uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Hapa lazima aingie hata hapo Gaza kaingia sana vita na hizbollah huwezi pigana peke Yako lazima CIA,MI6,Scotland Yard n.k wahusike ni vita kaliamerican haingii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa lazima aingie hata hapo Gaza kaingia sana vita na hizbollah huwezi pigana peke Yako lazima CIA,MI6,Scotland Yard n.k wahusike ni vita kaliamerican haingii?
iPI HIO? YA PAULO AU YA YESU?Mambo ya Injili haya mkongwe, sio?
Kwanini akiingia Iran, Urusi inakuwa ugomvi? kwanini?Hapa lazima aingie hata hapo Gaza kaingia sana vita na hizbollah huwezi pigana peke Yako lazima CIA,MI6,Scotland Yard n.k wahusike ni vita kali
Ok basi aongeze namna ya kupambana na Hezbollah ila naamini atashinda vizuriKwa sasa hakuna taifa duniani la kuweza kuishinda kivita Israel, ila ipo vita muda si mrefu inakuja ambapo Israel itapigana na sehemu kubwa ya dunia ikiongozwa na nchi za EU chini ya mtawala mmoja wa dunia atakayetokea kwenye mojawapo ya nchi za EU hapo israel itakula kipondo heavy
Urusi akipeleka kwanini marekani anakuwa mkali?Nasrallah kasema muda wowote wanakinukisha
Israel imesema wataifanya Lebanon kama Gaza
Marekani yamepeleka manowari zake Haifa
hope atashinda
Hamas na Hizbullah wanalingana kwenye nini?HAMAS walitamba hivyo hivyo sasa hivi wanabokolewa vilivyo kama kuku bandani.
Jikite kwenye madaUrusi akipeleka kwanini marekani anakuwa mkali?
jibu hojaJikite kwenye mada
Unazungumzia vita hii ya makombora, risasi na maguruneti au neno vita umetumia kama fasihi?Kwa sasa hakuna taifa duniani la kuweza kuishinda kivita Israel, ila ipo vita muda si mrefu inakuja ambapo Israel itapigana na sehemu kubwa ya dunia ikiongozwa na nchi za EU chini ya mtawala mmoja wa dunia atakayetokea kwenye mojawapo ya nchi za EU hapo israel itakula kipondo heavy
Hezbollah hana ubavu wowote wa kuishinda Israel.Ok basi aongeze namna ya kupambana na Hezbollah ila naamini atashinda vizuri
Hicho nilichoandika si kila mtu anaweza elewa wewe ukiwa mmojawapo ila aidha uwe hai au umekufa upo kuzimu au peponi kitakapotokea taarifa utazipata.Unazungumzia vita hii ya makombora, risasi na maguruneti au neno vita umetumia kama fasihi?
Russia Turkey na Iran ukiongeza na mataifa ya afrika kaskazini kama Egypt na Algeria ni mataifa yenye nguvu sanaHezbollah hana ubavu wowote wa kuishinda Israel.
Kuna vita inakuja muda si mrefu ambapo russia akiwa na turkey, iran na mataifa mengine ya kiarabu na ya afrika kaskazini yatapambana na Israel na still yatashindwa tena vibaya mno na ndo anguko la russia itatokea.
Haya ninayoandika najua wengi sana hapa JF watakejeli.
GAZA kwani Isreal anasaidiwa na nani?Hezbollah hana ubavu wowote wa kuishinda Israel.
Kuna vita inakuja muda si mrefu ambapo russia akiwa na turkey, iran na mataifa mengine ya kiarabu na ya afrika kaskazini yatapambana na Israel na still yatashindwa tena vibaya mno na ndo anguko la russia itatokea.
Haya ninayoandika najua wengi sana hapa JF watakejeli.
Hicho nilichoandika akili ya mwanadamu haiwezi elewa ila naomba Mungu akuweke hai ujionee uzuri si miaka mingi itatokea hiyo vitaRussia Turkey na Iran ukiongeza na mataifa ya afrika kaskazini kama Egypt na Algeria ni mataifa yenye nguvu sana
Israel atashinda vipi hiyo vita kubwa sana maana hata number zinakataa
Dunia ina mengi. Kila la heri taswira ya ufahamu wako ijongeapo!Hicho nilichoandika si kila mtu anaweza elewa wewe ukiwa mmojawapo ila aidha uwe hai au umekufa upo kuzimu au peponi kitakapotokea taarifa utazipata.
Basi sawa ngoja tungoje tuone itakuwaje wakati ukifika hizi geo politics ni ngumu sana ndio maana naona wale Saudia na UAE wanajiepusha nazo sana na kuendelea na mambo YaoHicho nilichoandika akili ya mwanadamu haiwezi elewa ila naomba Mungu akuweke hai ujionee uzuri si miaka mingi itatokea hiyo vita
Amka uliko lala israel hii waziri wake mkuu analilia kwa nini msaada wa silaha toka usa haujafika hadi leo wee tulia hizbullah anaingia mzigoni huku bado kuna frontline nyingine zimetulia kuna msyria pale na myemen na muiraq bado sana kazi ipo .Kwa sasa hakuna taifa duniani la kuweza kuishinda kivita Israel, ila ipo vita muda si mrefu inakuja ambapo Israel itapigana na sehemu kubwa ya dunia ikiongozwa na nchi za EU chini ya mtawala mmoja wa dunia atakayetokea kwenye mojawapo ya nchi za EU hapo israel itakula kipondo heavy