Ata uwoe mwenye ivo vigezo vyote ulivyoeka apo Misunderstanding lazima zitokee tu kwenye ndoaUkioa kwa kutokuzingatia hivyo vigezo huoni kuwa kwa baadae itachangia kuleta misunderstanding ndan ya ndoa ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata uwoe mwenye ivo vigezo vyote ulivyoeka apo Misunderstanding lazima zitokee tu kwenye ndoaUkioa kwa kutokuzingatia hivyo vigezo huoni kuwa kwa baadae itachangia kuleta misunderstanding ndan ya ndoa ??
Kip Sasa ulichojifunza mkuu ?Mabrother wangu wa mtaani wale maplay boy walivyo kuja kuoa walio wanawake wenye muonekano wa kawaida kabisa,ila mademu walio wazalisha na kuwaacha ni pini za ukweli zilisumbua sana enzi zao.
Hata hivyo pamoja na kuoa still hizo pini zao wanazo gonna huko nje ni hatari demu mkali, tofauti yao na zamani show zao wanafanyia mbali.
Kupitia wao na kuwatizama wake zao kuna kitu nimejifunza hasa unapofanya maamuzi ya kutaka kuoa.
Ila ni mweupeHiv mke wa Masanja Ana meet sifa nilizotaja hapo?? Mim simuonag Kama Ni mzur
Walio consider mwanamke mwenye akili ya maisha, anayejua nini maana ya maisha (kupata na kukosa) na mwenye hofu ya Mungu. Wale jamaa sijui waliambiana mademu zao yani wa kawaida.Kip Sasa ulichojifunza mkuu ?
Fuatilia vizuri mkuu,kinachomtuliza mwanaume yeyote kweny ndoa yake Ni chura,yaan ukitaka usitaman kuzin nje ya ndoa yako oa mweny churaWalio consider mwanamke mwenye akili ya maisha, anayejua nini maana ya maisha (kupata na kukosa) na mwenye hofu ya Mungu. Wale jamaa sijui waliambiana mademu zao yani wa kawaida.
Wewe kwa akili zako si umeona ndo wanaokufaa hata kama akili hawana wala heshima?Ko unamanisha wazuri wasiolewe kisa kuogopa watu kujiua ?.
Bado mdogo huwajui wanaume, mke wake anaweza akawa na Chura akenda kudate na binti wa kawaida,mf Posh Queen kapigwa chini na unaweza kuta aliyempiga chini hata ni wa kawaida hata Ebitokee hamfikii.Hapa nakupa much failure mkuu,chura umeipa asilimia ndogo mno,na kumbuka chura ndo ugonjwa wa wanaume kutoka nje. waliooa wenye chura hawatok nje amin mkuu kwa 100%
Kuna mafail umeyachanganya katka ujumbe wako. UsahihisheBado mdogo huwajui wanaume, mke wake anaweza akawa na Chura akenda kudate na binti wa kawaida,mf Posh Queen kapigwa chini na unaweza kuta aliyempiga chini hata ni wa kawaida hata Ebitokee hamfikii.
Mwanamke by nature haridhiki na mwanamke mmoja.
Hujakua hutujui wanaume sikulaumu.Kuna mafail umeyachanganya katka ujumbe wako. Usahihishe
Ukioa kwa kutumia vigezo hivyo kwa baadae ukishapata hela lazma uwe msumbufu kwa wake za watuUwezo wa kutii na kufuata maelekezo = 80%.
Umri 2%.
Uzuri 3%.
kuyajua na kuyatimiza majukumu yake 12%.
Historia ya familia anayotoka 1%.
Kujua kupika 0.5%.
Usafi 0.5%.
Dini 0.5%.
Elimu 0.5%.
Nimevujisha pepa lote.