Ngwakwiii
JF-Expert Member
- Dec 6, 2019
- 434
- 541
Hii ni zaidi ya gongo mkuu ukimwona mtu anakunywa mwonee huruma!double kick ni gongo iliyohalalishwa
Halafu watu wanajiuliza eti kwa nn figo na ini yamekuwa ni magonjwa makuu Tanzania kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni zaidi ya gongo mkuu ukimwona mtu anakunywa mwonee huruma!double kick ni gongo iliyohalalishwa
Hyo tumboni haifiki inaishia hapo kwny koo mana ina evaporate fasta afu funda moja tu unalewaKwa alcohol percentage hiyo, hata gongo ikasome kudadeki!
Dah!...hivi vinywaji vikali vyote tu vinaharibu vijana kuanzia hiyo double kick, Diamond, Konyagi na vingine vingi.Hiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
Tafuta pesaDah!...hivi vinywaji vikali vyote tu vinaharibu vijana kuanzia hiyo double kick, Diamond, Konyagi na vingine vingi.
Hata matumizi makubwa ya 'energy drinks' kwa vijana ni hatari kubwa kwa siku za mbeleni.
Nadhani vijana wenyewe ndio wanaopaswa kulinda afya zao, wakizembea watajitesa wao wenyewe na familia zao hapo baadae.
Ninazo za kutoshaTafuta pesa
Sasa hiko ni kinywaji ama sumu?!Hiyo hata ukila vizuri hutoboi!!kinywaji gani cha bei nafuu ambacho ukinywa chupa 3, nadhani ni za 200mls, unakufa!!
Kwa hali ilipofikia kwa sasa ni lazima kiwanda hicho waangalie upya utengenezaji wake, na kisha wakibadirishe jina kabisa!!kwa sasa mtaani kinaogopwa sana, wamehamia kwenye smart gin.
Hicho wewe kula kiti moto kilo 2,na supu ya kongoro/mkia mzima juu, ukimaliza vi 3, baba jeni bai bai!!
Analeta masikhara na double kick, huku mtaani wanauza cha kupima, kidogo tu ila ukimuona mtu katoka kukipiga aisee, kile kilevi sijui wanaweka nini, dahHiyo hata ukila vizuri hutoboi!!kinywaji gani cha bei nafuu ambacho ukinywa chupa 3, nadhani ni za 200mls, unakufa!!
Kwa hali ilipofikia kwa sasa ni lazima kiwanda hicho waangalie upya utengenezaji wake, na kisha wakibadirishe jina kabisa!!kwa sasa mtaani kinaogopwa sana, wamehamia kwenye smart gin.
Hicho wewe kula kiti moto kilo 2,na supu ya kongoro/mkia mzima juu, ukimaliza vi 3, baba jeni bai bai!!
Kunywa kwa uangalifu mkuuAsante mkuu kwa kunielewesha..lakini nitakitafuta nijaribu.sikijui ata kikoje.
Inasikitisha sana, na ni wengi tu hawana ubikira kisa hii kitu, weka mbali kabisa kama mwili wako ni unga unga mwana [emoji23]Yaan kichupa cha 200mls lazima uzime baadhi ya walevi wamepoteza ubikira
Ukiamka asubuhi watu kama hawakujui au hawajakufanyia umafia wanaendelea na shughuli zao, noma sananoma sana, ukizima tu, wana paka olive wana nyoosha rinda
Sasa hiyo ni starehe au mateso!Double kick a.k.a portable cane spirit ukimaliza vile vichupa viwili alafu utembee juani lazima damu zitoke puani.
Dah hii ukilewa tu utatembea Kama Rob copKuna nyingine pia inaitwa Robot
Hahahaha hahahahaKwa eneo nilipo wanywaji wamehamia kwenye smart gin, wanasema ukinywa double kick ikifika asubuhi unasikia harufu ya nyama unapohema yaani hapo ujue maini yameiva huko tumboni.
Nakwambia nakunywaga jipaba peke yanguu nalewa ndioAnaleta masikhara na double kick, huku mtaani wanauza cha kupima, kidogo tu ila ukimuona mtu katoka kukipiga aisee, kile kilevi sijui wanaweka nini, dah