Yaani vita kubwa kwa wavaa kobazi na wapeperusha gruneti hao wanamgambo wa Hizbulah? Are you serious?Hii inakwenda kuwa vita kubwa mbaya mashariki ya kati........
Na hii vita itaamua nani mtawala na mbabe ndani ya mashariki ya kati
Kushabikia vita ya Gaza ni kushabikia mauaji. Watu wanakufa kila siku. Kama unaona uko Gaza Kuna furaha uende wewe ukaishi.Ha ha ha ha hiyo vita ya ghaza Israeli kayatimba
Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.
Wapi imeandikw kwamba waislamu wamepanga kuwaangamiza wakristo na wayahudi ?Kulingana na nyakati tulizoko, NB going to the Mark 2000yrs, hizi vita they are going to get nasty 😳. Kibaya zaidi waislamu wakiaminishwa na Quran yao kuwa watawaangamiza wayahudi na baadae wakristo ili dola ya kiislamu ishike hatamu duniani kote wanawatanguliza maskini wapalestina wawatu vitani wakiwaaminisha kuwa wanapigana vita ya Allah
Na sasa watamtafuta Netanyau mwenyewe kwa msaada wa mataifa fulani ya kiarabu.Hii ni hasira ya kushindwa vita huko ghaza kwa style hii ndo wapiganaji wa Hamas watapandisha mzuka wa kufa mtu
Wangekuwa na akili wangemaliza vita ya ghaza kwa miezi 2 tu.Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.
Wewe mpaka unaona kabisa GENTAMYCINE tokea najiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 hadi leo 2024 nimeweka tu Avatar yangu hapa JamiiForums ya Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin BIBI Netanyahu hujiulizi kwanini Namkubali vilivyo huyu Mwamba na hawa Waisraeli?
Hakuna wa Kupambana na Israel duniani.
Imeisha hiyo.....!!
Tumeshasema sana hapa JamiiForums kuwa hakuna wa Kupambana iwe Kivita na Kijasusi na Israel kwani hawa Jamaa licha tu ya kuwa Taifa Teule la Mwenyezi Mungu lakini pia Wamebarikiwa mno Akili Kubwa, Uzalendo wa Kweli na Vipawa Vikubwa sana vya Kuijua Vita na kuifanikisha Vita ile Kikamilifu kwa Kupambana na Adui mahala popote pale.Eeeeehhhh nasikia usiku wa kuamkia leo, Ayatollah na walinzi wake wamehama handaki na kukimbia location nyingine, wako underground huko Tehran kuhofia kumalizwa na MOSAD, inaonekana MOSAD wameamua kukata vichwa vya viongozi tu au kuwamaliza viongozi wa maadui wao wote, wanajua wakimalizwa hoo, hakuna atakaye toa order za vita tena..!!
Kiongozi wa Hezbollah, Nasrallaah hajulikani alipo, sbb makomandoo wa MOSAD wameingia ndani ya Lebanon hawajulikani na wanamsaka live, Nasrallaah anajirikodi alafu anatuma clip kwa vijana wake waitume kwenye news outlets mbalimbali, ila haijulikani yuko wapi…!!
Ndani ya mwezi mmoja ujao tutasikia mengi..!!
Netanyau lazima asakweNa sasa watamtafuta Netanyau mwenyewe kwa msaada wa mataifa fulani ya kiarabu.
Huyo wana muogopa wangetaka wangefanya hivyo jana TU
Tatizo mnajificha kwa raia hakuna kiongozi anataka kufagia Raia wote wa nchi ya watu ,wakiamua ni nusu saa tu hakuna kitu hapoWangekuwa na akili wangemaliza vita ya ghaza kwa miezi 2 tu.
Aliyekuambia kuwa Vita ina Time Limit ni nani? Huna Akili hebu nipishe...!!Wangekuwa na akili wangemaliza vita ya ghaza kwa miezi 2 tu.
Itakuwa vita kubwa kwa kuwa hao jamaa wameonekana kuwa wamejiimarisha kijeshi kuliko nyakati za nyuma.......Yaani vita kubwa kwa wavaa kobazi na wapeperusha gruneti hao wanamgambo wa Hizbulah? Are you serious?
Commando anasakwa? Are you okay Upstairs?Netanyau lazima asakwe
Ha ha ha ha hiyo vita ya ghaza Israeli kayatimba
Unadhani hawajahi kujaribu kumsaka?!Netanyau lazima asakwe
Israel imekuwa inaua viongozi wa Hamas,Iran,Hizbullah nk miaka yote lakini hawajafanikiwa kuondosha hatari kwao so itaendelea kusalia kama ilivyokuwa miaka yote,hakuna jipya sana hapo.Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa nchini Iran, kundi hilo limesema.
Katika taarifa iliyotolewa leo siku ya Jumatano, Hamas imesema Haniyeh aliuawa kufuatia uvamizi wa Israel kwenye makazi yake mjini Tehran.
Kwa mujibu wa kundi hilo, Haniyeh alifariki baada ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian aliyeapishwa siku ya Jumanne.
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Irani lilisema chanzo cha "tukio" hakijafahamika mara moja lakini "kinachunguzwa", shirika la habari la AFP liliripoti.
View attachment 3057258
Usicheze na MOSSAD
Acha Israel iwanyooshe hao Wapumbavu.Tatizo mnajificha kwa raia hakuna kiongozi anataka kufagia Raia wote wa nchi ya watu ,wakiamua ni nusu saa tu hakuna kitu hapo
Nani kumfunga paka kengele?Shida hivi vikundi wanaleta mbadala maana mizizi yake mikubwa yaani ideology inabaki. Huko nyuma walishauliwa wengi. Hiki kikundi wanajuwa propaganda na Iran ndio shida kuu siku wakiwekwa sehemu hawa wa Iran basi amani itakuja. Iran sio wanawadhuru Israel tu ila wameleta madhara mengi kwenye nchi za kiarabu na haswa Sunni maana wao wanadhani bora kuliko wengine. Narudia shida zitaisha hizi siku nchi ya Iran kupata kichapo.