Garincha II
Senior Member
- Jul 21, 2023
- 185
- 213
Unaweza ukaharibikiwa akili kwa kusoma na kumamini utopolo kama wa huyu jamaa. Na Hapo humwambii kitu 😂😂Mkuu kichwa chako sio kizima 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ukaharibikiwa akili kwa kusoma na kumamini utopolo kama wa huyu jamaa. Na Hapo humwambii kitu 😂😂Mkuu kichwa chako sio kizima 😁
Achana nae huyo kazoea kuwaambia kondoo wa bwana, akafikiri kila mtu ni wa rahisi tu.Unaweza ukaharibikiwa akili kwa kusoma na kumamini utopolo kama wa huyu jamaa. Na Hapo humwambii kitu 😂😂
Kwa kumbukumbu zangu Israel ndiyo iliyokataa two state solution. Maana yake Isarel ndo aliyekataa.Mliambiwa mgawane ila akili yenu mnataka 100% , waende wapi
israel ni taifa teule la Mungu Mkuu
sawa maamumaHa ha ha kumbe na swalala Imani
Hujui lolote kuhusu unabii. Umemeza tango pori
Sio kweliKwa kumbukumbu zangu Israel ndiyo iliyokataa two state solution. Maana yake Isarel ndo aliyekataa.
Waambie ndugu zako waachane akili ya kuwafuta Jewish, nia kubwa ya Hamasa na Islamic militant ni destruction of Israel then replace with Islamic stateOna huyu naye anaongea nini!?
1947 Palestina ilikubali kugawana ardhi na Israel,na Jerusalem wakapewa Israel kama wanavyotaka.
1948 wakaanzisha expansion na kuwaambia waarabu waende Misri kuna ardhi kubwa wanaohangaike na ya pale.
Usisahau kuwa Israel alivamia mpaka Misri na Syria akitaka kuongeza ardhi.
Itakua mtoto wa juzi hujui ugomvi wa hao jamaa.
Anayetaka ardhi yote ni Israel sio Palestina.
Who rejected two state solutionOna huyu naye anaongea nini!?
1947 Palestina ilikubali kugawana ardhi na Israel,na Jerusalem wakapewa Israel kama wanavyotaka.
1948 wakaanzisha expansion na kuwaambia waarabu waende Misri kuna ardhi kubwa wanaohangaike na ya pale.
Usisahau kuwa Israel alivamia mpaka Misri na Syria akitaka kuongeza ardhi.
Itakua mtoto wa juzi hujui ugomvi wa hao jamaa.
Anayetaka ardhi yote ni Israel sio Palestina.
Huna ulijualo,nia hiyo ni ya Israel.Waambie ndugu zako waachane akili ya kuwafuta Jewish, nia kubwa ya Hamasa na Islamic militant ni destruction of Israel then replace with Islamic state
Unaleta story za Wikipedia!?Who rejected two state solution
The Arab Higher Committee, the Arab League and other Arab leaders and governments rejected it on the basis that Arabs formed a two-thirds majority and owned a majority of the lands.
Two-state solution - Wikipedia
View attachment 3021889
wikipedia.org
hawa ndio watu wa kazi sasa, onyo kapewa mpaka Cyprus , nawapa tahadhari huyu Hezbollah sio Hamas huyu, hapa Israel atapata maumivu makali sana , ndio maana Biden ametuma mtu wake haraka sana Lebanon kuzungumza ma spika wa bunge wa lebanon , ambaye ni mshirika wa Hezbollah
Nasrallah is/was just a person, the thing you should worry is their Islamic belief the Islam is there behind your back till the Saa ... You should keep watching
Ulisema 🤣🤣Huyo Nasrallah ndio atatunguliwa wa kwanza.
Ni muda tu utaongea
Muda tayari umetimiaHuyo Nasrallah ndio atatunguliwa wa kwanza.
Ni muda tu utaongea
📌📌Huyo Nasrallah ndio atatunguliwa wa kwanza.
Ni muda tu utaongea
Mtu kazi wako chali. Hezbollah ni kama wahuni wa mtaani bora hata Hamas walijitutumuahawa ndio watu wa kazi sasa, onyo kapewa mpaka Cyprus , nawapa tahadhari huyu Hezbollah sio Hamas huyu, hapa Israel atapata maumivu makali sana , ndio maana Biden ametuma mtu wake haraka sana Lebanon kuzungumza ma spika wa bunge wa lebanon , ambaye ni mshirika wa Hezbollah