Binadamu ni wanafki sana kaka Trumb amepewa mikesi kibao toka aseme anagombea uraisi kwa Mara ya pili ila watu kwa unafki wanalaumu tu urusi kinachotokea saivi Hungary ni sawa na kuuchochea serikali iliyomadarakani ing'olewe kupitia mgongo wa EUMsiongee kwa hisia sana, watu wanaminywa kote ulimwenguni - madaraka ni matamu.Hata hapa kwetu watu wangapi wanapotea na maisha yanaendelea??And nobody cares - CCM ipo madarakani na imejimilikisha nchi - keki ya taifa inamegwa vizuri, mbona hatumbambani tukapata upinzani unaoeleweka tukagawa keki ya taifa??Lowasa kafa kila mtu anahuzunika LAKINI wakati anapitia kwenye kaa la moto - tuliendelea kula ugali na kuenjoy na wake zetu??TUSIJIFANYE tunauchungu - badala yake tuwe na KIASI na tutazame haya mambo kwa jicho la tatu...Hakuna serikali TAKATIFU
in english plz dirt headKazi Kweli Kweli
kwamba ukiwa gerezani hakuna kuumwa huko?Simply unapofia kwenye mikono ya serikali ni kwamba UMEUAWA.
Hakuna juatification nyingine zaidi ya kwamba ameuawa na Putin
Binadamu ni wanafki sana kaka Trumb amepewa mikesi kibao toka aseme anagombea uraisi kwa Mara ya pili ila watu kwa unafki wanalaumu tu urusi kinachotokea saivi Hungary ni sawa na kuuchochea serikali iliyomadarakani ing'olewe kupitia mgongo wa EU
Kila nchi ina Sera zake ni kama Leo hii marekani ulete mambo ya ujamaa ni fasta tu utatolewa
Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
Mbona wakati wa Magufuli ulikuwa unafurahia.Ni hatari sana mtu mmoja anapojimilikisha nchi na kufikiri kwa niaba ya Raia wote kwamba anafikiri yeye ndicho sahihi
Putin ni muuaji na katili mno....Jaribio la kwanza alisurvive naona sasa Putin kafanikiwa kumuua Navalny.
Unayajua mateso?Ameteseka sana navalny
Lengo la kumfunga mpinzani wa kisiasa ni nini haswa?kwamba ukiwa gerezani hakuna kuumwa huko?
Ya wamarekani ni damu tupuDah..
Mikono ya Putin imejaa damu
Kwahio mnataka wapinzani wakikosea waachwe tu?Lengo la kumfunga mpinzani wa kisiasa ni nini haswa?
Kumuua ni plans za watawala
Sio wapinzani sema vibaraka kwani wapinzani hakuna Russia zaidi ya huyo kibaraka Navalny?putin ni pacha wa kiongoz wa korea kaskazn nae kafagia wapinzan wake wote
Marafiki wa chinjachinja mliojimilikisha nchi kama mabanda ya kuku lazima mseme ivoKwahio mnataka wapinzani wakikosea waachwe tu?
Yule jamaa wa wik leaks yuko wapi anavyoandamwa hamuoni
Navalny alitakiwa afyekwe mapema sanaaaaaaaa ila Kremlin na FSB walileta utoto kwenye mambo ya maana
Huku ndio kukosa akili kwenyewe sasa.Utawala wa Kremlin niwa kijinga sana sana sana
Kwenye hili sirikali ya Kremlin imenikera kwel kwel
Kenge kama huyu unamueka jela wa nini ale bure
Hii kenge muda sana ilitakiwa iwe ishatiwa shaba au ishatiwa kwenye bwawa la mamba
Huyu kenge hakutakiwa aachwe mpaka afe kwa khatma ya Mungu kupenda
Huyu kibaraka alitakiwa awahishwe mapema sana
Kala sana bure kala sana mali ya umma wakati kibaraka
Ahsante Mungu kwakuichukua hii kibaraka maana FSB kazi hii kwahakika iliwashinda
Huyu akakae moto wa chini kule karibu na sister shetilicious
Netanyahu AkberHuyo bwana ataslimu tu ni suala la muda tu kwa uwezo wa Allah
Tusiache kumuombea
Ni sawa tu na Wapalestina wanavyokufa kwa mapenzi ya Mungu.Navalny kafa kwa mapenzi ya Mungu mwenyewe
Kremlin wajinga walikua wanachekea chekea tu kama wapuuzi
Kremlin hata hawajui kwa nini wana shirika kama FSB nk
Navalny kaonesha udhaifu wa PUT IN kwakweli PUT IN anamuachaje mtu kama Navalny siku zote hivyo
Kwa hili PUT IN anatakiwa ajiuzulu katukosea sana sababu alitakiwa amalizane na Navalny mapema sanaaaaaaaa
Hahahaha π€£π€£πππ Putin ni MTU na nusu"kusamehe ni kazi ya Mungu, Mimi kazi yangu ni kuwapeleka kwa Mungu waliokosea" Vladimir Putin