Dreamliner787
JF-Expert Member
- Mar 24, 2017
- 562
- 362
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Kwani huyo mcheza masumbwi ni nani mpaka Kipanya apigiwe simu..
Mbona ata Francis Cheka uwa anavaa hizo jezi..
Au kwa kuwa zimeshabihiana na sare za kile chama cha mboga mboga .
Mtu mweusi mwenye akili kama hii ni HASARAYanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Mbona mnachagulia awaze nini ?! Cartoon yenyewe haina nembo ya jumuia yoyote !! Mnakereka nini au rangi?!Tunamshauri tu msanii aepuke matatizo yasiyo ya lazima. Mnamshangilia sasa, kuumia ataumia mwenyewe wala hamtakuwepo. Kwa nini mnamdanganya mtu. Si ukae kimya tu. Lazima uchangie? Msimjibie acheni ajibu mwenyewe. Kama wenzako wanakwazika yeye kula hata nyama, Mtume Paulo alisema "Sitakula nyama kamwe". Namfahamu Kipanya. Ni msanii mzuri, mshereheshaji mzuri ni mwezeshaji mzuri wa masuala ya kijamii. Bora angeiweka sanaa yake ku-address masuala mengi ya kijamii na maendeleo. Aiweke kuelimisha jamii juu ya mambo mengi tu yenye tija kuliko mapambano ya kisiasa. Kuna maeneo mengi ya kuiweka sanaa yake hiyo adimu. Kwa mfano anaweza kuwafikia vijana walio na vidonda katika nafsi zao na kutumia sanaa ya uchoraji kuwaletea uponyaji (psycho-social healing). Hiyo imefanyika Ethiopia, Uganda na mahali pengine. Kupambana kisiasa kwa Msanii wetu si mahala pake. Tunamshauri aipeleke mahali panapofaa zaidi. Sio kwenye siasa. Sanaa za kisiasa awaachie wasanii wa kisiasa. Yeye amekwisha jitambulisha na jamii yetu kuwa ni msanii wa kimaendeleo.
Kwani wewe umeelewa nini kwenye hiyo katuni...????Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Kama siasa ni mbaya sana mbona humshauri jiwe aache siasa,Yanga wana timu ya dondi? Acheni mambo yenu. Kama ameambiwa afute aifute tu. Si hakuwa na nia mbaya! Aifute tu. Huo ni uungwana. Kuna mmoja kamshauri humu ajikite na sanaa aache siasa. Siasa ni mbaya sana. "Zinamuumiza" Abutreka huko Misri. Yule mkimbiaji wa Ethiopia kaambiwa arudi nyumbani lakini anasita. "Alipinda" mikono yake "kisiasa" alipomaliza mbio huko Brazil. Akawaudhi watu kule kwao akashindwa kurudi. Msanii huyu achore katuni za kimaendeleo, kisanaa na kiburdani apate pesa ale na familia yake. Siasa mbaya sana.
Mjumbe wa nyumba kumi!!??? Mbona unampendelea sana??? Jiwe hafai hata kuwa kiongozi wa familiaWatanzania tulidanganywa JIWE hakustahili kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi!
Kwani kwenye hiyo katuni wewe kilichokukera ni kipi?Tunamshauri tu msanii aepuke matatizo yasiyo ya lazima. Mnamshangilia sasa, kuumia ataumia mwenyewe wala hamtakuwepo. Kwa nini mnamdanganya mtu. Si ukae kimya tu. Lazima uchangie? Msimjibie acheni ajibu mwenyewe. Kama wenzako wanakwazika yeye kula hata nyama, Mtume Paulo alisema "Sitakula nyama kamwe". Namfahamu Kipanya. Ni msanii mzuri, mshereheshaji mzuri ni mwezeshaji mzuri wa masuala ya kijamii. Bora angeiweka sanaa yake ku-address masuala mengi ya kijamii na maendeleo. Aiweke kuelimisha jamii juu ya mambo mengi tu yenye tija kuliko mapambano ya kisiasa. Kuna maeneo mengi ya kuiweka sanaa yake hiyo adimu. Kwa mfano anaweza kuwafikia vijana walio na vidonda katika nafsi zao na kutumia sanaa ya uchoraji kuwaletea uponyaji (psycho-social healing). Hiyo imefanyika Ethiopia, Uganda na mahali pengine. Kupambana kisiasa kwa Msanii wetu si mahala pake. Tunamshauri aipeleke mahali panapofaa zaidi. Sio kwenye siasa. Sanaa za kisiasa awaachie wasanii wa kisiasa. Yeye amekwisha jitambulisha na jamii yetu kuwa ni msanii wa kimaendeleo.
Hata huyo anaejiona nabii atakufa tu na mateso na maumivu yaleyale ' Kifo kipo tu".Kifo kipo tu
Anajitambua ndo Kazi ya sanaa haina ushahidi mahakamani labda kwenye kupyuu pyuuHuyu Kipanya japo anapenda kazi yake ila kwa sasa namshauri angechora Wasanii tu.
Lini jiandae kisaikolojiasitapiga kura tena hadi huyu rais atoke madarakani
Haswaa umesadiki maneno ya waitaraTatizo wadanganyika wengi hamuamini kuwa ADUI wa Nchi yetu ni cccm Siku watu wote tukimjua basi matatizo ya Nchi hii yatapungua kama sio kwisha kabisa...
IPO kibera watalipwa lknKakamega hakuna Bomoabomoa.
Zipo jamii mkoloni hakuziendeleza kielimu ilikuwa ni hasara Kwa Kazi za matumizi ya akili,zaidi kwenye matumizi ya nguvu hasa viwandani Na mashambani.Mjumbe wa nyumba kumi!!??? Mbona unampendelea sana??? Jiwe hafai hata kuwa kiongozi wa familia