Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana


Kwenda kuhojiwa polisi ndio mleta mada anasema k"atekwa"?

Adhuriwe nini huyo wakati tayari kisha dhurika? au hamjui gonjwa linalomsumbua?
 
Ulimboka ni mtu maarufu hivi hakuna mwanaJF ambaye ana mawasiliano naye???? tunatoka povu pasipo sababu kwa habari ambayo ni tetesi
 
Hili ni ombi kwa Rais wetu wa serikali chini ya chama
cha mapunduzi. Mh RAis tunakuomba utoe release order
ya kumuachia Dr Ulimboka maana hii italeta madhara
zaidi kwa watanzania...........................


Please free Dr Ulimboka


Kidumu chama cha mapinduzi
 
Kwenda kuhojiwa polisi ndio mleta mada anasema katekwa?

Adhuriwe nini huyo wakati tayari kisha dhurika? au hamjui gonjwa linalomsumbua?

Ni mgonjwa hata kabla hajatekwa kama una macho mwangalie vizuri utajua anaumwa nini? anataka kwenda na mwengi??

Gonjwa linalomsumbua linaweza kuwa limeharibu kichwa chake tukidhani anatetea wanyonge.
 
Free dr Ulimboka, serikali acheni unyanyasaji
 
2013 Pinda 'NJE' 2015 CCM 'NJE'.
Wanakimbia wenyewe pasipo kufukuzwa.
 
Nadhani hii ni sera yao kwani yaonekana vitisho na ubabe ndo kanuni yao. Angalia yaliyotokea kule Igunga na Arumeru Mashariki mara tu baada ya Chaguzi ndogo, wakidhani kwa Kutesa/Kuua ndo wataungwa mkono, matokeo yake wanazidi kuchochea Chuki na Hasira toka kwa Watanzania.

I do support it, FREE DR. ULIMBOKA NOW.
 
wewe si ndio mdogo wake unayempelekea chakula gerezani!!! tuambie yuko gereza lipi?
mtolera na ulimboka wapi na wapi?

hapa ufumbuzi ni kutatua matatizo yao na si kukimbilia kushika watu,wakati pesa mingi yaenda mabank ya nje
 

Kumkamata Dr. Ulimboka ni dhahiri kwamba serikali imeshindwa kuleta suluhu ya mgomo wa madaktari. Hii siyo njia ya kutatua mgogoro huu bali ni kuuchochea. Ni vema serikali ikamwachia haraka iwezekanavyo. Free Dr. Ulimboka Now! I support mgomo wa Madaktari!
 
Yaani nilikuwa nasubiria kitu kama hichi nipate sababu ya kuwaamsha watu mZuka! One mistake one winning GoaL!


Free DR. ULiMBOKA NOW!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…