Kiongozi wa Chechnya amuomba Putin awaruhusu makamanda wake wafanye mashambulizi ya kushtukiza na mabaya zaidi ili waimalize vita ndani ya saa 48

Hawa jamaa ni wana morali hatari hawakusubiri kuambiwa waingie vitani ilikuwaje wakaelewana na urusi
Putin aliwaruhusu wajitenge wawe jamhuri inayojitegemea ya kiislamu na wajiongoze kwa Sharia.

Ni sawa na waislamu was bongo waseme wao wanahitaji waishi peke Yao eneo la maalum, kwa sheria zao.
wasijichanganye na raia wengine.
 
Nimeipata na hii ya ung'eng'e muda huu.
Ramzan Kadyrov: The civilian population of Ukraine needs protection. And the Chechen special forces, led by my dear BROTHER Hussein Mezhidov, are doing an excellent job with this task.

Civilians were settled in basements for the sake of their own safety, in case of shelling of residential areas by Bandera. Every day, fighters make rounds, asking what they need. Food products are supplied, as well as sweets for children to somehow brighten up military everyday life. There are many elderly and sick people among the refugees. They are supplied with all the necessary medicines.

Russian servicemen do not fight civilians. These people became victims of political intrigues and conspiracies of the West with the Ukrainian leadership against Russia.

Once again I appeal to the Armed Forces of Ukraine: this is not your war! Look how Russian military personnel protect the civilian population - the enemy does not behave like that. Our enemies are Bandera and nationalists, those who drive wedges between two fraternal states. Let's protect civilians together and squeeze out Bandera!

Nalog off
 
Wasalimu amri ili kupata nini?. Wapige mabomu ya kushtukiza ili iweje?. Ili kupata nini?. Wanatafuta nini walichokiiba ukrain?. Wakisalimu amri ni ushindi ksbb zipi?. Huyo nae ni pimbi tu,anajua kabisa yeye anakuwa mstari mwingine usioshambuliwa. Wanaokufa ni wengine. Hii vita isiyo na maana yoyote tayari mchokozi kashapoteza wanajeshi wake zaidi ya 600,bila sababu yoyote. Hao sio kidogo
 
Mkuu ngoja tuwawekee na link ya habari hiyo, wasije kusema ni maneno yako.

 
Yaani wewe waleta stori za tv wakati mie ninakuwekea habari ya toka Reuters, au Reuters inamilikiwa na Russia?

Haya nakuongezea na taarifa hii toka FAO uone kama Russia ina njaa kama Tanzania

View attachment 2139216
Hiyo habari ya kugawa chakula ni ya kutoka TV ya russia hata CNN wali " quote" ukibisha tutakuwekea hapa.
Au vipi ile script iliyosomwa Umoja wa Mataifa mazungumzo ya askari wa kirusi na Mama yake kabla hajapigwa risasi na ma sniper wa Ukrain. Kifupi anasema walidanganywa waliambiwa mazoezi tu wakajikuta wako vitani.

Na ile Helicopter ya KA-52 warusi waliilinganisha na Apache ya US zimetunguliwa na Ukrain mpaka china aliyetaka kuzinunua ameziponda sana wanasema bora kumbe za kwao.

Halafu hayo mambo ya njaa kali kwa Askari yamepatikana baada ya ma Hacker wa nchi mbalimbali kunasa mazungumzo ya askari wa urussi kibao toka vita vianze wakiongea a kupanga mipango ya vita, ndio mara dizeli na msosi wameishiwa wanajadili. Sasa watu walidhani jeshi super power kama urussi vipi mazungumzo yananswe kirahisi mpaka meja jenerali mmoja akauawa sababu sniper alijua anakuja na helikopta. Hii ni vita ya David na Goliath. Putin anasota sanampaka huyo jamaa kauona msoto anataka kumsaidia.

Labda atumie zile mbinu za Syria kuoiga mabomu mtaa kwa mtaa sambaratisha mpaka paka na mbwa.

Ukweli ni kwamba wa Chechnya wapo wanapigana toka muda tu. Kumbe putin ni kujimwambafai sana na nuklia. Nuklia hata india wanazo nchi ambayo inasemekana raia wengi hawana vyoo.

Ila ikifikia vita ya mitaani mano to mano bado US Marines ni moto wa kuotea na huwezi nasa mazungumzo yao.

Wala hawavai nguo za jeshi za adui kama wanavyofanya warusi kuogopa kichapo.

Putin atashinda hatimae ila atavuliwa nguo zote
 
Chai ya usiku wa manane yenye viungo vya mkurungu.
 
Eh! Yobah! Yobah! Yobah! Yobah!
 
Je tutrajie pendekezo lake kufanyiwa kazi baada ya temporary ceasefire?
 
Yaani wanawaua alafu wanawapa chakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…