Kiongozi Mkuu wa Hezbollah Sayyed Hassan Nasrallah kutoa hotuba nzito mbele ya waandishi wa habari duniani kesho alhamisi Septemba 19

Mimi namshangaa speech ya nini? Tunataka utumie silaha ilizo nazo chakaza kabisa Israel, hawa Israel sio wakuwaonea huruma. Speech Speech nani anataka Speech time ya action sio maneno.
Subiri kidogo, anatoa speech muda si mrefu.
 
Zile pager kulipuliwa zilimchanganya akili. Ni kama walipoteana.
 
Tayari kaondolewa duniani.

Sasa Lebanon inakuwa sehemu salama pa kuishi.
Lebanon itakuwa salama if they get rid or hezbollah. ilikuwa nchi moja nzuri sana but hezbollah walipoingia everything went to shite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…