Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 637
- 1,532
Sina la kuchangia ila Id yako inanikumbusha ile movie.Karibuni wakuu,
Watu wamefanyiwa ndumba sana hadi kufanya mambo yao yaharibike, wengine walishtuka ila wengine ndio hivyo mazima walipotea katika giza waliloletewa
Ulichukua hatua gani mtaalamKuugua sana ila kila vipimo vikifanyika ugonjwa hauonekani
😂😂Sina la kuchangia ila Id yako inanikumbusha ile movie.
Tom Hanks aliitendea haki hii movie.
Niliamua kuwa nikikaa kupiga story na ndugu naongea kwa vitisho huku namtazama kwa macho makali "yaani kama kuna kenge ananichezea aisee nikimjua atailaani siku aliyozaliwa", nilifanya hivyo karibia kwa ndugu wote eventually mambo yakakaa sawa hadi nikashangaa.Ulichukua hatua gani mtaalam
Pole mkuuNiliamua kuwa nikikaa kupiga story na ndugu naongea kwa vitisho huku namtazama kwa macho makali "yaani kama kuna kenge ananichezea aisee nikimjua atailaani siku aliyozaliwa", nilifanya hivyo karibia kwa ndugu wote eventually mambo yakakaa sawa hadi nikashangaa.
Hii technic hatari aiseeNiliamua kuwa nikikaa kupiga story na ndugu naongea kwa vitisho huku namtazama kwa macho makali "yaani kama kuna kenge ananichezea aisee nikimjua atailaani siku aliyozaliwa", nilifanya hivyo karibia kwa ndugu wote eventually mambo yakakaa sawa hadi nikashangaa.
hii ni weka mbali na watotoHii technic hatari aisee
Fafanua hapo mtaalamu hayo majina unayabadilishaje na mkojo unautumia kwa kunywa, kuoga, kuunawa au kufanyia niniKama unahisi umerogwa badilisha majina yako . na hakikisha unatumia mkojo wako siku saba
Ya mzazi itakuwaje sasaKama unahisi umerogwa badilisha majina yako . na hakikisha unatumia mkojo wako siku saba
Kabisa.....Run forrest run
😂😂