Kiongozi wa Hezbollah: Hakuna sehemu itabaki salama ndani ya Israel

Kiongozi wa Hezbollah: Hakuna sehemu itabaki salama ndani ya Israel

Hicho nilichoandika aidha uwe hai, umekufa upo kuzimu au umekufa upo peponi habari zitakufikia
Kwani nyie wakristo mnaenda peponi? Vipi mtaenda peponi na Yesu mnasema Mungu

Mungu tunambiwa ni mmoja tu, sa nyie mnamshirikisha Mungu pamoja na Yesu hapo mnakuwa Umekufuru.

Afu story za bibilia hazitoki kwa Mungu.

Ni porojo za Paulo
 
Tutarudi kwenye huu uzi kwa ajili ya mrejesho.
Hao Cyprus walitishiwa na Houthi wakaufyata.
Si walitaka kutoa anga kwaajili ya kuwashambulia Yemeni!?
Houthi waliwapa onyo na wakafunga anga Lao kutumika kijeshi na USA.
 
Wenyewe waliita Al Aqsa floods sasa wako mashimoni kama panya.

Na niwakumbushe tu mpaka sasa ambapo vita kamili haijatokea kati ya Hizbullah na IDF ninavyoandika hapa wanamgambo karibu 350 wa Hizbullah wanagombania bikra za Munyaazi huko kuzimu sikwambii ikianza hiyo total war nahisi huko kuzimu patakuwa hapatoshi.
Kipindi unasema hicho IDF wamepoteza askari zaidi ya 500 na wana askari takriban 12000 wenye ulemavu wa kudumu.
Sasa jiulize kama ikianza full scale war itakuaje!?
 
Mliambiwa mgawane ila akili yenu mnataka 100% , waende wapi
Ona huyu naye anaongea nini!?
1947 Palestina ilikubali kugawana ardhi na Israel,na Jerusalem wakapewa Israel kama wanavyotaka.
1948 wakaanzisha expansion na kuwaambia waarabu waende Misri kuna ardhi kubwa wanaohangaike na ya pale.
Usisahau kuwa Israel alivamia mpaka Misri na Syria akitaka kuongeza ardhi.
Itakua mtoto wa juzi hujui ugomvi wa hao jamaa.
Anayetaka ardhi yote ni Israel sio Palestina.
 
Kipindi unasema hicho IDF wamepoteza askari zaidi ya 500 na wana askari takriban 12000 wenye ulemavu wa kudumu.
Sasa jiulize kama ikianza full scale war itakuaje!?
Hiyo 500 ni idadi ya wanamgambo wa Hizbullah na raia wa Lebanon Israel hawafiki hata 30.
 
Wenyewe waliita Al Aqsa floods sasa wako mashimoni kama panya.

Na niwakumbushe tu mpaka sasa ambapo vita kamili haijatokea kati ya Hizbullah na IDF ninavyoandika hapa wanamgambo karibu 350 wa Hizbullah wanagombania bikra za Munyaazi huko kuzimu sikwambii ikianza hiyo total war nahisi huko kuzimu patakuwa hapatoshi.
Maana wakianzisha Total war. Inamaana Israel watawasha maude yao ya F16, F22, F35
Haworth mwewe wakizunguka apo Lebanon 🇱🇧
Atabaki hata inzi yetu macho. Maana ya vita na Israel 🇮🇱 7 unapigwa kulingana na ulivyokuja, lile taifa la vita. Silaha zilizopo USA 🇺🇸 ndio izo izo watafiti ni Wayaudi hao hao. Kwa iyo atagongwa mtu na kitu kizito alafu tutabaki kushangaaa dunia kuna hati hati ili taifa la Lebanon 🇱🇧 au Iran 🇮🇷 likaja kuonja kupigwa na nyuklia na ndio vuguvugu ili la vita baridi likaja kuisha
 
Maana wakianzisha Total war. Inamaana Israel watawasha maude yao ya F16, F22, F35
Haworth mwewe wakizunguka apo Lebanon 🇱🇧
Atabaki hata inzi yetu macho. Maana ya vita na Israel 🇮🇱 7 unapigwa kulingana na ulivyokuja, lile taifa la vita. Silaha zilizopo USA 🇺🇸 ndio izo izo watafiti ni Wayaudi hao hao. Kwa iyo atagongwa mtu na kitu kizito alafu tutabaki kushangaaa dunia kuna hati hati ili taifa la Lebanon 🇱🇧 au Iran 🇮🇷 likaja kuonja kupigwa na nyuklia na ndio vuguvugu ili la vita baridi likaja kuisha
Unazingua hayo matoi ya F 35 ambayo yanaanguka yenyewe na hayo ma F 22 ambayo Houth wanayapopoa
 
Hiyo 500 ni idadi ya wanamgambo wa Hizbullah na raia wa Lebanon Israel hawafiki hata 30.
Hao 500 ni askari wa IDF utake usitake.
Israel imekua ikificha idadi ya vifo na majeruhi wa askari wake,Haaretz ndio ilitoa ripoti na wakainyamazisha.
 
Maana wakianzisha Total war. Inamaana Israel watawasha maude yao ya F16, F22, F35
Haworth mwewe wakizunguka apo Lebanon 🇱🇧
Atabaki hata inzi yetu macho. Maana ya vita na Israel 🇮🇱 7 unapigwa kulingana na ulivyokuja, lile taifa la vita. Silaha zilizopo USA 🇺🇸 ndio izo izo watafiti ni Wayaudi hao hao. Kwa iyo atagongwa mtu na kitu kizito alafu tutabaki kushangaaa dunia kuna hati hati ili taifa la Lebanon 🇱🇧 au Iran 🇮🇷 likaja kuonja kupigwa na nyuklia na ndio vuguvugu ili la vita baridi likaja kuisha
Ukiwa unasema hilo kumbuka Lebanon wana ADS kutoka Iran,hivyo hizo ndege zako hazitaruka free tu kadri zitakavyo.
Pasi na kufahamu Hizbollah wana missile power ya kurusha heavy long range ballistic missiles 3000 kwa siku.
Sasa jiulize Hizbollah akiamua kutumia hiyo missile power itakuaje kwa Israel.
 
Kwa nini sio Netanyahu
Sa ngapi hata watafika Israel,
Hao wanapukuchuliwa hapo mpakani tu hawajawai kumatch upp kwenda mji mkuu na hawatawahi.
Huyo anawadanganya hadhubuti kutoka hata kibarazani.
Yuko kwenye handaki.
 
Hawa mapunga wa Kizayuni ,wanyooshwe mpaka akili ziwarudi .
Wapuuzi wanatolewa jasho na Hamas mpaka leo ....
Wanaishia kubomoa shule , hospitali na kuua wagonjwa na watoto
Pumbavu sana
 
Mara hii watanyooshwa kisawasawa wakijichanganya kuingia katika full battle na Hezbollah.
Hezbollah Wana shughuli nzito .
Tangia battle ya 2006 ,mazayuni waliipata pata
 
Gogu ni russia katu haiwezekani kuwa marekani kumbuka marekani haipo kwenye unabii wa siku za mwisho na infact marekani itapungua sana kiuchumi na kijeshi mara baada ya unyakuo kutokea.
Ha ha ha kumbe na swalala Imani
Gogu ni russia katu haiwezekani kuwa marekani kumbuka marekani haipo kwenye unabii wa siku za mwisho na infact marekani itapungua sana kiuchumi na kijeshi mara baada ya unyakuo kutokea.
Hujui lolote kuhusu unabii. Umemeza tango pori
 
Israel wakijibu mapigo waarabu wasikimbilie ICC. waisrael wajibu hivyo hivyo wanavyoshambuliwa wasichague raia wala gaidi ni kupoteza muda na hela zao kuwinda viongozi wa magaidi, huwezi kupambana na magaidi wasiofuata rules of engagement in war kwa kufuata sheria za vita, dawa ya moto ni moto, watakoma na kuacha.
 
Uzuri Israel akiingia anapiga hadi masalia na mbegu zao zote , inatwa mkome kucheza na mimi.
 
Back
Top Bottom