Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

8:54 "Anayenipa heshima ni Baba yangu, huyo ambaye ninyi mnamwita Mungu wenu".
hicho ni kinywa cha Nani?.
 
Usijali Haniya atafufuliwa na allah muda mfupi sana ujao wanaochekelea kifo chake wataumbuka. Kwa sasa muache Haniya kwanza yupo kapakatwa na mtume SAW yupo kifuani kwake anakula raha za peponi.
bibi yako aliekufa akiwa mkiristo akiona ulichiandika angalikuwa anaweza kukupiga angalikupiga
 
Chuki kwa kundi fulani la watu haina faida na ni marufuku kwa Mujibu wa Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 12 na 13.
 
eeh,Sogea kwa China kidogo ya hiyo verse.
inaendelea kusema" hakuna aliyemuona Mungu wakati wowote isipokuwa mwanae ambaye ndiye chapa yake".

nakuwekea kwa kiengereza biblia ya New International Version ......... (NIV)

Hiyo mwanae sijui umeitoa wapi

John 5

37 And the Father who sent me has himself testified concerning me. You have never heard his voice nor seen his form,

38 nor does his word dwell in you, for you do not believe the one he sent.
 
Mbona huo mstari wa mwisho umejieleza vizuri tu,amini unachoamini na mimi niamini ninachoamini. Hii kuanza kuchokonoa dini za wengine na kuona ni za ovyo ndiyo mwanzo wa ugomvi. Laiti ungezingatia huu mstari wa mwisho ungeishi kwa amani na watu wote.
 
Mbona huo mstari wa mwisho umejieleza vizuri tu,amini unachoamini na mimi niamini ninachoamini. Hii kuanza kuchokonoa dini za wengine na kuona ni za ovyo ndiyo mwanzo wa ugomvi. Laiti ungezingatia huu mstari wa mwisho ungeishi kwa amani na watu wote.
Tatizo liko wapi? kwani umefahamu vipi?
 
Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.

cc

GENTAMYCINE

Uweke Ushahidi!; na sio Saa habari dogo🙄😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…