Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nyie wakristo mnaenda peponi? Vipi mtaenda peponi na Yesu mnasema MunguHicho nilichoandika aidha uwe hai, umekufa upo kuzimu au umekufa upo peponi habari zitakufikia
Kwa nini sio NetanyahuHuyo Nasrallah ndio atatunguliwa wa kwanza.
Ni muda tu utaongea
Cyprus wameelewa somo hata kabla ya kipindi.Wakithubutu kuipiga Cyprus wataona Ulaya nzima itavyowapakia mkongo. Hawataamini.
Hao Cyprus walitishiwa na Houthi wakaufyata.Tutarudi kwenye huu uzi kwa ajili ya mrejesho.
Kipindi unasema hicho IDF wamepoteza askari zaidi ya 500 na wana askari takriban 12000 wenye ulemavu wa kudumu.Wenyewe waliita Al Aqsa floods sasa wako mashimoni kama panya.
Na niwakumbushe tu mpaka sasa ambapo vita kamili haijatokea kati ya Hizbullah na IDF ninavyoandika hapa wanamgambo karibu 350 wa Hizbullah wanagombania bikra za Munyaazi huko kuzimu sikwambii ikianza hiyo total war nahisi huko kuzimu patakuwa hapatoshi.
Ona huyu naye anaongea nini!?Mliambiwa mgawane ila akili yenu mnataka 100% , waende wapi
Maneno ya kifara tuuubila ya American isreal kama ubua
Hiyo 500 ni idadi ya wanamgambo wa Hizbullah na raia wa Lebanon Israel hawafiki hata 30.Kipindi unasema hicho IDF wamepoteza askari zaidi ya 500 na wana askari takriban 12000 wenye ulemavu wa kudumu.
Sasa jiulize kama ikianza full scale war itakuaje!?
Maana wakianzisha Total war. Inamaana Israel watawasha maude yao ya F16, F22, F35Wenyewe waliita Al Aqsa floods sasa wako mashimoni kama panya.
Na niwakumbushe tu mpaka sasa ambapo vita kamili haijatokea kati ya Hizbullah na IDF ninavyoandika hapa wanamgambo karibu 350 wa Hizbullah wanagombania bikra za Munyaazi huko kuzimu sikwambii ikianza hiyo total war nahisi huko kuzimu patakuwa hapatoshi.
Unazingua hayo matoi ya F 35 ambayo yanaanguka yenyewe na hayo ma F 22 ambayo Houth wanayapopoaMaana wakianzisha Total war. Inamaana Israel watawasha maude yao ya F16, F22, F35
Haworth mwewe wakizunguka apo Lebanon 🇱🇧
Atabaki hata inzi yetu macho. Maana ya vita na Israel 🇮🇱 7 unapigwa kulingana na ulivyokuja, lile taifa la vita. Silaha zilizopo USA 🇺🇸 ndio izo izo watafiti ni Wayaudi hao hao. Kwa iyo atagongwa mtu na kitu kizito alafu tutabaki kushangaaa dunia kuna hati hati ili taifa la Lebanon 🇱🇧 au Iran 🇮🇷 likaja kuonja kupigwa na nyuklia na ndio vuguvugu ili la vita baridi likaja kuisha
Hao 500 ni askari wa IDF utake usitake.Hiyo 500 ni idadi ya wanamgambo wa Hizbullah na raia wa Lebanon Israel hawafiki hata 30.
Ukiwa unasema hilo kumbuka Lebanon wana ADS kutoka Iran,hivyo hizo ndege zako hazitaruka free tu kadri zitakavyo.Maana wakianzisha Total war. Inamaana Israel watawasha maude yao ya F16, F22, F35
Haworth mwewe wakizunguka apo Lebanon 🇱🇧
Atabaki hata inzi yetu macho. Maana ya vita na Israel 🇮🇱 7 unapigwa kulingana na ulivyokuja, lile taifa la vita. Silaha zilizopo USA 🇺🇸 ndio izo izo watafiti ni Wayaudi hao hao. Kwa iyo atagongwa mtu na kitu kizito alafu tutabaki kushangaaa dunia kuna hati hati ili taifa la Lebanon 🇱🇧 au Iran 🇮🇷 likaja kuonja kupigwa na nyuklia na ndio vuguvugu ili la vita baridi likaja kuisha
Sa ngapi hata watafika Israel,Kwa nini sio Netanyahu
Ha ha ha kumbe na swalala ImaniGogu ni russia katu haiwezekani kuwa marekani kumbuka marekani haipo kwenye unabii wa siku za mwisho na infact marekani itapungua sana kiuchumi na kijeshi mara baada ya unyakuo kutokea.
Hujui lolote kuhusu unabii. Umemeza tango poriGogu ni russia katu haiwezekani kuwa marekani kumbuka marekani haipo kwenye unabii wa siku za mwisho na infact marekani itapungua sana kiuchumi na kijeshi mara baada ya unyakuo kutokea.