Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Minute maid.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuna akina sisi ambao hata tukienda dukani kununua soda yenye ubaridi haswa wauzaji hushangaa sana, mimi nipo tayari nizunguke maduka hata 100 ili tu nipate pepsi iliyo na ubaridi haswaa iliyoganda, nikipewa isiyo na ubaridi nakataa.Pepsi bariiiiidi
Tena iwe imeanza kuganda(hapa najua nitatesa wengi mnoo [emoji23] )
We ndio mtu..wanzuki..banana ndio viwanywaji muruaNapenda wanzuki aka mabuyu. Ukilifungua linafoka balaaa na Lina Sheria zake.
1.kama ulishake chupa acha litulie ndo ufungue tena unajua unafungua taratibu taratibu. Ukifungua moja kwa moja kizibo utakiokotea mbagara Kama ulikua kawe.
2.ukinywa lazma ukojoe Mara kwa Mara. Usinywe chupa nyingi muda mfupi kabla ya kulala inaweza limwaga kojo Kama ulikunywa kiwango Cha kulewa
Kweli JF watu mko vzr wanywa matapu tapu wanzuki ,gongo na banana tuko wachache sanaKahawa Americano strong au Espresso double
hadi meitamani 😋😋
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Pepsi baridi
Ukiokoka na wewe utaanza kunywa fanta passionKweli JF watu mko vzr wanywa matapu tapu wanzuki ,gongo na banana tuko wachache sana
HahahahahaUkioka na wewe utaanza kunywa fanta passion
Kwamba uko Kawe kizibo unakiokotea mbagala, au siyoNapenda wanzuki aka mabuyu. Ukilifungua linafoka balaaa na Lina Sheria zake.
1.kama ulishake chupa acha litulie ndo ufungue tena unajua unafungua taratibu taratibu. Ukifungua moja kwa moja kizibo utakiokotea mbagara Kama ulikua kawe.
2.ukinywa lazma ukojoe Mara kwa Mara. Usinywe chupa nyingi muda mfupi kabla ya kulala inaweza limwaga kojo Kama ulikunywa kiwango Cha kulewa
utamu wa ceres ya baridi tena iwe ya apple aaaweeeNishakujulia...😊
😂😂😂 kitu tamu hiyo balaaa 🥂