Kosugi huyu ndugu yako malaria imefika 22, msaada pls🤣Ukishangaa ya Mussa utaona ya Farau. Wenyewe kutwa wanalalamika wanatekwa lakini kifo cha Haniya wanafurahia. Hii inathibitishwa hapa JF Baada ya user wanaaosupport Chadema ndio hao hao leo wanafurahia.
cc
GENTAMYCINE
Kwamba suala la imani ni very personal,abudu unavyoabudu amini unavyoamini vivyo hivyo wacha na wengine waabudu wanavyoabudu na waamini wanavyoamini.Tatizo liko wapi? kwani umefahamu vipi?
Nimekwambia unakamata kitabu cha dini yako na kama hauna dini yoyote utaapa kwa mila na desturi unazoziamini ila cha kwanza ni kuilinda na kuitetea Katiba ya Nchi.unakamata nini mkononi? kitabu cha NGOSWE? au vitabu vya dini?
Daaah😂😂😂😂😂😂😂hii kali hata mimi imenishangaza sana.Kosugi huyu ndugu yako malaria imefika 22, msaada pls🤣
Ukiwa bado unashangaa fanya fasta kumpa msaada wa matibabu kabla hali haijawa mbaya zaidi🤣Daaah😂😂😂😂😂😂😂hii kali hata mimi imenishangaza sana.
Watu wamefanya biashara pale 😀
Tunafanya mpango wa kuchukua serum yake tumpime full blood picture diagnosis.Ukiwa bado unashangaa fanya fasta kumpa msaada wa matibabu kabla hali haijawa mbaya zaidi🤣
🤣🤣🤣🤣Tunafanya mpango wa kuchukua serum yake tumpime full blood picture diagnosis.
Ili kama malaria kali ikigundulika tumpige duocotexin chap😂😂😂😂😂.
umeniuliza kuhusu yohana,Marko,Luka ama umeniuliza kauli ya yesu?.8:54 ya wapi Yohana , marko , Luka, au mathayo
umeniuliza kuhusu yohana,Marko,Luka ama umeniuliza kauli ya yesu?.
wewe umeshavuta bangi ya dini,hakuna utakachokubali hata kama kitafunuliwa katika framework yoyote.
I'M OUT
Hujaelewa wapi??KUISHI NI KRISTO KUFA NI FAIDA! sijakufahamu hapa. rudia
KUISHI NI KRISTO KUFA NI FAIDA! sijakufahamu hapa. rudia
Usichojua huyo kauliwa na Ayatollah mwenyewe. Alikuwa dhulmati anachochea watoto wa wenzake kuuliwa kila siku misaada yote toka nchi za kiarabu anaifanyia biashara zake binafsi.Wailofurahi wakiristo wa JF, tena sijui kwanini tu
Alitunguliwa na naniNenda kapime afya ya akili yako. Vile vita siya Hamas vs Israel bali ni Iran vs Iran. Gaza au Hamas ni battlefield tu.
Ndiyo maana Ebrahim Rais aliyekuwa anawapa jeuri alitunguliwa mwezi Mei 2024, na Kamanda wao mkuu Ismail Haniyeh kadondoshwa jana wakati anahudhuria kuapishwa kwa Rais mpya Masoud Pezeshkian
Hiyo ni demo tu kwa Rais mpya Masoud kuwa ukileta fyoko na wewe tunakupekeka ukahangaike na mabikra
Kama akili ya huyo Ismail wako inafanana na hii ya kwako kuuawa ilikuwa sahihi. Hongera Israel kwa kuipunguzia Dunia mzigo.Walid bin Khalid alikuwa mmoja wa viongozi maarufu na mashuhuri wa kiislamu katika historia ya mapema ya Uislamu. Hapa kuna maelezo kuhusu yeye:
Kwa ujumla, Walid bin Khalid alikuwa na umuhimu katika historia ya mapema ya Uislamu kutokana na ushiriki wake katika shughuli za kijeshi na familia yenye ushawishi. maarufu.
- Jina Kamili: Walid bin Khalid bin al-Walid, mara nyingi hutajwa kama Walid bin Khalid, ni mwana wa Khalid bin al-Walid, mmoja wa mashujaa wakuu wa vita katika historia ya Kiislamu.
- Taarifa za Maisha: Walid bin Khalid alikuwa mtoto wa Khalid bin al-Walid, ambaye alijulikana kwa umaarufu wake katika vita vya Kiislamu na alipewa jina la "Saifullah" (Upanga wa Mwenyezi Mungu). Walid alikuwa sehemu ya familia yenye ushawishi mkubwa katika Uislamu wa mapema.
- Sifa na Heshima: Walid bin Khalid alihusishwa na maisha ya kijeshi na alijulikana kwa kuwa na sifa nzuri za kiutu na uongozi. Aliendelea kuwa na ushawishi katika jamii ya Kiislamu kutokana na sifa za baba yake na mchango wake kwa jamii.
- Mchango Wake: Walid bin Khalid alishiriki katika mapambano ya kijeshi na kazi za kijamii ambazo zilisaidia kuimarisha Uislamu. Hata hivyo, taarifa zake zinaweza kuwa ndogo katika maandiko ya kihistoria ikilinganishwa na baba yake, Khalid bin al-Walid, ambaye alikuwa na mchango mkubwa katika vita vya mapema vya Kiislamu.
Uko sahihi lakini wameua watu wengi sana..Kingine wanaua Viongozi wa Iran wenye akili.Achana na propaganda mkuu,hao waisrael toka mwaka jana Hadi Leo wao kama Wana uwezo si wangeimaliza hii vita mapema kabisa inakuaje vita vinapiganwa huu karibia mwaka na wao ndio wenye technology kubwa na wanasapotiwa Karibu na ma super power yote duniani? Wayahudi walivhofanikiwa ni kumilik vyombo vya habari vingi na vikubwa duniani yaani wanaweza kutengeneza propaganda na wakaaminika ila ni weupe Tu na tayari hii vita Isha waelemea Kwa wao mi nasema wameelemewa unabishanaje na taifa lisilo na nguvu Kwa muda wote huu
umeniuliza kuhusu yohana,Marko,Luka ama umeniuliza kauli ya yesu?.
wewe umeshavuta bangi ya dini,hakuna utakachokubali hata kama kitafunuliwa katika framework yoyote.
I'M OUT
KumbumbukaTukiendelea
JE! MUNGU NA YESU NI MMOJA?
Hebu tuifunue Biblia tutazame inasema nini katika jambo hili?
Mt Paulo katika barua yake ya kwanza kuwapelekea Wakorintho aliandika:
Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.
1 Wakorintho 15.15
Juu ya kuwa Paulo anaambiwa ya kuwa akiamini kuwa Masihi (yaani Kristo) na Mwenyezi Mungu ni kitu kimoja hapa anasema:
"Tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo."
Ikiwa Mungu kamfufua Kristo, hawawezi kuwa wote wawili hao ni mtu mmoja.
Mmoja alikuwa ni mtenda, mfufuaji, na wa pili alikuwa ni mtendwa, mfufuliwa.
Kama Kristo ni Mungu mwenye uwezo wa kufufua basi maelekeo ni kusema:
"Kristo kajifufua", sio kafufuliwa. Mwenye kufufuliwa ni mfu asiyejiweza kitu.
Katika kitabu cha Matendo ya Mitume inasimuliwa kuwa Mt Stefano alisema aliyoyaona yaliyo mbinguni. Alisema:
Tazama! naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo 7.56
Mwana wa Adamu ndiye Yesu, na kwa jina hilo ndio mwenyewe akipenda kujiita, sio Mwana wa Mungu.
Hapo basi huko mbinguni Stefano anasema anamwona Yesu kakaa mkono wa kulia wa Mungu.
Mwenye kukaa mkono wa kulia wa fulani hawezi kuwa ndiye yule yule fulani.
Hayo ni maelezo ya mbinguni.
Ni wazi basi kwa ushahidi wa Biblia kuwa Yesu hakuwa Mungu mbinguni kama alivyokuwa si Mungu duniani.