Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

the tanzania government is behind this,sasa ndio moto wamewasha na mpaka kileleweke............................................
 

hujui usemalo.... hii ni step ya kuweka tanzania kuwa serious na profeshens
 

Tutajilinda weyewe kama tunavyofanya sasa hivi, kuna umuhimu gani wa nyie kuwepo wakati watu wanauawa hovyo hovyo tu, na mbunge wa Ilemela alijipiga mwenyewe? We are coming na next time tutawalinda hadi nyie.
 

Sick Zomba again. Povu kila wakati
 
BornTown ahsante kwa taarifa yako nzuri, ukombozi wa haki zetu uko mikononi mwetu.
 
Last edited by a moderator:
serikali haiwezi kuwajibika bila kuwajibishwa, na tunaomba sana mtu anayeitwa Jakaya Mrisho Kikwete akae mbali sana na sisi, maana sasa hii ni vita, na huyo atakayekamatwa asipelekwe polisi, huwezi kumpelekea Nyani kesi ya Ngedere,ni peoples' power tu, hao watu washughulikiwe kwa mtindo wa CUF ngangari jino kwa jino, nataka sana kusikia kaulu ya mwenyekiti wangu msomi Lipumba juu ya hili, ni hakiiiiiiiiii tu hakuna kucheka na mbwa hawa, huyo pinda ajiuzulu mara moja pasipo kuchelewa na ashitakiwe mahakamani, nashukuru watu wa LHRC wamekuwa mstari wa mbele nataka kusikia media sasa ikifanyakazi ya kupambana na wakina kibonde, haya zoka anasemaje juu ya hili, pamoja na yote sasa david Mwamunyange tunataka uzalendo wako tuuone ,wanaua watoto wenu angekua ni ****** wangemfanyia haya? jamani sasa ndio kumekucha tuambieni lini tunatoka barabarani hatuwezi kuacha watoto wetu wauawe wao wanaenda kutembelea balozi zetu kwa kodi zetu wametugeuza samaki wanatula mbele na nyuma na wanawafanya hivyo hivyo watoto wetu tuliowazaa tena mbele ya macho yetu, na waume zetu na wake zetu pia, sisi tunawachekea, saa ya ukombozi ni sasa, nataka nisikie kaulu ya vyama vya vijana wanafiki UVCCM kama wanamshipa waongee, najua CUF na Chadema lazima wataongea jamani sisi tuko wengi kuliko wao, tuwahamishe mitaani mara moja
 
Napata shida kidogo kwamba nikupe pole wewe au wale wagonjwa ambao kwa lengo lenu la kugoma na kuiwajibisha serikali wengi wanateseka,wengine wanakufa,mama zetu wanajifungua kwa uchungu bila ya kua na msaada wowote,haya ni mateso makubwa,
Hemu tujiulize vipi kama ulimboka na yeye kama akitelekezwa aachwe bila ya huduma yoyote?
ni vyema madaktari watafute njia tofauti yakuibana serikali kwani watanzania wasio na hatia wanakufa kwa kosa la serikali
 
the tanzania government is behind this,sasa ndio moto wamewasha na mpaka kileleweke............................................

Naomba tuwekee ushahidi hapa kuwa Serikali inahusika; hili ni jukwaa makini
 
Swali langu mi nahoji kwann madaktari wameudumie yeye wakati wamegoma? Mwacheni naye aonje machungu wanayopata wagonjwa hapo hapo Muhimbili kwa kuendeleza mgomo wao, Mkuki kwa Nguruwe sio?
 
Si dhani sana kama ni tamaa nafikiri kazi unayoithamini ni vema iwe na mazingira bora na maslahi bora tusipoangalia jinsi elimu ilivyoporomoka hata huduma za afya zitzkuwa ni ubabaishaji tu sidhani kama watanzania wangependa kuwa na huduma za afya zisizoridhisha nafikiri tunapaswa kutafakari jambo hili kwa kina badala ya kuhukumu viongozi wakiugua wanakwenda kutibiwa nje ya nchi huduma zisipoboreshwa nini hatima yake.
 
Kampe pole mama yako ambaye hata kansa ya shingo inayotibika wameshindwa kuigundua mapema kwa sababu tuu Jakaya kawauzia wazungu migodi
 
Kama madaktari wapo serious na mgomo basi wasimtibie huyu Dr Ulimboka
 

utawala bora. utawala wa sheria.
 

We ndo wa kutangulia kuzimu, una msaada gani kwa nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…