Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Wewe sasa ndio utumie akiliIsrael anataka Ardhi na ndivyo kila vita mnapoteza Ardhi na yake inaongezeka muwe mnatumia akili basi , shambulio la oct 7 Israel alipata taari toka Egypt ila aliacha ili iwe sababu ya kuingia huko mnajichanga kijinga sana .
Netanyahuu utamwezea wapi yeye mwenyewe alikuwa komando na bado analindwa na shinbetHapa atateuliwa mwingine na vita itaendelea na sasa Netanyau atakuwa target kwa msaada wa Iran katika kulipiza kisasi.
Ni lini Israel imeacha kuua viongozi na Je makundi yalimalizika?Wazee wa kujifariji 🤣🤣🤣
Ilikuwaje? Hamas imemalizika?Unajua ukubwa wa Palestina kipindi hicho ulikuwaje na sasa ukoje ?
Subiri vita iisheWewe sasa ndio utumie akili
Israhell tokea octobea saba kapata ardhi ipi?
Netanyahu hawezi kwenda Iran m kama akienda basi ni nchi za Qatar , saudia ...Nchi hizo sio rahisi kufanya shambulio la kigaidi hata siku moja .Hapa atateuliwa mwingine na vita itaendelea na sasa Netanyau atakuwa target kwa msaada wa Iran katika kulipiza kisasi.
arafat si wanasema alikuwa upinde yule, alioaga mke mfaransa akashindwa kumshughulikia na inasemekana ndiye alimwekea sumu.Kiboko yao alikuwa Arafat tu, yule ndio mwamba.
Hata Yesu wakitaka kumuua Kama walivyomuua John the baptist ambaye Yesu alisema yeye ni mkuu kuliko Yesu.Mossad wako busy kipindi hiki kuliko wakati wowote.. .
Netanyahu alishakula kiapo kusaka magaidi popote pale walipo
Upo Sahihi kabisaa mkuu....tukubali au tukatae ukweli utabaki palepale kuwa Israel ni taifa hatari sana kwenye ujasusiTumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.
Wewe mpaka unaona kabisa GENTAMYCINE tokea najiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo 2024 nimeweka tu Avatar yangu hapa JamiiForums ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu hujiulizi kwanini Namkubali vilivyo huyu Mwamba na hawa Waisraeli?
Hakuna wa Kupambana na Israel duniani.
Imeisha hiyo.....!!
Mbona walimuua Yassin , Ransi na mapambano wanaendelea ?Ilikuwaje? Hamas imemalizika?
Imagine umelala ukiwa na habari ya chief of staff wa Hizbullah ameliwa kichwa alafu unaamka unakutana na habari ya Ismail Haniyeh kawaishwa kuzimu furaha iliyoje.Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.
Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.
Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.
View attachment 3057258
Usicheze na MOSSAD
kwahio hapa hupaamini?matope weweImebidi nikahakikishe kwenye vyombo vikubwa vya habari, ni kweli ameuawa.
Dah!
Alikufa natural death, hakuuawa.
Ndo supplier mkubwa WA bidhaa Gaza kupitia mahandaki.anatoa misri hukoimagine, kwa umasikini na ombaomba ya misaada ile ya wapalestina huyu jamaa alikuwa bonge la tajiri, $4b sawa na utajiri wa bahresa mara tano, ndio utapata utajiri wa Ismai haniyeh, misaada mingi ya wapalestina wanasema alikuwa anabugia. wamebaki mabilionea kama watatu wanaoishi qatar pia, ambao wanaishi kwa kujificha sana.
Hawawezi kuwamaliza, yaani wakubali kwamba hayo ndio yatakuwa maisha Yao ya siku zoteMbona walimuua Yassin , Ransi na mapambano wanaendelea ?
Wameshamrahisishia njia huyo . Jihadi ni sunna ya Mtume . Hata Yesu wakitaka kumuua