Kiongozi wa Hezbollah: Hakuna sehemu itabaki salama ndani ya Israel

Kiongozi wa Hezbollah: Hakuna sehemu itabaki salama ndani ya Israel

inamaana Cyprus itumike kuipiga Lebanon wao wachekewe?
Wazungu sio Waarabu mzee. Warabu si unaona hapo Palestina mwenzao anatembezewa mkong'oto yanakenua tu yanaangalia. Nenda kaiguse nchi yoyote ya Ulaya uone Wazungu wanavyokushukia kama mwewe.

Au ndugu sema kweli katika ukuaji wako ni lini umesikia nchi kutoka nje ya Ulaya imeshambulia mwanachama wa Ulaya. Unahisi hawapendi?

Hezbollah ataishia kupiga mikwara tu na siku atayojaribu kuishambulia Cyprus ndio itakua mwisho wake.
 
Hezbollah hana ubavu wowote wa kuishinda Israel.
Kuna vita inakuja muda si mrefu ambapo russia akiwa na turkey, iran na mataifa mengine ya kiarabu na ya afrika kaskazini yatapambana na Israel na still yatashindwa tena vibaya mno na ndo anguko la russia itatokea.
Haya ninayoandika najua wengi sana hapa JF watakejeli.
Bibilia ya paulo ndio inakudanganya sio, basi sisi tunakuambia Israel hana ubavu huo time ya kumchinja ng'ombe wa Israel umekaribia.
 
Wazungu sio Waarabu mzee. Warabu si unaona hapo Palestina mwenzao anatembezewa mkong'oto yanakenua tu yanaangalia. Nenda kaiguse nchi yoyote ya Ulaya uone Wazungu wanavyokushukia kama mwewe.

Au ndugu sema kweli katika ukuaji wako ni lini umesikia nchi kutoka nje ya Ulaya imeshambulia mwanachama wa Ulaya. Unahisi hawapendi?

Hezbollah ataishia kupiga mikwara tu na siku atayojaribu kuishambulia Cyprus ndio itakua mwisho wake.
Nilitegemea URUSI nae ashukiwe kama mwewe, lkn sijaona.
 
Kwa sasa hakuna taifa duniani la kuweza kuishinda kivita Israel, ila ipo vita muda si mrefu inakuja ambapo Israel itapigana na sehemu kubwa ya dunia ikiongozwa na nchi za EU chini ya mtawala mmoja wa dunia atakayetokea kwenye mojawapo ya nchi za EU hapo israel itakula kipondo heavy
Ni kweli mkuu dalili zote zipo, adui mkubwa wa Israel atakuwa USA+ NATO, picha inaanza hivi, kwa sasa dunia nzima imeaminishwa kuwa Israel anajua watoto na wanawake tu kwenye vita ya Hamas, mbeleni atakuja rais ambaye ataisaidia toka Marekani ambaye ataisapoti Israel kwa hali na mali na Israel atashinda vita , shida huyo rais ataingilia mambo ya kidini ya wayahudi, atataka wayahudi wamwabudu na kumsujudia, kutokana na misimamo mikali ya kiimani ya wayahudi watagoma na kumkatalia, shida itaanzia hapo, atasema kumbe Israel ni taifa ovu na ambalo halina shukurani, katika mshangao huo Israel itashambuliwa na taifa la kiarabu , Israel atajibu mashambulizi hayo kwa ukali mkubwa sana na kusababisha maafa makubwa sana( tactical nuclear) ,dunia nzima itaigeuka Israel kwa unyama ambao atakuwa amefanya ,vita ya harmagedonea ( third world war) itaanza kati ya marais yote makubwa dhidi ya Israel
 
Bibilia ya paulo ndio inakudanganya sio, basi sisi tunakuambia Israel hana ubavu huo time ya kumchinja ng'ombe wa Israel umekaribia.
Hicho nilichoandika aidha uwe hai, umekufa upo kuzimu au umekufa upo peponi habari zitakufikia
 
Gogo na magogu
Hapo babel mkuu ni nani ni russia au mareksni?
Gogu ni russia katu haiwezekani kuwa marekani kumbuka marekani haipo kwenye unabii wa siku za mwisho na infact marekani itapungua sana kiuchumi na kijeshi mara baada ya unyakuo kutokea.
 
Kwa sasa hakuna taifa duniani la kuweza kuishinda kivita Israel, ila ipo vita muda si mrefu inakuja ambapo Israel itapigana na sehemu kubwa ya dunia ikiongozwa na nchi za EU chini ya mtawala mmoja wa dunia atakayetokea kwenye mojawapo ya nchi za EU hapo israel itakula kipondo heavy
Labda kama USA haitakuwepo
 
Kwa sasa hakuna taifa duniani la kuweza kuishinda kivita Israel, ila ipo vita muda si mrefu inakuja ambapo Israel itapigana na sehemu kubwa ya dunia ikiongozwa na nchi za EU chini ya mtawala mmoja wa dunia atakayetokea kwenye mojawapo ya nchi za EU hapo israel itakula kipondo heavy
Changamoto ya afya ya akili
 
Labda kama USA haitakuwepo
US itakuwepo but wanaoiombea Israel usiku na mchana wengi sana watakuwa wameshanyakuliwa so watakaokuwa wamebakia US wengi ni wale wanaoichukia Israel mf Michigan ina jamii kubwa sana ya kiarabu na ambayo ina chuki kubwa mno kupindukia kwa israel sasa jamii hii ya watu itakuwa imejiingiza sana serikalini US miaka michache sana ijayo sasa pata picha US kwenye ngazi za maamuzi wawe wameshika waarabu, wasomali, na hata wazungu na races nyingine ambazo now wanaichukia Israel unafikiri US itangilia kati wakati huo Israel itakapokuw inapigwa na huyo kiongozi wa dunia? Halafu huyo kiongoz atakuwa ndo kiongozi wa dunia nzima US ikiwemo so ndo kusema kipindi hicho US itakuwa imedhoofika kiasi cha kutokuwa tena na ushawishi mkubwa duniani.
 
Back
Top Bottom