Kiongozi makini na anayejali wananchi wake asingekubali zaidi ya bil 11 kutumika kutengeneza filamu ya namna hii badala ya kuboresha huduma za afya

Kiongozi makini na anayejali wananchi wake asingekubali zaidi ya bil 11 kutumika kutengeneza filamu ya namna hii badala ya kuboresha huduma za afya

Kiongozi anayejali wananchi wake asingekubali kukaa miaka 6 madarakani bila nyongeza ya mishahara au kupandisha madaraja.
Kwa kazi ya kuingia saa mbili na kusoma magazeti, kisha chai saa tatu hadi saa tano, kisha lunch saa saba hadi kesho yake tena.?
 
Ilikuwa ni jambo la kutumia kamera za Tbc taifa na kutengeneza filamu ambayo ingewekwa kwenye masoko mtandao ingeuzika na kuenea dunia nzima.

Hayo mabilioni yaliyotumika yangeimarisha huduma za afya huko vijijini maana vituo vya afya na Zahanati nyingi hazina madawa na vifaa tiba.

Hakuna kitu kipya hii filamu iliyogharimu pesa nyingi itabadili kwa sekta ya utalii. Mkuu wa nchi alipaswa kuwa na uchungu na taifa lake na wananchi wake.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito kichwani raia wake!
Si bora hata hiyo billion 11 sasa billion zaidi ya 50 zilizopotea bure .kujenga uwanja wa chato unazungumziaje
 
Wewe na watu wenye mtizamo kama wako, hawapaswi kulaumiwa maana tatizo lao ni uelewa na exposure. Kumlaumu mtu ambaye akili yake imefikia kimo cha kufikiri ni kumuonea bure.

Kwa lugha rahisi hiyo ni investment ambayo itazalisha. Kwa lugha rahisi zaidi ni mbegu ambayo itazalisha 1000x. .....

Sasa wewe ushauri wako ni kuwa ni bora tungekula mbegu. Mama alipaswa aongoze watoto kula mbegu ili aonekane anajali. Hahaahahah

Kuongoza nchi yenye watu wengi wenye uelewa wa namna hii, you must be very tricky! Vinginevo unaweza ukajikuta unaweka mbegu mezani kweli.
aisee we ndo mbulula kabisa ,kilaza wa mwisho
 
Ilikuwa ni jambo la kutumia kamera za Tbc taifa na kutengeneza filamu ambayo ingewekwa kwenye masoko mtandao ingeuzika na kuenea dunia nzima.

Hayo mabilioni yaliyotumika yangeimarisha huduma za afya huko vijijini maana vituo vya afya na Zahanati nyingi hazina madawa na vifaa tiba.

Hakuna kitu kipya hii filamu iliyogharimu pesa nyingi itabadili kwa sekta ya utalii. Mkuu wa nchi alipaswa kuwa na uchungu na taifa lake na wananchi wake.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito kichwani raia wake!
Hadi ifike 2030 mtakuwa mumenyooka..

Kama wewe ni jobless ingia website ya utumishi mama kamwaga ajira kama 600 hivi..

Kuandika ujinga humu haitondoa njaa zako
 
Kuna kichaa alijenga uwanja wa billion 50 kijijini kwake kwa kutumia kampuni yake. Saiv ule uwanja wanaanikia dagaa.
 
Ilikuwa ni jambo la kutumia kamera za Tbc taifa na kutengeneza filamu ambayo ingewekwa kwenye masoko mtandao ingeuzika na kuenea dunia nzima.

Hayo mabilioni yaliyotumika yangeimarisha huduma za afya huko vijijini maana vituo vya afya na Zahanati nyingi hazina madawa na vifaa tiba.

Hakuna kitu kipya hii filamu iliyogharimu pesa nyingi itabadili kwa sekta ya utalii. Mkuu wa nchi alipaswa kuwa na uchungu na taifa lake na wananchi wake.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito kichwani raia wake!
Halafu waTz tumekuwa kama wote ni watoto wadogo 'malaika' tusiotambua jema na baya!

Kila lifanywalo na serikali lazima kuli compere na jambo fulani jingine!

Hivi huu ni ugonjwa ama laana sijui!

Hospitali na vituo vya afya vinajengwa, kwa hiyo mambo mengine yasianzishwe ama kutekelezwa hadi hapo vituo vya afya na mahospitali yatakapokamilika?

Hayo mahospitali walishakwambia ni mangapi wanatarajia kuwepo ndiyo iwe idadi tosha itakayokuridhisha wewe?

Kwa hiyo miradi yote ya maendeleo hupimwa kwa kujenga zahanati!

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Sgr na miradi mingine ya kimkakati kama hiyo haikufaa kutekelezwa ili kwanza yajengwe mazahanati!

Raia Tztuna safari ndefu sana kufikia kujitambua.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Awamu hii kukosolewa inaitwa Chuki.

It tells alot about a person who is in charge.
Chawa wa awamu mna matatizo makubwa sana ya kiakili.
Aliyekuwa mtetezi mkubwa wa awamu iliyopita,leo akikosoa tu awamu iliyopo,anaitwa mwenye chuki.
Aliyekuwa anakosoa awamu iliyopita aliitwa mpinzani.
 
Mbona alinunua ndege kw matrilioni na mpaka sasa zinatengeneza hasara tu.
Ilikuwa ni jambo la kutumia kamera za Tbc taifa na kutengeneza filamu ambayo ingewekwa kwenye masoko mtandao ingeuzika na kuenea dunia nzima.

Hayo mabilioni yaliyotumika yangeimarisha huduma za afya huko vijijini maana vituo vya afya na Zahanati nyingi hazina madawa na vifaa tiba.

Hakuna kitu kipya hii filamu iliyogharimu pesa nyingi itabadili kwa sekta ya utalii. Mkuu wa nchi alipaswa kuwa na uchungu na taifa lake na wananchi wake.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito kichwani raia wake!
 
Ilikuwa ni jambo la kutumia kamera za Tbc taifa na kutengeneza filamu ambayo ingewekwa kwenye masoko mtandao ingeuzika na kuenea dunia nzima.

Hayo mabilioni yaliyotumika yangeimarisha huduma za afya huko vijijini maana vituo vya afya na Zahanati nyingi hazina madawa na vifaa tiba.

Hakuna kitu kipya hii filamu iliyogharimu pesa nyingi itabadili kwa sekta ya utalii. Mkuu wa nchi alipaswa kuwa na uchungu na taifa lake na wananchi wake.

Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito kichwani raia wake!
Akili ya kimaskini hizi ulizorith kitoka kwa mskini mwenzio jpm
 
Nitoe mfano mmoja tu / muigizaji filamu wa kibongo akipata fursa ya kuigiza na Silvester Stalline ( Rambo) au aigize na wa hapa hapa.
Atapata milege (mafanikio ya kimataifa) na nani?
Mara nyingine unahitaji kugharamia ili utangaze na ufanye biashara.
Mfano tangaza biashara zako wakati wanacheza mpira kwenye Azam Tv Ihefu na Mbeya City au Simba na Yanga !!! Utasikika na kujulikana wapi zaidi???
Na je utangaze Kupitia mechi Ya Liverpool vs Man City.
Mifano mingi sana . Mafanikio ni gharama pia.
Ni kweli mkuu, umewahi tizama account za Peter zina followers wangapi au likes tu
 
Wewe na watu wenye mtizamo kama wako, hawapaswi kulaumiwa maana tatizo lao ni uelewa na exposure. Kumlaumu mtu ambaye akili yake imefikia kimo cha kufikiri ni kumuonea bure.

Kwa lugha rahisi hiyo ni investment ambayo itazalisha. Kwa lugha rahisi zaidi ni mbegu ambayo itazalisha 1000x. .....

Sasa wewe ushauri wako ni kuwa ni bora tungekula mbegu. Mama alipaswa aongoze watoto kula mbegu ili aonekane anajali. Hahaahahah

Kuongoza nchi yenye watu wengi wenye uelewa wa namna hii, you must be very tricky! Vinginevo unaweza ukajikuta unaweka mbegu mezani kweli.
Umeandika UPUMBAVU mtupu sijui kama unajielewa. Mbegu ambayo ingewezekana ikizidi sana bilioni 1 tena ingefanyika kwa ufanisi hata hapo TBC 1 wewe unazungumzia mbegu bilioni 11? Una akili kweli? Watu wanakufa kwa kukosa huduma bora za afya wewe unaongelea uwekezaji ambao ni wa kubahatisha wala haujafanikiwa tafiti yoyote kama utarejesha manufaa? Watu wajinga kama nyie ni aibu kwa taifa
 
Kiongozi anayejali wananchi wake asingekubali kukaa miaka 6 madarakani bila nyongeza ya mishahara au kupandisha madaraja.
Unawaza tu mishahara badala ya kuwaza kutoka kazini kwako hadi kwa wazee wako kunafikika na barabara zenye usalama wa maisha yako? Waliopandisha wenyewe wamekuta angalau tanzania imeungana kutoka mkoa mmoja hadi mwingine. Kila zama na matukio yake na vipaimbele vyake.
 
Akili ya kimaskini hizi ulizorith kitoka kwa mskini mwenzio jpm
Masikini wapi sa hivi unainjoi barabara mtelezo na mnapokea tuzo kwa bashasha zilizopambaniwa na huyo masikini. Lamba asali tu na safari zisizo na kikomo kisa umekuta madege yapo.
 
Wewe na watu wenye mtizamo kama wako, hawapaswi kulaumiwa maana tatizo lao ni uelewa na exposure. Kumlaumu mtu ambaye akili yake imefikia kimo cha kufikiri ni kumuonea bure.

Kwa lugha rahisi hiyo ni investment ambayo itazalisha. Kwa lugha rahisi zaidi ni mbegu ambayo itazalisha 1000x. .....

Sasa wewe ushauri wako ni kuwa ni bora tungekula mbegu. Mama alipaswa aongoze watoto kula mbegu ili aonekane anajali. Hahaahahah

Kuongoza nchi yenye watu wengi wenye uelewa wa namna hii, you must be very tricky! Vinginevo unaweza ukajikuta unaweka mbegu mezani kweli.
Mimi nilidhani ungemjibu kwa hoja ingekuwa vizuri zaidi kuliko kujipaisha mwenyewe na kujiona una akili sana. Kuna kitu gani kipya kilichopo kwenye hiyo filamu ambacho kilikuwa hakijulikani kabla? Kwenye Internet kuna documentaries nyingi kabisa tena zenye kuvutia na kutangaza utalii zaidi kuliko hiyo Royal tour. Hakuna anayepinga matangazo ila watu wanahoji njia na gharama zilizotumika: kwa nini hatukuchagua njia nzuri zaidi; na muhimu zaidi, tutangaze vivutio ambavyo havijulikani kuliko kurudia yale yanayojulikana tena kwa njia inferiour zaidi? Ukweli ni kwamba rais alipekeleshwa na watu wasio na weledi wowote bali wanaongozwa na ushabiki maandaazi! Hii inanikumbusha vituko alivyokuwa anafanya Kikwete mara baada ya kuchaguliwa urais mara ya kwanza. Mara sijui anakimbilia kuwaalika Real Madrid waje Bongo, eti wataitangaza nchi , yaani vitu vya kilimbukeni visivyotakiwa kufanywa na rais!
 
Back
Top Bottom