white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Kipindi kile yalipofikia 1780, mbona nauli zilibakia pale pale tu?!!watu walilalamika kuwa mbona nauli hazishuki, wakajibiwa huo ni unafuu wa muda tu, hata sasa hilo ni ongezeko la muda, usijari.Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.
Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?
Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.
Unauhakika na unacho kinena?Wapunguze bei kwani wao ndio wanachimba mafuta?
Solo huria .Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.
Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?
Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.
Hata shilingi ya Kenya tulichezea kwenye 20 na point kadhaa. Sasahivi imeshagota kwenye 1TZS = 21 point something KES. Nilitaka kununua kitu kwa 32,000KES ni sawa na 693,000 TZS hapo majuziIkifika December $1=Tzs 3,000 Lita moja 3,000
Unatoa 10,000 unapata lita 3! Few months ago mafuta ya 100,000 kwangu ilikuwa full tank leo robo tatu dadeki!Hatari hii...
Wabunge si waliliongelea jana hili; wanasema ile kampuni yetu ya kunua mafuta kwa wingi, kila ikitangaza tenda, kampuni zinazojitokeza ku-bid ni mbili tu. Hata wao wanashangaa; kwa nini kampuni mbili tu ndio zinajitokeza ku-bid; na sio zaidi?Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.
Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?
Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.
Kazi na iendelee....Mwache mama afanye kazi
Huku ni 2254 leo asubuhiWakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.
Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?
Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.
Ndiyo mkuu ninauza upo mkoa gani?Unauza? kama unauza naomba kununua lita tano
Wese ni kama bundle/muda wa naongezi lazima liwepo tu kwenye simuNa nilivyo mbishi, sighairishi tripu nilizojipangia mwaka huu.
Bora nipunguze kununua vitu vingine ila wese liko palepale...[emoji12]
Hivi wajua Tz haichimbi mafuta wala haina umiliki wa US Dollar?Solo huria .
Mama amewwachia watu wapige hela.
Wanyonge hamna chenu tena. Mtalia na kusaga meno.
Labda baada ya wale waliokuwa wananyonya mafuta baada ya flow meter kugundulika!Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.
Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?
Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.
Bei za Mafuta zitapanda kwani wenye Mafuta wameamua kupunguza uzalishaji ili Mafuta ipande.Wakuu hivi hii hali inaelekea wapi? Kulingana na bei mpya kuna baadhi ya mikoa lita ya petrol imefika 2480. Ni kweli huko duniani mafuta yamepanda au hapa kwetu tu tunakomoana.
Je, ni halali nauli kuendelea kubaki pale pale? Au tutegemee ongezeko huko mbeleni?
Huko tunakoenda nadhan kuna watu wataenda kupaki magari yao, mimi leo 20k nimeambulia lita 8 na point nikabaki nashangaa kumbe bei zishapaa.
Unataka kusemaje sasa?.Hivi wajua Tz haichimbi mafuta wala haina umiliki wa US Dollar?
Selling ilikuwa 2310.06
Hapa ndio wamegusa kwenye mfupa kabisa, na mama sijasikia kabisa analiongelea hili.....mafuta lita tano elfu 35? haijawahi kutokea hiiMafuta ya kula pia bei imepanda si mchezo!! Na Ninavopenda kula sasa!!
Bei imezidi kupanda maradufuView attachment 1806426
Jamani!! sijui tukimbilie wapi!!Hapa ndio wamegusa kwenye mfupa kabisa, na mama sijasikia kabisa analiongelea hili.....mafuta lita tano elfu 35? haijawahi kutokea hii