Acha kutengeneza matabaka mkuu, ko maskin kwako sio mtu ?Mkuu unataka kuleta matatizo
Hapo nadhani sifa f,h na i zinapaswa kuwa na asilimia kubwa
Back to the question, mimi ningepanga hivi
1. Dini/imani/itikadi/hofu ya Mungu - 65%
2. Mali - 20%
3. Uzuri - 15%
Kwa akili hizi mtauwa sana watoto wa watu!!!Kwa mawazo yangu sifa za mwanamke kuolewa ningezpa asilimia Kama ifutavyo:
b/ Rangi ikiwa nyeupe 15%
c/ Muonekano kwa ujumla 25%
d/Chura 35%
e/Mguu 5%
F/ Uzuri wa tabia 5%
g/ Umbo lake 5%
h/Sifa ya familia anayotoka 5%
I/ historical background Kama aliwahi kuzaa au kutoa mimba 5%
Je wew unaweza ukagawanya vip hiz sifa za wanawake utakapo amua kuoa?
NB: Sio lazma awe nazo zote 100% ila angalau afikishe 75% ya asilimia hizo
Hapa wanawake weus mtanisamehe kwa kweli,ila Kama Kuna wakuwatetea anakaribishwa
Ko unamanisha wazuri wasiolewe kisa kuogopa watu kujiua ?.Mkishaowa wake zenu wa taifa zima mnaingia kisirani mnawauwa mnaishia jela huku mkiacha watoto wasiokuwa na wazazi baadae wanageuka PANYA ROAD!!!
Kua kwanza utajua ni nini maana ya mke.
Kweli hii taasisi imengiliwaKwa mawazo yangu sifa za mwanamke kuolewa ningezpa asilimia Kama ifutavyo:
b/ Rangi ikiwa nyeupe 15%
c/ Muonekano kwa ujumla 25%
d/Chura 35%
e/Mguu 5%
F/ Uzuri wa tabia 5%
g/ Umbo lake 5%
h/Sifa ya familia anayotoka 5%
I/ historical background Kama aliwahi kuzaa au kutoa mimba 5%
Je wew unaweza ukagawanya vip hiz sifa za wanawake utakapo amua kuoa?
NB: Sio lazma awe nazo zote 100% ila angalau afikishe 75% ya asilimia hizo
Hapa wanawake weus mtanisamehe kwa kweli,ila Kama Kuna wakuwatetea anakaribishwa
Ukioa kwa kutokuzingatia hivyo vigezo huoni kuwa kwa baadae itachangia kuleta misunderstanding ndan ya ndoa ??Kwanza ndoa ni ishu nyengine bro unaweza kuwaza kumuoa Paulina gafla tu ukajikuta umemuoa lydia ns ivo vigezo vyako vyote usivitilie manani
Is a fallacy idea
Kila mtu ni mzuri kulingana na macho ya mtazamaji, we are all uniwue in ournown ways ndio maana kila mtu ana vigezo vyake katika kuchagua mkeKivip mkuu ?
Kamuulize Masanja atakwambiaUkioa kwa kufata vigezo hivyo migogoro ya nda haitakuwepo