Tetesi: Kiongozi mkubwa wa upinzani aliyenunuliwa na CCM ni James Mbatia?

Yericko huyuhuyu kilaza

Sent using Jamii Forums mobile app
πŸ˜‚πŸ˜‚ eti kilaza!!

Nikukumbushe kitu zamani system nilikuwaa sijui kama inaendelea sasa lazima aidha afukuzwe chuo asimalize halafu anakuwa kama depressed kumbe ndio wale wale,usishangae siku dogo Abdul ni wale wale mkuu.

Mbona ujamshuku mzee wa elimu ya hapa na pale mkuu?
 
Ndio style
 
Umemtendea kitu kibaya sana mh Mbatia kwa kuamua kumlisha jambo ambalo huna uhakika nalo
In God we trust
 
Kweli naona kama hawajamtendea haki kwa kumlisha kitu ambacho hakuna mwenye uhakika
In God we trust
 
Umemtendea kitu kibaya sana mh Mbatia kwa kuamua kumlisha jambo ambalo huna uhakika nalo

In God we trust
Naomba uelewe maana ya tetesi mkuu Mmawia kupitia kuconnect dots na kuwaza nje ya box sio kwamba namdefame. Tusubirie ni mwanasiasa mkubwa atajulikana au kuna mtu atakuja kumtaja na itadhihirika hizi tetesi ni ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…