Ina Maana walimla choo??!;!Haya mapombe makali co kabsa kuna faza uku mtaani kwetu kagida double kick mixer k can't mzigo ukakubali akasahau Hadi njia ya geto kwake akazima
Dah mahuni wakajisevia dingi anastuka asubui anakuta kapasuliwa mayai
Kwa fedheha akaamua kujitoa uhai
Mwaliwa maliwato piaDouble kick huko huko bara. Huku Unguja twala urojo tu
Sema na wewe Ni chalii ya mteremkoo tu!! Hautowagi mawazo zaidi ya kuteleza tuu...Pole yao sana...
Wahuni walizibua mtaro mkuu, mzee Hadi alishonwa baada ya mda kdgo alijipiga kitanziIna Maana walimla choo??!;!
Utakuja kufa ***** yaani huku nilipo bodaboda na wapiga debe wale wala unga wanaiogopa we ni nani usiogopeDouble kick Ni ya ukweli kinyama ukikazia mbili kabla ya mbishe unakaa level" nanukuu Kuna chalii wa rombo aliniambia
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nimecheka kifalakuna manzi mmoja ni ticha tulitokea kufahamiana tu ,sasa katika kupiga piga story akanambia anakunywaga hizi pombe kali nikamjibu na mm pia ni mdau
jmoc nikamstua twende viwanja ,tumefika tukaagiza kvant kubwa tukawa tunajipigia kimtindo hadi ikaisha hakuna aliyelewa,bas bana nikaagiza huyu mdudu chupa mbili kila mmoja akapiga yake.
ile tumemaliza nashangaa madam analia tuu kuuliz vipi hajibu anadai kiti kinazunguka,nikamchukua nikamtoa pale hadi lodge kuchakata kumbe stim zimemzidia kazima nikaanza FIRST AID
sitosahau afu (alijikojolea)
Ni sawa na viroba vilivyopigwa marufukuHiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
Kuleni vizuri kama nyama choma,supu mzito asubuhi..ndio mnywe hiyo kitu...mtu unashindia miogo ndio waitafuta double kick..!lazima...kick!
Ile percentage nadhan imeandikwa kisiasa, maana bapa la konyagi Lina 45% tunakunywa bila shida.
Iweje tatizo iwe Hii yenye 43% ?
Inatengenezwa Shinyanga Iko kwenye vikopo vidogo ivii.... Kwa kweli inaangamiza vijana hiyoKuna hii nyingine “Shimhwa” (Sijui ndivyo inavyoandikwa) inawaumiza sana vijana pasipo wao kujua.
Zinapatikana wapi tukajaribu