Kiongozi wa Hezbollah: Hakuna sehemu itabaki salama ndani ya Israel

Kiongozi wa Hezbollah: Hakuna sehemu itabaki salama ndani ya Israel

Nimesoma taarifa mahali leo inasema Msemaji wa jeshi la Mayahudi ndugu Daniel Hagari amekiri wazi kuiangamiza Hamas ni ndoto ya mchana.
Maana ni vigumu kuitenganisha na mioyo ya Wapalestina walio wengi! Na ameishauri serikali yake ikubali tu kubadilishana mateka na wafungwa.

Ukijumlisha na makombora yanayorushwa kila siku kutoka Lebanon kiasi cha kusababisha Mayahudi zaidi ya laki moja kuyakimbia makazi yao! na tishio kali kutoka kwa kwa hao Hezbollah kupitia zile clip zao zinazoonesha maeneo yote nyeti ya Mayahudi! Ukimjulisha na ile dhoruba inayofanywa na Wahouth! Bado wale jamaa wa Syria na Iraqi! Shinikizo la Kimataifa!

Aisee Mayahudi pamoja na kaka yao Marekani wana wakati mgumu. Wakubali tu kushindwa. Maana hawana uwezo wa kupambana na Hezbollah pamoja na hao Hamas.
 
Nimesoma taarifa mahali leo inasema Msemaji wa jeshi la Mayahudi ndugu Daniel Hagari amekiri wazi kuiangamiza Hamas ni ndoto ya mchana.

Maana ni vigumu kuitenganisha na mioyo ya Wapalestina walio wengi! Na ameshauri serikali ikubali tu kubadilishana mateka na wafungwa.

Umijumlisha na makombora yanayorushwa kila siku kutoka Lebanon, na tishio kali kutoka kwa Hezbollah! Ukimjulisha ile dhoruba inayofanywa na Wahouth! Bado wale jamaa wa Syria na Iraqi! Shinikizo la Kimataifa!

Aisee Mayahudi pamoja na kaka yao Marekani wana wakati mgumu. Wakubali tu kushindwa. Maana hawana uwezo wa kupambana na Hezbollah pamoja na hao Hamas.
yah.
Inawezekana ni kweli au prp za vita
 
hawa ndio watu wa kazi sasa, onyo kapewa mpaka Cyprus , nawapa tahadhari huyu Hezbollah sio Hamas huyu, hapa Israel atapata maumivu makali sana , ndio maana Biden ametuma mtu wake haraka sana Lebanon kuzungumza ma spika wa bunge wa lebanon , ambaye ni mshirika wa Hezbollah
Hezbollah hana ubavu wa kuipiga nchi yoyote ya Ulaya. Atapigwa mtungo hataamini.
 
Hezbollah hana ubavu wowote wa kuishinda Israel.
Kuna vita inakuja muda si mrefu ambapo russia akiwa na turkey, iran na mataifa mengine ya kiarabu na ya afrika kaskazini yatapambana na Israel na still yatashindwa tena vibaya mno na ndo anguko la russia itatokea.
Haya ninayoandika najua wengi sana hapa JF watakejeli.
Wewe amka fasta utakata kimba kitandan
 
Hezbollah hana ubavu wowote wa kuishinda Israel.
Kuna vita inakuja muda si mrefu ambapo russia akiwa na turkey, iran na mataifa mengine ya kiarabu na ya afrika kaskazini yatapambana na Israel na still yatashindwa tena vibaya mno na ndo anguko la russia itatokea.
Haya ninayoandika najua wengi sana hapa JF watakejeli.
huna tofauti na wale wasabato masalia
 
Hezbollah ni mtaalamu wa hizi mambo , hata US anajua ndio maana Biden katuma mtu wake haraka kule lebanon, nakuhakikishia kule lebanon Mh Bibi atakutana na resistance ya kweli sio kama ya wale Hamas
Cyprus atafungua anga Muisrael apitishe vitu na Hezbollah hatakuwa na cha kumfanya.
 
Hezbollah hana ubavu wowote wa kuishinda Israel.
Kuna vita inakuja muda si mrefu ambapo russia akiwa na turkey, iran na mataifa mengine ya kiarabu na ya afrika kaskazini yatapambana na Israel na still yatashindwa tena vibaya mno na ndo anguko la russia itatokea.
Haya ninayoandika najua wengi sana hapa JF watakejeli.
Umejuaje
 
Hezbollah hana ubavu wowote wa kuishinda Israel.
Kuna vita inakuja muda si mrefu ambapo russia akiwa na turkey, iran na mataifa mengine ya kiarabu na ya afrika kaskazini yatapambana na Israel na still yatashindwa tena vibaya mno na ndo anguko la russia itatokea.
Haya ninayoandika najua wengi sana hapa JF watakejeli.
Gogo na magogu
Hapo babel mkuu ni nani ni russia au mareksni?
 
HAMAS walitamba hivyo hivyo sasa hivi wanabokolewa vilivyo kama kuku bandani.
Haha jifurahishe tu maneno yako yange kuwa na kweli angeisha komboa mateka wake wote, kaingia vita ya Gaza kwa malengo matatu hakuna hata moja Israel kafanikisha.

Alicho bahatika ni kukomboa mateka 4 kawakomboa tena kwa kusaidiwa na America na UK, tena kwa kutumia magari ya misada hi ni aibu kwake.

Na kila kukicha anapokea kichapo 12 watatu mara wanane mara 20 mara aisay Hamasi ana wamaliza wanajeshi wa Israel, huko Lebanon akigusa ndio bye bye this time Israel.
 
Back
Top Bottom