duh wapinzan wote wa Urusi ni vibaraka wa USAKibaraka wa U.S kaaga Dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh wapinzan wote wa Urusi ni vibaraka wa USAKibaraka wa U.S kaaga Dunia.
Wangemuwahisha mapema kama Prighozin?Utawala wa Kremlin niwa kijinga sana sana sana
Kwenye hili sirikali ya Kremlin imenikera kwel kwel
Kenge kama huyu unamueka jela wa nini ale bure
Hii kenge muda sana ilitakiwa iwe ishatiwa shaba au ishatiwa kwenye bwawa la mamba
Huyu kenge hakutakiwa aachwe mpaka afe kwa khatma ya Mungu kupenda
Huyu kibaraka alitakiwa awahishwe mapema sana
Kala sana bure kala sana mali ya umma wakati kibaraka
Ahsante Mungu kwakuichukua hii kibaraka maana FSB kazi hii kwahakika iliwashinda
Huyu akakae moto wa chini kule karibu na sister shetilicious
na huyo ndo mtetez wa waafrika , kwa mujibu wa baadhi ya walevi humu AfrikaJaribio la kwanza alisurvive naona sasa Putin kafanikiwa kumuua Navalny.
Hatari sanaHuyu jamaa aliwahi kulalamika,chumba Cha gereza alichowekwa kimefungwa spika ambazo 24/7 ni anasikilizishwa hotuba za Putin
Kgb sio wa mchezo.
Mwafrika ni sawsawa na Mtoto Yatima.na huyo ndo mtetez wa waafrika , kwa mujibu wa baadhi ya walevi humu Afrika
😀😀😀😀😀 Daaah aiseeeHuyu jamaa aliwahi kulalamika,chumba Cha gereza alichowekwa kimefungwa spika ambazo 24/7 ni anasikilizishwa hotuba za Putin
Kgb sio wa mchezo.
Najiuliza siku Mungu atakapo mfanya Putin kama alivyofanya kwa mwendazake ,linaloshindikana kwa mwanadamu kwa Mungu llinawezekanaNi hatari sana mtu mmoja anapojimilikisha nchi na kufikiri kwa niaba ya Raia wote kwamba anafikiri yeye ndicho sahihi
Nilitaka ku like kitimoto nikashtuka!Akifa Gaidi P Nita 😂😂😂
Ww ni mpuuzi sanaAfie mbali huyo kibaka wa nato
Na nyimbo za propaganda za uzalendo !Huyu jamaa aliwahi kulalamika,chumba Cha gereza alichowekwa kimefungwa spika ambazo 24/7 ni anasikilizishwa hotuba za Putin
Kgb sio wa mchezo.
Kapigwa sumu huyo Putin ni mafia sana
Mamlaka zimesema kuwa kiongozi wa upinzani nchini Urusi, Alexei Navalny, amefariki ndani ya gerezani la Arctic.
Akionekana kama mkosoaji mkubwa wa Rais Vladimir Putin, Navalny alikuwa akitumikia kifungo cha miaka 19 kwa makosa yanayochukuliwa kwa kiasi kikubwa kuwa ya kisiasa.
Alihamishiwa katika gereza la Arctic, linalochukuliwa kuwa moja ya magereza magumu zaidi, mwishoni mwa mwaka jana.
Mamlaka zimesema kuwa alianza kujisikia vibaya siku ya Ijumaa baada ya matembezi na alipoteza fahamu mara moja. Timu ya dharura ya matibabu ilikuja mara moja na kujaribu kumpatia matibabu bila mafanikio.
---
Russia's most significant opposition leader for the past decade, Alexei Navalny, has died in prison inside the Arctic Circle, the prison service said.
Seen as President Vladimir Putin's most vociferous critic, Navalny was serving a 19-year jail term for offences widely considered politically motivated.
He was moved to an Arctic penal colony, considered one of the toughest jails, late last year.
The prison service in the Yamalo-Nenets district said he had "felt unwell" after a walk on Friday.
He had "almost immediately lost consciousness", it said in a statement, adding that an emergency medical team had immediately been called and tried to resuscitate him but without success.
The causes of his death were being established, Tass news agency reported
Novichoc sumu kali sana iyo.Kapigwa sumu huyo Putin ni mafia sana
wapi hapo palipoandikwa?"wapinzani wote wa Urusi ni vibaraka wa USA"duh wapinzan wote wa Urusi ni vibaraka wa USA