Kiongozi makini na anayejali wananchi wake asingekubali zaidi ya bil 11 kutumika kutengeneza filamu ya namna hii badala ya kuboresha huduma za afya

Kiongozi MPUMBAVU tu ndiye anayedhani watanzania wote milioni 60 ni watumishi wa umma
Kwani watumishi wa Umma hawastahili kupandishiwa mishahara? Wamekaa miaka 6 bila kupandishiwa mishahara. Kwa taarifa yako ni Rais peke yake ndiye mwenye mamlaka ya kupandisha mishahara kwa watumishi wa Umma.
 
Masikini wapi sa hivi unainjoi barabara mtelezo na mnapokea tuzo kwa bashasha zilizopambaniwa na huyo masikini. Lamba asali tu na safari zisizo na kikomo kisa umekuta madege yapo.
We akiri ndogo unafikiri madege na barabara ndo maendeleo pekee? Maendeleo ni Uhuru wetu ambapo Sasa hivi hatuhofii Tena kusema chochote na kuikosoa serikali waziwazi na ajira zakumwaga private sector na pia kupandishwa mishahara na posho wafanyakazi ili mzunguko wa pes uwe mkubwa. Barabara kwanza zilisababisha mzunguko wa pesa kuwa mdogo Sana na nchi ilikuwa inaenda kukolapse kabisa.
 
Jibu hoja usikimbilie kujificha kwenye non issues!!
Issues are very clear. Wanaondaa Safari chanel ya Tbc walikuwa na uwezo mkubwa kuandaa documentary nzuri na ambayo ingeweza kutumika kupromote tourism. Hiyo bil 11 iliyotumika hovyo ingeboresha huduma za afya.
 
Ni usanii eti HV mnapata wapi muda was kucheki royal tour mwanzo nilipenda wazo ila baada tu kutoka Happ na kwenda kukah huko loss angles wik mbili na kuligarimu taifa mabilion ya shilingi bas nikapoteza msuka was royal tour
 

Kinachokusumbua ni kuona mama ndiye Rais badala ya JPM.
Mipango ya Mungu sio mipango ya mwanadamu, unateseka sana ndugu yangu punguza chuki
 
Issues are very clear. Wanaondaa Safari chanel ya Tbc walikuwa na uwezo mkubwa kuandaa documentary nzuri na ambayo ingeweza kutumika kupromote tourism. Hiyo bil 11 iliyotumika hovyo ingeboresha huduma za afya.

Zile pesa za kununua wapinzani zingeweza kuboresha sekta ya afya pia.
Kaa kwa kutulia nchi ina Rais kamili mwanadiplomasia, msikivu na mwenye hofu ya Mungu.
 

Sshiiiishh...!! 🐧🐧 Si ushaambiwa ukiniparura, nakupararua nakukata nakutoa damu, ukinikuna nakukuna na kukupapasaaa kabisa..!! Kimyaaa sshiiish
 
Issues are very clear. Wanaondaa Safari chanel ya Tbc walikuwa na uwezo mkubwa kuandaa documentary nzuri na ambayo ingeweza kutumika kupromote tourism. Hiyo bil 11 iliyotumika hovyo ingeboresha huduma za afya.
Mbona miaka yote hiyo hawakuwahi kuja na hiyo idea? Mawazo yanakuwa rahisi kwa mtu baada ya kufanyiwa kazi.
 

Tuambie n nchi gani Raisi anacheza movie na kuongeza pato la nchi???
Unataka kusema movie itatangaza zaidi ya safari tv??? movie moja au anaendelea kutoa series…..
Apa amebugi izo ela angewekeza kwene safari tv kuiongezea nguvu ifanye international broadcast
-UAE walijikunja kuiwezesha aljazeera saa izi imekua powerful n ni chombo chenye ushawishi mkubwa dunian nyie mmekaa kuupigia upatu movie… tena ya nchi ya tz??
 
Kiongozi makini na mpenda haki asingekubali kikokotoo kinachowanyonga watumishi wastaafu cha 33%
 

Tuamie iyo movie ina viewer wangap na imeingiza wangap??..

mngeiga hata rwanda ipeni timu inayowika ulaya andiken mabango ya vivutio au hamuoni Etihad wanafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…