Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,407
pole sana dr.ulimboka. Naangalia upande wapili wa shilingi ni huu,unaweza kufanya kitu usijue itakuwaje kesho,lakini naamini sana walichofanya serilaki yetu sikivu ni kumpandisha chati zaidi aonekane ni mkombozi wa wanyonge.
bora kuishi na vvu utatumia arv kuliko kuwa na serikali ya kipuuzi,dhaifu,mafia ,majambazi,kama hii.
pole kwa dr ulimboka na familia yake.Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Swali langu mi nahoji kwann madaktari wameudumie yeye wakati wamegoma? Mwacheni naye aonje machungu wanayopata wagonjwa hapo hapo Muhimbili kwa kuendeleza mgomo wao, Mkuki kwa Nguruwe sio?
Nikweli kabisa naungana na wewe pia. Ila umeruka moja.
SERIKALI
Inawezekana kabisa watumishi wa serikali (wanausalama/polisi) wakayafanya haya hata kama hawajaagizwa hilo. Tumekuwa tukishuudia watu wa usalama wakifanya mambo kinyume cha haki za binadamu/Katiba yetu na bado hakuna mkono unaoweza kuwagusa. Ni mapema sana kuhukumu kwasasa, tuombe Mungu Dr.Ulimboka apate nafuu upesi ili asaidie kupatikana kwa taarifa kamili kuhusiana na tukio hili.
Napata shida kidogo kwamba nikupe pole wewe au wale wagonjwa ambao kwa lengo lenu la kugoma na kuiwajibisha serikali wengi wanateseka,wengine wanakufa,mama zetu wanajifungua kwa uchungu bila ya kua na msaada wowote,haya ni mateso makubwa,
Hemu tujiulize vipi kama ulimboka na yeye kama akitelekezwa aachwe bila ya huduma yoyote?
ni vyema madaktari watafute njia tofauti yakuibana serikali kwani watanzania wasio na hatia wanakufa kwa kosa la serikali
nyie ni maiti zinayotembea. Hamjui mtendalo. Mngekaa kule serengeti na nyani na masokwe. Ulimboka atatibiwa na mapambano yanaendelea. ****!!!!!
Kampe pole mama yako ambaye hata kansa ya shingo inayotibika wameshindwa kuigundua mapema kwa sababu tuu Jakaya kawauzia wazungu migodi