Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

Siwezi kusupport hiyo mipumbavu mie.

Yaani tuliisupport vizuri kabisa back then ila cha ajabu ikawa upande wa Idi Amin kwenye vita vya Kagera. Juzi hapa imeua vijana wa Kitanzania waliokuwa masomoni Israel.

Wapambane na hali yao wajinga wale.

Huo ni mwono wako ndugu. Ila kina Mandela, Lissu na wengine wa namna hiyo nao wana miono yao.

Hao hapo juu CVs zao tunazijua na wengine hata wana hadi Nobeli vibindoni.

Labda ungetuwekea japo ka CV kako basi, ili tuone kama una merits zozote za kujimwambafai hivi kama wewe mbele za watu? Kama kakiwemo humo japo ka ukatibu kata, labda si inaweza ikapendeza zaidi?

Lakini kama kumbe ni kwa sababu tu nawe una domo ndugu?

Looh!

Kwa hakika huo si hata kuku anao?
 
Siwezi kusupport hiyo mipumbavu mie.

Yaani tuliisupport vizuri kabisa back then ila cha ajabu ikawa upande wa Idi Amin kwenye vita vya Kagera. Juzi hapa imeua vijana wa Kitanzania waliokuwa masomoni Israel.

Wapambane na hali yao wajinga wale.
Una ongea as if tuna cha kuwasaidia wakati na sisu tuna itaji misaada ..ayo machuma tunayo pitisha pale uwanja wa uhuru ndo uende nayo vitani
 
Sasa hivi unawakataa mashujaa wako Iran sio?
 
Hii dunia kuna binadamu wakikuamulia hata uende wapi hutoboi, Mossad ni hatari sana
 
yaani wewe hujafikia level ya kubishana vifungu vya Bible na mimi, kwasababu hauijui, kwa kukusaidia, amini tu kwamba alifufuka ili tuokoe muda.
Kwa hivyo Wale waliosemwa kwenye Marko 14;50 ni uongo?
 
Yawezekana ni space laser weapon
 
Aisee Benjamin netanyahuu hacheki na kima jana usiku lebanon imekula mashambulizi ya kufa mtu mpaka beirut na tayari afisa mwandamizi wa hezbollah ameliwa kichwa
Watu wanakazania madrasa kuliko shule. wanakazana kuoa wake wanne, yaani unashinda kumbato wanawake kwa zamu halafu unatagemea kumpiga myahudi. Aisee wanahitaji reformation kubwa sana. Waaanze na kuwasomesha ma sheikh wao. Hawajui nini maana ya theology na philosophy na kila ijumaa wanatoa mawaidha. Wavaa makobazi ndugu zangu amkeni. Siwacheki wala kuwadharau lakini hakuna mtu atakayekuja kuwaokoa bali nyinyi wenyewe.
 

Check vyuma vya North Korea hivyo.. Iran kelele nyingi kumbe raisi anatumia helicopter utumbo utumbo tu..
 
Mungu wa biblia anaweza hata kukamatwa akiwa na kijana aliyeweka chupi begani pia anaweza hata akipata kibano kumlilia Mungu wake wa kweli Na machozi ya damu kumtoka au vipi?
 
Special unit of Israel called Kidon.... Acha kabisa Dunia imesimama usiku. Wakati Israel wakiwa ktk moja ya operation ngumu kabisa kuwahi tokea. Iran lazima aseme poooo.. Hezbollah Naye lazima aseme poo sidhani kama atarusha mabomu tena. Maana wamesha ambiwa wanakitaka kichwa cha mkuu wao. Kuifuta Hamas nijambo linawezeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…