Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Hao mateka wa October 7 sidhani bado wako hai,viongozi wa juu wa Hamas wanauawa ila mateka hawapatikani,nadhani walishaua mateka .
 
Ayatollah khameneiii hawamuui yule sio muhuni kama Hawa Hizborah sijui hamas.. yule analindwa na Sheria za kimataifa. Labda watamjegeja kama yule rais wa iran
Atauawa kisayansi sio kwa kombora
 
Ile picha inamuonyesha mshangazi Yahya Sinwar alikuwa ameshachoka sana yaani alikuwa amebakia fuvu tu yaani Iran inawatumikisha hawa wapumbavu na wao wanatumika ka toilet paper/kondom
Acha tu yakiwaza bikira 72 na umalaya wao yanaenda Kama manyumbu yenye kitu yameona maji yasijue mtoni Kuna mamba
 
Hawa wajamaa wana mbwembwe eti not special operation.
Bonge la tusi hilo! Means IDF haiwezi kufanya special op kwa "kuku" kama yule. Amekufa just by the way!
 
Hizo picha ni AI generated acheni kupumbazika, maofisa wa Israel sio wendawazimu kusambaza picha za namna hiyo mtandoni hata kama angekuwa kauwawa kweli
Dunia nzima wenye kusherehekea wanasherehekea, wenye kuomboleza wanaomboleza, isipokuwa wewe mmoja tu uliyepo nyuma ya key board ndiyo unajua zaidi na haukubaliani hata na vyombo vya kimataifa?

Kufa wewe basi kama hautaki Sinwar afe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…